Sikweli nini? Nenda ngorongoro kaone wamaasai wanavyoishi na wanyama na wanaendeleza maisha ila Simba hawez kuja kuish kwenye makazi ya watu.Sikweli hapana
Mungu anamlinda kila mwanadamu mtakatifu kwa mtenda dhambi,,,lakini anawapa kutawala wale wanaoenenda katika utakatifu wake(WASIO ASI).Yaani ulitaka kusema Mungu alimlinda
Me pia huyu Ibilisi ambaye ni evel(mwovu)+muongo+ fukara+maskini+mshamba+ugly creature nina hasira naye pia natamani kuna adhabu na mateso inatakiwa nimpe kabla ile adhabu ya Mungu aliyomuandikia baada maisha ya hapa umwenguni.Hichi kiumbe kwa mujibu wa vitabu vya dini hana future baadaye ila kuna mazwa mazwa yanamfuata.Huyo mbona wote tumempania mkuu
Mwanadamu mwanadamu et shetani masikini, mshamba, fukara πππMe pia huyu Ibilisi ambaye ni evel(mwovu)+muongo+ fukara+maskini+mshamba+ugly creature nina hasira naye pia natamani kuna adhabu na mateso inatakiwa nimpe kabla ile adhabu ya Mungu aliyomuandikia baada maisha ya hapa umwenguni.
Weka full story ilikuwaje ulipaaa auTumelazwa usingizi na kupumbazwa kwa kufuata na kujifunza kwa walio tutangulia na Sheria walizotuwekea ktk kuamua na kujaribu.
Niligundua kuwa nna uwezo tofauti wa kukimbia baada ya kufukuzwa na jopo la Mbwa.
Tangu siku ile nilijua Kuna uwezo sikuwahi ufikia Wala kutumia.
Ukijijua wewe Ni Nani na una uwezo gani hofu Kwisha na ndipo unapoweza kwenda mbali na kingo ulizowekewa na kujiwekea.
Kaza fuvu mkuuWeka full story ilikuwaje ulipaaa au
Miujiza ni kitu kinachowezekana Kwa wenye haki na wasio haki mkuu....Kwa maana Mungu ananamna yake ya kukutana na watu....[emoji4]
Kwaiyo manataka kusema we have power ya kufanya miujiza ila hatuna Imani
Mfano unapewa gari alafu unaambiwa chongesha funguo ambapo hakuna fundi ila ni yeytu aliyekupa gari
Duniani tunazaliwa tukiwa tunaona watu wakiishi bila nguvu zozote na ndipo tubapo jifunzia hapo
binadamu anaeweza paa hayupo, pia mambo ya Mungu ni rohoni, kuona vitu live kazi kwa maana ukiona hauwezi kuwa sawa tena...Weka full story ilikuwaje ulipaaa au
hiyo nguvu ya kutawala iliondoka baada ya Adam kutokutii na kula tundaNi wazo tu nimepata kwamba mwanadamu ambaye inasadikika kutoka kwenye maandiko kwamba alipewa ukuu na umiliki juu ya vyote vilivyopo duniani
Kipindi anapewa huo umiliki kulikuwapo na shetani ambaye kwa logic tu ya kawaida yuko most powerful 1000000000% than a human
Sio kiakili wala nguvu tu za kufanya mambo
Nawale mapepo zake ambao wapo wenye nguvu hata kumzidi sasa hapo utawala unakuwaje?
Baasi huko tumefikiria mbali hata simba au tembo tunaowatawala wanatuuwa sometimes why isiwe kama mfalme akutanapo na anayemtawala iwe anamjua hamjui lzm anyenyekeee chini
Eeeeee hii kaliNasikia na Alien wanakuja mwaka huu 2023 (kwa mujibu wa watabiri wa karne na karne zilizopita). Watakuja kutufuga na kututesa kama tunavyofuga ng'ombe/punda.
ππππKaza fuvu mkuu
Hongera sanaMiujiza ni kitu kinachowezekana Kwa wenye haki na wasio haki mkuu....Kwa maana Mungu ananamna yake ya kukutana na watu....
Mimi kipindi muhuni muhuni tu nimewahi kuwaombea wanafunzi hadi wakadondoka na kutapika vitu, pia mimi nimewahi fanya maombi ya uhitaji nikapata milioni 1 Kwa njia ya ajabu,
Pia mimi nimewahi oneshwa kuhusu ukimwi basi nikaomba sana Mungu aniepushe na ugonjwa huo japo nilisali juu juu tu nikawa sielewi kwanini lakini week mbili nzima nilikuwa nawaza ukimwi na kukutana na makala za ukimwi... guess what baada ya week hizo 2 nikakaa week 1, my favourite girl niligundua anavirusi vya ukimwi, imagine nilidumu nae miaka 2, imagine nilizini nae kavu...
Lakini nipo salama mkuu, na sijui nimepitaje pitaje.
binadamu anaeweza paa hayupo, pia mambo ya Mungu ni rohoni, kuona vitu live kazi kwa maana ukiona hauwezi kuwa sawa tena...
Dunia inamengi sana, way back nimewahi umwa pia nikaaga kuwa nakufa na nakumbuka kuna hali ilinipata nikalala sikumbuki chochote lakini nakumbuka niliona wanyama wa ajabu na viumbe ambavyo nusu ni binadam na nusu wanyama mara mikia.... Niliposhtuka nilitamka kuwa sitakufa Kwa maana ninaagano na Mungu, siwezi kufa bila kulitimiza na nilipona muda huohuo..
baad ya hapo akili yangu haikuwa Sawa na nyumbani walisema nimechanganyikiwa.
Uwajui majangiri ww hawaogopagi kitu poliniSikweli hapana
Dhambi ni nini?In short ni kuwa huwezi kuwa mtawala hata wa sisimizi ingali unatenda dhambi.
Ushasema majangiri wanajua wansilahaUwajui majangiri ww hawaogopagi kitu polini