Pumba tupu..
Hakuna point..
Wapi mleta mada Kazungumzia swala la kupeana Mimba..!!!??
Kama umepewa ukakataliwa tulia tuliiii kama maji ya mtungi maana hukulazimishwa ulitanua mwenyewe kwa ushamba wako ..!!
Labda umuumbe mwenyewe, kila mja ana mapungufu, mapenzi si kuwa na wale wenye vigezo tunavyovitaka na tunaoendana nao, mapenzi ni kuvumulia mapungufu ya wengine.....pale palipopungua tunapajaza upendo.
Sa we endelea kumsubiri huyo unayemuota hadi uzeeke.
Ulichokiandika kinaonyesha wewe ni mtu na namna gani. So nishakuelewa na huwezi kunipotezesha mda wangu kukujibu zaidi.Unakurupuka..huelewi na huwezi kuchanganua mambo. Sijui level yako ya elimu ni ipi!?
Ila ukweli unauma..na si ajabu nimekulenga. Utajijuaaa...nishakupa ukweli kaa ukilielewa hilo.
Uwezo wako wa kuchanganua ni finyuuu...pole sana!!
Kwa kumalizia mimi sio msichana tahira ambae najirahisisha kila mtu aupitie mwili wangu. Sijapewa mimba na sina mpango wa kuzalishwa na mtu asiye na future. Sipo zat cheap kijana Najiheshimu kulikoooo...na ni mtu mwenye hadhi yangu. Kaa hapo kijana!
Ila ni mwanamke kwahiyo nawasitikia sana wanawake wenzangu wanaozalishwa na vijana wapenda mgono lkn wakwepa majukumu..sababu wanapotezewa muda wao na maisha yao.
Kwahiyo km ndo tabia yako kijana poleee maana ujumbe umekufikia. Acha kuwafanya wanawake km vyombo vya starehe..km unampenda muoe...unakaa nae miaka yote ya nn km hutaki kuoa.
Wewe ndo bure kabisa, kwani umeambiwa huyo jamaa ambaye hawazi kuoa ni mweupe? Acha kujidharau.Weusi tunawaza kuoa na kuzaa tu.. Hatuwazi kugundua vitu vya kuifanya dunia iwe sehemu nzuri ya kuishi.. Tunawaza kujaza watu tu duniani.. Akili finyu kabisa
Level yangu ya Elimu ni darasa la saba aliefeli...
Ila siwezi kuandika Pumba kama unazoziandika..
Ebu angalia uandishi wako ..!!??
Kama bata
Tuachane na hayo...
Ivi Vipi yule mtoto wako wa tatu Baba ake alimkubali au alimruka kama wa kwanza na wapili...!!?
tena et anasema hata in a week ataoa... he doesnt know it takes more than than and actually huyo mtu hakuna alie perfecto.
Too narrow minded
negative IQ not even zero... perhaps ya using the small head to think and reason...
the thread sounds personal but if we put the personal point aside and deal with the concept, he has a point... the rich men I know worldwide and locally most of them married before their 40s n have got kids so kutafuta sio sababu
to my perception most of the dudes single to that age either
1. fear of responsibilities
2.the fear of heartbreaks
3.ukicheche
4. having money to the extent of being selfish to have someone else enjoy the fruits
5. an excuse ya bado najenga maisha
you guys should be sleeping with bitches could have been very fair but same guys you give people fake hopes, play around, turning them to single moms and yet insult them when they remain single to their 30s
so guys let's mind our businesses and not not judgmental plus double standards... Kama unavyoona wewe ni kuoa ni uamuzi na umebahatika kuwa kwenye uhusiano bora ( not uhusiano jina) give a break to solos.. Ts none of your damn business.
Ulichokiandika kinaonyesha wewe ni mtu na namna gani. So nishakuelewa na huwezi kunipotezesha mda wangu kukujibu zaidi.Unakurupuka..huelewi na huwezi kuchanganua mambo. Sijui level yako ya elimu ni ipi!?
Ila ukweli unauma..na si ajabu nimekulenga. Utajijuaaa...nishakupa ukweli kaa ukilielewa hilo.
Uwezo wako wa kuchanganua ni finyuuu...pole sana!!
Kwa kumalizia mimi sio msichana tahira ambae najirahisisha kila mtu aupitie mwili wangu. Sijapewa mimba na sina mpango wa kuzalishwa na mtu asiye na future. Sipo zat cheap kijana Najiheshimu kulikoooo...na ni mtu mwenye hadhi yangu. Kaa hapo kijana!
Ila ni mwanamke kwahiyo nawasitikia sana wanawake wenzangu wanaozalishwa na vijana wapenda mgono lkn wakwepa majukumu..sababu wanapotezewa muda wao na maisha yao.
Kwahiyo km ndo tabia yako kijana poleee maana ujumbe umekufikia. Acha kuwafanya wanawake km vyombo vya starehe..km unampenda muoe...unakaa nae miaka yote ya nn km hutaki kuoa.
kwa kusoma huu UZI: nimegundua TATIZO LINALOKUSUMBUA ZAIDI NI SWAGA ZA HUYU JAMAA.
KUmbe ushajua ye mambo safi sio sasa ulikua unabisha nini kule mwanzo...:yo:
unatafuta mume?
Ukioa mapema kuna uwezekano mkubwa wa kuupata umasikini
Mkuu ebu nipe taarifa za chama chetu kwanza
Hakuna taarifa zaidi ya kustructure Management ya UKAWA itakavyokuwa,kuanzia Rais na wasaidizi wake wote yaani wizarani,k
majimboni,kata,tarafa n.k na baada ya hapo ni developmental plans,kwasababu ushindi ni asubuhi ya trh 26/10/2015
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.
Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".
Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.
Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.
Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.