#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Tukichanjwa ndio hatutakufa? Nonsense
 
NIKO JIJI LA MWANZA
najihusisha na uendeshaji wa bodaboda

nimeshindwa kuunganisha dot kama ni korona au ni ugonjwa wakawaida.J Mos ilopita nili endesha boda bila kujifunga kizuia baridi shingoni.hivyo j pili nikaamka na dalili za kikoozi.j3 kikawa kifua kikohoz na mafua ywliombatana na kuumwa pua.yani ukivuta hewa inakua kama hewa unayo ivuta baada ya kupigwa ngumi ya puaa.

Juz hali ikawa mbaya zaidi nikaamua kuchukua baisikel nikaendesha roote nyegez malimbe kwenda kurudi.lakini bado hali ikawa vilevile.

ikabidi ni dhani tena.nikadhani kua kwakua nimeacha mazoez ya gym kwa miez 2 labda ndo homa ya gym. juzi jioni niingie gym nikapiga tizi kwa masaa3 na maji lita 2 nikawa nishatumia.lakini usiku kifua kikapamba moto.ikabidi niokoke nisalii
mungu si asthuman nikapata haueni

nimeingia gym tena asubuh ya leo kilichobaki ni kikohozi kifua kwa mbali mafua kidogo ila bado pua inaumaa kinoma kama nimepigwa ngumi ya pua..


kAMA NA WW UME EXPIRIENCE KITU KAMA HICHO UNAWEZA KUSHARE
 
Ndugu yangu tumezika watu wawili ndani ya siku tisa tu (Bukoba). Mwanza, Bugando ukifika hali ni mbaya sana katika hili janga kama ambavyo Mama alijionea hali pale Mwananyamala hospitali.
 
Ije hata delta force. Kila mtu atakufa it’s a matter of time na kila mtu afanye kimpasacho kama ni chanjo it’s okay kwa yeyote atakaye

Mimi binafsi naamini siku ikifika imefika ila iwe kwa Mpango wa Mungu so iwe Corona kama ipo! It’s okay au gonjwa lolote sawa tu infact I never fear death kwa sababu ndio njia ya kunifikisha mbinguni
 
Kumbe safari za Hijja bado zipo maana nakumbuka walisema lazima uwe umechanjwa na mwishowe wakahaghairisha kabisa hakuna safari za Hijja.
 
Tatizo hutakiwi kuhoji utaishia kuambiwa unakataa uwepo corona, we unatakiwa ukubali tu kinachoelezwa bila kuhoji.
 
Acha wife. We will all die
 
Mkuu bora wewe umetuonea huruma .


Embu fikiria Mtu unatumia masaa mengiii, ndani ya wodi la UVIKO, na nikila siku

Alafu mpuuzi mmoja anakuambia, Hatutaki chanjoo

Maninaaaa !! Watu wabinafsi kinyama.
Hali ya corona kwa Tanzania huko hospitali ikoje? maana kuna hoja ya kwamba Tanzania tumejiachia kwa muda kutokuchukua tahadhari sasa mbona hatujaona hospitali kuzidiwa wagonjwa mpaka sasa kama athari za kutokuchukua tahadhari?
 
Korona ipo ila sio kwa kiwango hicho wanachotaka kukikuza, ingekuwepo kwa kiwango hicho wanacholazimisha mbona ingekuwa hatari, tunabanana kwenye daladala, masokoni, wanafunzi mashule mbona watu wangekuwa wanakufa kila saa.
Haya majamaa maongo kweli watu wanadunda tu mitaani wala hamna shida kabisa
 
Kusema wana upungufu wa mitungi ya gesi haimaanishi wanawagonjwa wengi. Taarifa iliyotolewa inaelezea upungufu wa vifaa hivyo katika kukabiliana na tatizo endapo litatokea kwa ukubwa

Kifupi hayo yamesemwa katika hali ya kuweka tanadhari
 
Mwanza Kigoma Kagera
Mguu Sawa
Mambo Siyo Shwari
πŸ˜£πŸ˜πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜πŸ˜
Tumtangulize Mungu!!!
 
Zile sala ambazo Magufuli pamoja na baadhi ya viongozi wa dini walituaminisha kwamba zilisaidia kuondoa covid 19 kipindi kile mbona sasa haziongelewi tena..!!

Hii nchi imejaa sana usanii. 🀣 🀣
Waliyotuambia hizo sala zimesaidia na wanaotuambia hali ya corona ni mbaya sana, hao wawili wanatofauti gani?
 
Kuongezeka kwa cases huko kunaweza kuhusishwa na janga la Uganda, ni kuzingatia tu njia za kujikinga zinazoshauriwa......mafua ya msimu hayajawahi kuleta crisis hadi ya kusababisha wagonjwa wengi wapate usaidizi wa kupumua kwa mashine ya oxygen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…