Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #61
HeheheUkiamua kuwasikiliza wapiga kura huwezi kuja na hoja hii.
Yaani hata wewe unamshinda Samia mchana kweupee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheUkiamua kuwasikiliza wapiga kura huwezi kuja na hoja hii.
Yaani hata wewe unamshinda Samia mchana kweupee
Labda Kijiji kwenu ndio hafahamiki huku Kanda ya ziwa pote mjin na vijijin ni yeye tu anzia tinde,mwamapalala, sapiwi, lamadi, masanza mpaka unakokujua wewe kuwa ni Kanda ya ziwa Lissu ni fire.Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Tatizo umeamua kubaki kwenye historia na kukwama kwenda na nyakatiKwa siasa za Tanzania wagombea wa upinzani ambao walikuwa tishio kwa chama tawala ni Lowassa na Lyatonga Mrema.Lissu ni mwanasiasa tishio ila sio katika level ya kugombea urais.Mama kumtajataja sio lazima kwa sababu ya kumuogopa,inawezekana anamkubali sana pia,inawezekana pia anataka kumvuta or ni marafiki kumbuka siasa ni uadui kwa wafuasi wa chini na sio viongozi.
Kuanzia Nyakato, nyakanazi na Lamadi huko ni Lissu mtupu a.k.a SimbaLabda Kijiji kwenu ndio hafahamiki huku Kanda ya ziwa pote mjin na vijijin ni yeye tu anzia tinde,mwamapalala, sapiwi, lamadi, masanza mpaka unakokujua wewe kuwa ni Kanda ya ziwa Lissu ni fire.
Chama chenu kinajulikana Kwa kuuwa watu kwenye Karakana za chang'ombe na hakuna kitu kingineukiacha simba na yanga,kanisa katoliki kwa wafuasi wengi ccm inafata,chama cheni icho ni cha mitandaoni na vijiweni tu
Hehehe.....mzee zinatisha hizo karakana za kukaanga miili ya uhaiChama chenu kinajulikana Kwa kuwa watu kwenye Karakana za chang'ombe na hakuna kitu kingine
Yes, sasa namshangaa huyo jamaa anayesema lissu hafahamiki labda kama anaishi kwenye Karakana za kuuwa watu pale chang'ombe.Kuanzia Nyakato, nyakanazi na Lamadi huko ni Lissu mtupu a.k.a Simba
Hahaha........Mwaka 2025 utakuwa Mwaka wenye full surprisesWatu hata hawataki kuzitumia bongo na akili zao.
2025 ni mwaka wa kufosi Yakhee!
Kutokana na nature ya Nchi yetu na mifumo iliyopo. Ni vigumu yeye kuwa ndiyeMhhhh!
Kwa maono yako,wewe unasemaje kwenye hili kwa mfano ungekua mshauri wa Lissu?tunaomba maoni yako tafadhali
Soma hapo chini 👇Shekh hussein anasemaje?
Ukiweka ushabiki pembeni utaelewa kwa sasa upinzani hawana mgombea tishio.Tatizo umeamua kubaki kwenye historia na kukwama kwenda na nyakati
Naona chawa wa Samia leo wamecharuka kweli humu kumpiga mawe Tundu Lissu, nawaona deblabant ,Lucas Mwashambwa,Tlaatlaah,Shotocan,Mkunazi Njiwa walivyokomaa leo kuandika mashudu kuhusu Lissu.Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.
Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.
Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.
Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.
Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.
Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.
Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.
Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Sad truth.Labda angekua anagombea kupitia CCM ila kama ni mgombea wa Chadema yatakua yaleyale tu
Lissu ndio mdudu gani hiyo?Naona chawa wa Samia leo wamecharuka kweli humu kumpiga mawe Tundu Lissu, nawaona deblabant ,Lucas Mwashambwa,Tlaatlaah,Shotocan,Mkunazi Njiwa walivyokomaa leo kuandika mashudu kuhusu Lissu.
Simba Dume yaani mtawala kwa kauili ya Rais Samia, wewe ni nani ubishe?Lissu ndio mdudu gani hiyo?
Kamuulize mamayenu wa kizmkaz anamjua vizur lissu.Lissu ndio mdudu gani hiyo?
Wewe umetembea wapi?Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Sasa huko mashenzini kwenu kuna wapiga kura wangapi?changamoto ya chama chake mfano uku kwetu kila uchaguzi kuna sehemu hata wasimamizi wa uchaguzi hawana