Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
-
- #61
Tafikiri huzinigi weweUkiuwawa na simba au mbwa ni uzembe wako wewe binadamu mwenye akili na maarifa kuliko hao hayawani.
Ukishindwa na shetani na mapepo yake ni kwasababu ya kukosa imani na kushindwa kutumia mamlaka yako ya kimungu yaliyo makubwa kuliko hao viumbe wa giza.
Ivi ukiambiwa baba wa Hekima maana yake sikumfuata na kuiga mengi aliyofanya maana ni baba wa hekima?????We amini Mungu na utakatifu najua dhambi hufundishwi bali wewe tu mwenyewe unajua kuwa unatenda baya
Ndio unafuata matendo yake ya hekimaIvi ukiambiwa baba wa Hekima maana yake sikumfuata na kuiga mengi aliyofanya maana ni baba wa hekima?????
Suleimani alikuwa na wake wangapi?Ndio unafuata matendo yake ya hekima
Hilo sio tendo la hekimaSuleimani alikuwa na wake wangapi?
Mtu mwenye hekima awezi fanya tendo ambalo sio la ekima, kwaiyo apa tulipigwaHilo sio tendo la hekima
Kama hawakuwa na njaa iweje baada ya Danieli kutolewa na kutupiwa wale wazee wengine ndani ya shimo hilo hilo wali-uawa kwa kuliwa vibaya sana na simba hao hao??Haaakuwa na njaa hao simba wewe
ebu tueleze kuna watu tunaelewa sana unacho andikabinadamu anaeweza paa hayupo, pia mambo ya Mungu ni rohoni, kuona vitu live kazi kwa maana ukiona hauwezi kuwa sawa tena...
Dunia inamengi sana, way back nimewahi umwa pia nikaaga kuwa nakufa na nakumbuka kuna hali ilinipata nikalala sikumbuki chochote lakini nakumbuka niliona wanyama wa ajabu na viumbe ambavyo nusu ni binadam na nusu wanyama mara mikia.... Niliposhtuka nilitamka kuwa sitakufa Kwa maana ninaagano na Mungu, siwezi kufa bila kulitimiza na nilipona muda huohuo..
baad ya hapo akili yangu haikuwa Sawa na nyumbani walisema nimechanganyikiwa.
Brother hukuwepo icho kipindi nakusibitishia izo ni stori tu, embu leo tumtupe papa au mchungaji au awa wanajiita manabii uone kama hawaliwi!!! B yake tunaweza mtupa bibi mmoja wa sumbawanga na asiliwe😲😲 jitaidi kuamini vinavyowezekana ivyo ambavyo aviingii akilini wachana navyo avina maanaKama hawakuwa na njaa iweje baada ya Danieli kutolewa na kutupiwa wale wazee wengine ndani ya shimo hilo hilo wali-uawa kwa kuliwa vibaya sana na simba hao hao??
Kama hawakuwa na njaa iweje baada ya Danieli kutolewa na wale wazee kutupiwa ndani ya shimo hilo hilo wali-uawa kwa kuliwa vibaya na hao hao simba???Haaakuwa na njaa hao simba wewe
Live mkuu!Nina shuhuda fulani, ni vile tu watu huwa wanahisi hao Simba ni hatari mbele za Mungu
Pia tusipende kuona vingi, kuna vitu Mungu anatuepusha navyo bila sisi kuona ni vya hatari na kutisha.
Kwa hiyo huyo shetani anaetu win ni mtakatifu?Ni dhambi zimetupunguzia/zimetunyang'anya haki/nguvu ya umiliki.
Ninashuhuda ya maisha yangu binafsi,Ni wazo tu nimepata kwamba mwanadamu ambaye inasadikika kutoka kwenye maandiko kwamba alipewa ukuu na umiliki juu ya vyote vilivyopo duniani
Kipindi anapewa huo umiliki kulikuwapo na shetani ambaye kwa logic tu ya kawaida yuko most powerful 1000000000% than a human
Sio kiakili wala nguvu tu za kufanya mambo
Nawale mapepo zake ambao wapo wenye nguvu hata kumzidi sasa hapo utawala unakuwaje?
Baasi huko tumefikiria mbali hata simba au tembo tunaowatawala wanatuuwa sometimes why isiwe kama mfalme akutanapo na anayemtawala iwe anamjua hamjui lzm anyenyekeee chini
Hongera sana maana saivi usingeijua jfNinashuhuda ya maisha yangu binafsi,
Nikiwa mdogo wa miaka 7
Nilitekwa na watu katili nikiwa shule nikafungwa mikono na miguu, huku nimeshindiliwa mdomoni vipande vya magodoro na vitambaa vikuu kuu
Lengo lilikuwa kunipeleka nitolewe Kafara mirerani.
Kwa muujiza wa Mungu nilinusurika kimaajabu na kuanza kutambaa kuelekea Polini kwa siku kadhaa,
Ninatambaa kutumia makalio, Nikawanapishana na majoka makubwa manene mpaka leo nikiyakumbuka natetemeka, cha ajabu Sikuwa na hofu na yale majoka hata kidogo, zaidi nilikuwa na hofu na wale watu wasije kuniona wakaniua.
Hapo ndipo nikajua kuwa majoka huwa yanaweza kusimamia mkia na kupigana, huku wakiwa hawana kabisa time na mimi, wakati walikuwa wanauwezo wa kunimeza na wasinishibe[emoji15]
Wanyama wakali walikuwa wananipita wananitazama kana. kwamba wananishangaa wakiendelea na mambo yao mengine.
Mpaka nilipoishiwa nguvu kwa njaa na kiu ya maji nikapoteza fahamu nilipozinduka nikajikuta niko kwa Wamaasai wameshanifungua kamba na kunitoa Magodoro mdomoni.
Baada ya kunitibia majeraha makubwa nilokuwa nayo kwa muda mrefu, Ndipo walinieleza kwa kushangazwa kunikuta Kule mbugani Manyara nikiwa sijazuriwa na wanyama zaidi ya Ruba waliokuwa wamenijaa kwa kuwa sehemu nilipopotezea fahamu kwa muda ambao haujulikani kulikuwa na Dimbwi la tope afu kwa pembeni kuna Bonde la maji ambalo wanyama wengi uja kunywa.
Kwayo naamini kuwa Wakati ule sikuwa na dhambi Mungu aliwafunga vinywa, Macho na hata pua wale wanyama wote msituni wasinifanye ubaya, Maana ingekuwa sasa labda hata mfupa wangu wale Maasai wasinge uona machoni pa dunia hii.
Naamini maneno ya Vitabu vitakatifu vya Mungu vilivyoandikwa sisi ni watawala wa Vyoote[emoji735]
Huoni kufanya hivi ni kumjaribu Mwenyezi Mungu,,na imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wako.Brother hukuwepo icho kipindi nakusibitishia izo ni stori tu, embu leo tumtupe papa au mchungaji au awa wanajiita manabii uone kama hawaliwi!!!
Ikawaje sema, Mimi Kila nkutanapo mnyama mkali mfano mbwa wa mitaani aliekaa kichokozi,nyoka, au mnyama yeyote anaedhuru ni lazima nitamke maneno ya kuwa
#Mimi ni binadamu nmeumbwa kukutawala wewe mbwa/..... Usinidhuru Kwa vyovyote vile, nakuamrisha usinidhuru Kwa lolote..basi ndo kawaida yangu#
Nlisoma makala fulani basi nkawa nafanya hvyo Kwa Imani thabiti.
Ni kweli kabisa mkuuHongera sana maana saivi usingeijua jf