Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Boya katika ubora wake....Kwahiyo umeshaandaa makalio?
Umeyapaka samli au corie oil?
Umeandaa makalio?Boya katika ubora wake....
Mwanaume na mwanamke mtimilifu hamtukani asiyemjua haswa ASUBUHI.....
Endelea kupambana na upumbavu wa NAFSI YAKO.....
Kumbe safari za Hijja bado zipo maana nakumbuka walisema lazima uwe umechanjwa na mwishowe wakahaghairisha kabisa hakuna safari za Hijja.Naam.....
Baadhi wanakataa chanjo ilihali ndugu zao wanasafiri na wengine kwenda kufanya ibada za Hija Makka na Bethlehem.....
Yaani MADAKTARI na manesi wetu wanaotupambania afya zetu WASICHOMWE CHANJO ili wamalizike ?!!
Mijitu inasahau kuwa hao MADAKTARI na manesi wanawatibu wagonjwa wa UVIKO na jioni wanarejea kwenye familia zao ,na pia kujumuika nasi MABAA na VIJIWE VYA KAHAWA ...
Sasa wanataka waeneze UVIKO na kutufanya tupukutike sote wao na sisi raia?!!!
WANAOPINGA CHANJO ni wajinga KUPITILIZA.......
#KaziIendelee
Tatizo hutakiwi kuhoji utaishia kuambiwa unakataa uwepo corona, we unatakiwa ukubali tu kinachoelezwa bila kuhoji.Niko Mwanza na ninazunguka maeneo mengi kwa wiki, Shughuli zinaendelea kama kawaida.
Kwetu ni Igogo na nisehemu yenye population kubwa, sijasikia habari za watu kuugua korona.
Ninao marafiki kibao Kirumba, Malimbe, Igoma n.k, Na nisehemu zenye mikusanyiko mikubwa lakini hakuna habari ya korona huko pia.
Mahari napoishi pia sijasikia habari za ugonjwa wala vifo vilivyosababishwa na korona.
Pengine walipaswa watoe ufafanuzi vizuri kwa sababu si kwamba oxygen nikwajili ya wagonjwa wa korona pekeake.
Kwa uhaba huo wa oxygen na ugonjwa huu unavyoenea kwa kasi tayari majibu yangekuwa yameshaonekana mitaani (vifo kama ilivyo uko uganda)
Acha wife. We will all dieNiliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Hali ya corona kwa Tanzania huko hospitali ikoje? maana kuna hoja ya kwamba Tanzania tumejiachia kwa muda kutokuchukua tahadhari sasa mbona hatujaona hospitali kuzidiwa wagonjwa mpaka sasa kama athari za kutokuchukua tahadhari?Mkuu bora wewe umetuonea huruma .
Embu fikiria Mtu unatumia masaa mengiii, ndani ya wodi la UVIKO, na nikila siku
Alafu mpuuzi mmoja anakuambia, Hatutaki chanjoo
Maninaaaa !! Watu wabinafsi kinyama.
Haya majamaa maongo kweli watu wanadunda tu mitaani wala hamna shida kabisaKorona ipo ila sio kwa kiwango hicho wanachotaka kukikuza, ingekuwepo kwa kiwango hicho wanacholazimisha mbona ingekuwa hatari, tunabanana kwenye daladala, masokoni, wanafunzi mashule mbona watu wangekuwa wanakufa kila saa.
Kusema wana upungufu wa mitungi ya gesi haimaanishi wanawagonjwa wengi. Taarifa iliyotolewa inaelezea upungufu wa vifaa hivyo katika kukabiliana na tatizo endapo litatokea kwa ukubwaNiliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Alimuambukiza kipindi gani na yeye Dikteta kaanza kuumwa baada ya muda gani?Dikteta alimuambukiza maalim seif,baada yakwenda chattlee
Kwamba toka corona iingie Tanzania mwaka jana ndio hivi sasa tunapata upungufu wa mitungi?Nimeona kwenye magaseti hospital ina upungufu wa mitungi 500, hatari sana mkuu
Ipo sawa ila kwa kiwango gani? kwamba ni hali ya kawaida tu au ndio kama wanavyosema wengine kwamba hali mbaya?Korona ipo jamani
Waliyotuambia hizo sala zimesaidia na wanaotuambia hali ya corona ni mbaya sana, hao wawili wanatofauti gani?Zile sala ambazo Magufuli pamoja na baadhi ya viongozi wa dini walituaminisha kwamba zilisaidia kuondoa covid 19 kipindi kile mbona sasa haziongelewi tena..!!
Hii nchi imejaa sana usanii. π€£ π€£