Haya nyie wenye Sera nzuri mmesaidiaje kuondoa umaskini na ujinga Kwa miaka yote mliyokuwa madarakani. Acha ushabiki wa chama, chama cyo team ya mpira use me utashabikia tu hata kama hileti vikombe( Liverpool, arsenal) nooffense
Haya nyie wenye Sera nzuri mmesaidiaje kuondoa umaskini na ujinga Kwa miaka yote mliyokuwa madarakani. Acha ushabiki wa chama, chama cyo team ya mpira use me utashabikia tu hata kama hileti vikombe( Liverpool, arsenal) nooffense
Sababu za kushabikia ccm ni nini. Afu angalia hizo sababu utakazo toa kama hazijaprove my point
nendeni mahakamani mkashtaki. Lowasa ndio habari ya mjini.
Do you real know the functions of the government? Bila serikali nzuri shuhguli zote za kiuchumi hazifunction smoothly, na kama ww umefanikiwa sana ni Kwa hisani ya kazi za ccm za kunufaisha watu wachache ndo maana unakisupotWewe ukishindwa maisha unafikiri wote tumeshindwa kama wewe? na hata hii dunia iishilie watu kama wewe wataendelea kuwepo kwasababu unahisi maisha ni kulalamika na kupiga mayowe huku ukifikiri maisha yanaletwa kama zawadi ama chai kwenye kikombe, shine your eyes!
Do you real know the functions of the government? Bila serikali nzuri shuhguli zote za kiuchumi hazifunction smoothly, na kama ww umefanikiwa sana ni Kwa hisani ya kazi za ccm za kunufaisha watu wachache ndo maana unakisupot
Correction of error!!! Sema nitaje sababu za kuwa mwanachama Wa CCM sio mshabiki cause the fact is Mimi sio mshabiki. Ni mwanachama.
Kweli kina sera nzuri, wanagawana pesa kwa viroba duuuh[/QUOTE
unaongea vizuri kama mgombea wenu wa nafasi ya urais bwana mamviii...
Nolieo kwa kutusaidia tu government sio neno moja kama unavyo sema wewe. Ina matawi yake. Uki sema ime shindwa Kazi jua ume jumlisha Na matawi yake ambayo Legislature au Parliament ni moja ya tawi linalo unda government. Ambapo kwenye Parliament ambayo ni Bunge yupo mbunge wako Na wangu Na wote jumlisha Wa CHADEMA Na Ukawa. Uki sema ime shindwa Kazi ina maana hata wenu wame shindwa Kazi.
hivi baba katika familia akiwa imara na familia c inakuwa imara, ccm si ndo baba na inawabunge wengi, thus kwenye kuunda Sera bora za nchi ccm inanguvu ya kupitisha hizo sera, haya Sera zipi nzuri ambazo ccm imezipitisha za kufanya uchumi na hali ya maisha ya wananchi kuwa nzuri
Hahaha wewe ni shabiki unaye confuse chama na team ya mpira,. Shabiki wa mpira hata team yake iwe mbovu kiasi gani ataisupot tu, that is what u r doing...
Huyu mtu kaandika nini humu.......
Kwahiyo NYIE mama?π
Hahaha wewe ni shabiki unaye confuse chama na team ya mpira,. Shabiki wa mpira hata team yake iwe mbovu kiasi gani ataisupot tu, that is what u r doing...
Asante Kwa kuprove my point:banghead: uelewa mdogoKwahiyo NYIE mama?π
Nilijua naongea na gamba la ccm ambalo at least lina kauelewa kapana kidogo, kumbe ndo walewale. R.I.P GAMBA LA ccm
Asante Kwa kuprove my point:banghead: uelewa mdogo