Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa siasa za Tanzania wagombea wa upinzani ambao walikuwa tishio kwa chama tawala ni Lowassa na Lyatonga Mrema.Lissu ni mwanasiasa tishio ila sio katika level ya kugombea urais.Mama kumtajataja sio lazima kwa sababu ya kumuogopa,inawezekana anamkubali sana pia,inawezekana pia anataka kumvuta or ni marafiki kumbuka siasa ni uadui kwa wafuasi wa chini na sio viongozi.
Tatizo umeamua kubaki kwenye historia na kukwama kwenda na nyakati
 
Labda Kijiji kwenu ndio hafahamiki huku Kanda ya ziwa pote mjin na vijijin ni yeye tu anzia tinde,mwamapalala, sapiwi, lamadi, masanza mpaka unakokujua wewe kuwa ni Kanda ya ziwa Lissu ni fire.
Kuanzia Nyakato, nyakanazi na Lamadi huko ni Lissu mtupu a.k.a Simba
 
Watu hata hawataki kuzitumia bongo na akili zao.

2025 ni mwaka wa kufosi Yakhee!
Hahaha........Mwaka 2025 utakuwa Mwaka wenye full surprises

Watakaobahatika kufika watakuwa mashahidi.

Tuombe Mungu Inshallah
 
Ni kweli kabisa Lissu anaishi rent free kweñye kichwa cha samia.
 
Mhhhh!

Kwa maono yako,wewe unasemaje kwenye hili kwa mfano ungekua mshauri wa Lissu?tunaomba maoni yako tafadhali
Kutokana na nature ya Nchi yetu na mifumo iliyopo. Ni vigumu yeye kuwa ndiye

Kwahiyo nashauri apokee Ushauri wa ile timu ya Wazee iliyoenda kumshauri.

He is 56 yrs now, kwanini asichague kuzikwa na mizinga 21
 

Attachments

  • IMG-20240530-WA0220.jpg
    IMG-20240530-WA0220.jpg
    70.6 KB · Views: 2
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Naona chawa wa Samia leo wamecharuka kweli humu kumpiga mawe Tundu Lissu, nawaona deblabant ,Lucas Mwashambwa,Tlaatlaah,Shotocan,Mkunazi Njiwa walivyokomaa leo kuandika mashudu kuhusu Lissu.
 
Huwa nashindwa kuelewa ni vipi ccm huwa wanaogopa hasa kwenye urais wakat wanajua watz wengi ni wajinga,hakuna tume huru,dola lote mpaka wazee wa mabaka mabaka wote wako upande wao bado wana backup kubwa ya walimu wasimamiz wa uchaguzi na wakurugenz kila wilaya
 
Back
Top Bottom