Kwahvo nisingeoa...Ila ingejiridhisha kabla sjatoa posaInawezekana binti alikuwa singo maza kwa siri sasa baada ya jamaa kutoa posa ikabidi binti aropoke kuwa ni singo maza hivi hata wewe mtoa mada ungeoa kweli poti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Norma sana ila wawili waliolewa mmoja hadi leo hajaolewaAisee hii Ni nomaa sana
Hivi wakuu hawa wanawake wa form 4 na la 7 mnawaelewa?Njoooni huku Songea, Magagura kuna wadada wazuri tu bei sawa na bure ni domo lako tu unajibebea ila shule wamesoma sana hadi darasa la 7
Wewe unashangaa mtu kupotea kwenye mahari, watu tulibadili mawazo siku yenyewe ya harusi hatukutokea.....Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Hapana kwakweli staoa kwasabu najua ndoa haitafika mbali tutaachanakwa mfano wewe unamuona binti unavutiwa nae unaona afaa kujenga familia nawe, unapata kumajua wa kwao na unatoa posa ghafla booom !! Unaanza kumuona rangi zake halisi, mjuaji, kisa amesoma. Jeuri hapana kifani kisa anakaajira.
Feminist wa kuiga iga haki sawa full kukuvimbia na kukubeza kwanini "haukumpigia magoti siku ulipomvalisha pete kama marafiki zake wanavyopigiwa kama haitoshi unakuta katika drow zake kuna KY jelly. Ikumbukwe sifa hizo tajwa zinawahusu 60% ya wanawake. Je utaendelea na mpango wa kumuoa ?
Asante sana kwa kutujengaUchumba unaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu za msingi kabisa ambazo hata vitabu vya dini vinazisema.Issue ni kumuacha mtoto wa watu bila sababu,labda ni kwa tamaa za kuvutwa upande mwingine kwa kuvutiwa na mambo ya nje ukiamini yaliyomo yamo.Haki ya nani machozi ya huyo binti wa watu yanaweza kukufanya ukapuyanga humu duniani miaka yote bila kujua wapi unakwenda bila kurogwa kwa yeye kwenda kwa mganga.
Kuumiza watoto wa watu sio kitu kizuri kabisa.Hapa ni kwa pande zote lakini inapokuja kuhusu wanawake Mungu anawapa u-special fulani sijui anajua kwakuwa sisi wanaume tuna misuli?
Ngoja niwawekee hapa tuone namna wanachukuliwa tena wenye wake ndio kabisaaa.
Malaki 2:14-15
[14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[15]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Kama mambo fulani hayaendi inawezekana somewhere Mwaajuma Kikoti ulimliza na hajakusamehe mpaka leo,vipi yule Eliza πππ bila kujua ku-clear hiyo hali yaweza kukuletea shida kubwa katika maishao na hii ni nje ya bibi yake,mama yake aliyejua mahusiano yenu na kujua maumivu ya binti wao kuamua kukushikia mkia wa kenge mwekundu πππ.
Kuna jamaa wanasema haiwezekani kurogwa halafu hawana Mungu wala hawana kinga yoyote wapowapo tu wakitest mitambo kesho unamkia nyumbani kwa binti ukiwa huna nguo.
Wahi mkuuAsante mkuu kwa kutupa fursa
Kwanza hawanaga usumbufu mkuu na wanajua kutuliaHivi wakuu hawa wanawake wa form 4 na la 7 mnawaelewa?
Punguza jaziba Basi..kwani kuoa mke mwenye mtoto ni dhambi mbona nyny mnaoa huku mnawatoto kibaokwahiyo madhaifu yakionekana baada ya posa waoe hivyo hivyo, umekwenda kutoa poa huko unagundua mwanamke kumbe anamtoto na amekudanganya hajazaa, unafanyaje hapo ?! Hebu acha upimbi fungua thread nyingine tujadili maswala ya msingi.
kama umetolewa posa na imegundulika marinda yamelegea tulia hakuna ndoa hapo.
Mkoo hapo wewe una elimu gani.... ukirudi nyumbani story zinaendana?Kwanza hawanaga usumbufu mkuu na wanajua kutulia
Mie nina degree nyingi kama za yule mzee alietaka usupika pale katikati ya nchi ila kwenye ndoa ukileta elimu inakwama ndoa ni mchanganyiko wa akili kidogo na ujinga mwingi hapo mtazeeka vizuri sana, ila ukitaka usomi kwenye ndoa na madigree yako mtaishia kupostiana kwa maneno matamu ila ukweli ulio ndani ni kaa la motoMkoo hapo wewe una elimu gani.... ukirudi nyumbani story zinaendana?
Hao mahari laki 7 kaka ila nyumbani ni story za mizengwe tu.... ikitokea umeanguka bahati mbaya si wanao wamepoteaMie nina degree nyingi kama za yule mzee alietaka usupika pale katikati ya nchi ila kwenye ndoa ukileta elimu inakwama ndoa ni mchanganyiko wa akili kidogo na ujinga mwingi hapo mtazeeka vizuri sana, ila ukitaka usomi kwenye ndoa na madigree yako mtaishia kupostiana kwa maneno matamu ila ukweli ulio ndani ni kaa la moto
Wanaume tuweni serious tusicheze na hisia za wachumba zetu, nashangaa kuona mtu anatoa mpaka posa anapangiwa mahali halafu anamkimbia bint hamuoi anaenda kuoa mwanamke mwingine, sijui tatizo huwa ni nini.
Asante πππππKuna wadada hawalogi ila akifunga tatu kavu umeishaaaUchumba unaweza kuvunjika wakati wowote kwa sababu za msingi kabisa ambazo hata vitabu vya dini vinazisema.Issue ni kumuacha mtoto wa watu bila sababu,labda ni kwa tamaa za kuvutwa upande mwingine kwa kuvutiwa na mambo ya nje ukiamini yaliyomo yamo.Haki ya nani machozi ya huyo binti wa watu yanaweza kukufanya ukapuyanga humu duniani miaka yote bila kujua wapi unakwenda bila kurogwa kwa yeye kwenda kwa mganga.
Kuumiza watoto wa watu sio kitu kizuri kabisa.Hapa ni kwa pande zote lakini inapokuja kuhusu wanawake Mungu anawapa u-special fulani sijui anajua kwakuwa sisi wanaume tuna misuli?
Ngoja niwawekee hapa tuone namna wanachukuliwa tena wenye wake ndio kabisaaa.
Malaki 2:14-15
[14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[15]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
1 Petro 3:7
[7]Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
Kama mambo fulani hayaendi inawezekana somewhere Mwaajuma Kikoti ulimliza na hajakusamehe mpaka leo,vipi yule Eliza πππ bila kujua ku-clear hiyo hali yaweza kukuletea shida kubwa katika maishao na hii ni nje ya bibi yake,mama yake aliyejua mahusiano yenu na kujua maumivu ya binti wao kuamua kukushikia mkia wa kenge mwekundu πππ.
Kuna jamaa wanasema haiwezekani kurogwa halafu hawana Mungu wala hawana kinga yoyote wapowapo tu wakitest mitambo kesho unamkia nyumbani kwa binti ukiwa huna nguo.