Yes Genta na Lusungo haujawatupia lugha chafu, ila kwa huyu Ubemuoje umetupia mitusi ya nguoni ukimfananisha na Malaya wa Kimboka kwamba 'ana kiherehere kama Malaya wa Kimboka', acha kua hivyo jifunze kupotezea mambo mengine sio lazima utukane ndio uonekane umesema sio vizuri kwanza kurushiana maneno machafu haileti picha nzuri,Tazama post ya kwanza aliyoniquote, soma maandishi aliyoyatumia...
Mbona Genta na Lusungo wameuliza swali hilo hilo na reaction yangu kwao haijawa na ukakasi? Umejiuliza hili swali?
Sina uhakika na andiko lako ninavyofahamu, Bukoba airport haina control tower.Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri.Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Yes Genta na Lusungo haujawatupia lugha chafu, ila kwa huyu Ubemuoje umetupia mitusi ya nguoni ukimfananisha na Malaya wa Kimboka kwamba 'ana kiherehere kama Malaya wa Kimboka', acha kua hivyo jifunze kupotezea mambo mengine sio lazima utukane ndio uonekane umesema sio vizuri kwanza kurushiana maneno machafu haileti picha nzuri,
Eeeh, kwani si ina gia namba mojaYaan ndege iishe mafuta kwa kuzunguka dk 30??? We jamaa
Sawa mkuu, nimeona ila ungepotezea tu sio vizuri kutupiana maneno machafu mkuu
Wamenambiwa na Ruban, unafikiri Ruban anaweza Sema ukweli wa matairi alete taharuki zaidiStori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Wewe ulienda too far!.. stupid au kubeba maboga kichwani sio tusi la kumuita Malaya wa kimboka... Jamaa kakupa unachostahiliView attachment 2408850
Aliaanza nami nikamaliza...fair game!
Tuachane na hii conversation, ipo nje ya mada ya huu uzi...tafadhali
Sawa mkuu, nimeona ila ungepotezea tu sio vizuri kutupiana maneno machafu mkuu
Sawa mkuu,Nimekupata mkuu pamoja...mods watafuta hizo conversations
Ndege haikugoma kutoka magurudumu, imetua kawaida ila imepitiliza barabara ya kurukia. Sababu ziko nyingi tu zinazoweza kusababisha hayo kutokea na hii siyo mara ya kwanza na haitokuwa ya mwisho zinapitiliza kila siku ulimwenguni kote, kwa sababu tofauti.Hii ndege ilikuwa kimeo tokea muda...
Mara engine imezimika, na sasa matairi yamegoma....
Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani
Abiria ndani ya ndege ya Kampuni ya Precision, jana waliingiwa na hofu ya usalama wao baada ya injini moja kuzima ikiwa angani. Ndege hiyo yenye namba PW 467 ikitokea Kahama, ikielekea Dar es Salaam kupitia Mwanza, ilizima injini baada ya dakika 51 kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza...www.jamiiforums.com
Duh aisee.Biden amewaomba hao Wavuvi waende Marekani ana Jambo!
Ni nadra sana ukizungumzia ulimwenguni, isipokuwa runaway moja tu ya Nepal inayoishia kwenye korongo....Ndege haikugoma kutoka magurudumu, imetua kawaida ila imepitiliza barabara ya kurukia. Sababu ziko nyingi tu zinazoweza kusababisha hayo kutokea na hii siyo mara ya kwanza na haitokuwa ya mwisho zinapitiliza kila siku ulimwenguni kote, kwa sababu tofauti.
Shirima kabila msambaaMmiliki wa hii kampuni ni nani, na kabila gani??
Japo ni tetesi lakini zina ulakini,kwani kulingana na abiria aliyekuwa ndani ya ndege,sio kweli kuwa ndege ilizunguka sana bukoba,ilijaribu kutua mala moja ikashindikana,akazunguka akaja kujaribu ,ndipo ikatumbukia ziwani.Hivyo mafuta yalikuwa bado yako mengi kwani alikuwa na mafuta ya kumfikisha mwanza.Kingine sio kweli kuwa hiyo ndege rubani ndio ameamua kuishusha ziwani,bali ndege ndio imedondoka,ghafla haya ni kulingana na maelezo ya rubani mstaafu,na ndio maana madhara yamekuwa makubwa kiasi hiki.Kwani kwa eneo alilokuwa amefika mita 100,kabla ya kukanyaga runway angeweza kuishusha majini pembezoni mwa ziwa hapo,na kusingekuwa na madhara kiasi hiki.Eti ipeleke ziwani tu watakuja kuwaokoa hahaaa!!ndege imekuwa lori la kulilaza kwenye mtaro,ili kupunguza madhara..Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Akina Shirima si watu wa Moshi Arusha hao au hii wanzuki imenichukua?Shirima kabila msambaa
Tunaweza propaganda japo nazo ni za kitotoNchi hii sijui tunaweza kitu gani
Kasimulia wapi mkuu nikasikilize?