Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

1.Wanaume wengine waoga kuoa

2. Hajapata wa kufanana nae aka ubavu wa kumtosha
 
Hahahahahahahaha Leo mnapashana wenyewe kwa wenyewe na pita tu kusoma maoni
 
Huo ndo umri mzuri wa kula ujana.Tuacha tutumie hela zetu kwanza,tutaoa baada ya kufikisha miaka 40
 
mhh ndiyo majungu, kuna siku umekosa pumzi kwa sababu huyo jamaa hajaoa...
Watu wengine bhana.. Mind your business

Ngoja nikuulize swali dogo tu binti!
Ukimfumania mumeo na mwanamke mwingine Utafanyeje?
 
pilipili ya shamba yakuwashia nini ? Kutooa aamue mwingine kukereka ukereke wewe, mbona MAJANGAAA
 
Ikiwa kwa mwanaume too personal...heheheee angeleta mada ya kuponda wanawake walofikisha miaka 30 bila kuolewa mngetiririka na mifano juuu...MUWOWEEEE...acheni kujifanya watotooo
keem,wewe umeolewa? Na unasubiri nini mpaka sasa?
 
A man cares about other men's marital statuses?

What the hell...!!??!! That's gay as https://jamii.app/JFUserGuide.
Sijashangazwa na ulichokiandika!

Kwasababu wewe na lemutuz hamna tofauti!

Big up niger!
 
Last edited by a moderator:
Weusi tunawaza kuoa na kuzaa tu.. Hatuwazi kugundua vitu vya kuifanya dunia iwe sehemu nzuri ya kuishi.. Tunawaza kujaza watu tu duniani.. Akili finyu kabisa

Huko uswahilini unakuta mtu kazaa vitoto vitano ukiviangalia utadhani umri sawa
 
hahaa wengine ni kinyume na ile sharia ya asili a sumaku....fanyeni kazi sio kupekuana maisha hala dume aibu
 
ha ha haha atakuwa kafaidika na papuchi

Tutaolea wapi wanawake wenyewe wanaolewa na pesa wala siyo mtu...! Ukiwa na pesa inakuolea mke ikiondoka na mke naye anaifuata hukohuko...! Sasa lm mchezo ni hivyo wanawake wakaolewe na BOT,CRDB,BAYCLAYS, M-PESA, TIGO-PESA, na AIRTEL. Tumechoka kunyanganywa wake na mademu zetu hao niliowataja hapo juu..
 
Katika wanaume walioongea ya maana humu ndani wewe umeongea la maana kabisa yaani bora umewasema wewe mwenyewe mmaana ningeingia mm mamakungwi ningewachachafya mno mpaka wangebrooo
 
ha ha hahah pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…