#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Ukifuatilia sana ni Mpori mpori wa mikoa tetesi......
Anajisahau na kutupia kilugha hapa na pale...
Bado yuko kwenye mfadhaiko........kisaokolojia ,
Ni Tutusa fulani limepata simu janja...
 
Tupigwe Chanjo, kazi iendelee.
Naam.....

Baadhi wanakataa chanjo ilihali ndugu zao wanasafiri na wengine kwenda kufanya ibada za Hija Makka na Bethlehem.....

Yaani MADAKTARI na manesi wetu wanaotupambania afya zetu WASICHOMWE CHANJO ili wamalizike ?!!

Mijitu inasahau kuwa hao MADAKTARI na manesi wanawatibu wagonjwa wa UVIKO na jioni wanarejea kwenye familia zao ,na pia kujumuika nasi MABAA na VIJIWE VYA KAHAWA ...

Sasa wanataka waeneze UVIKO na kutufanya tupukutike sote wao na sisi raia?!!!

WANAOPINGA CHANJO ni wajinga KUPITILIZA.......

#KaziIendelee
 
Ukifuatilia sana ni Mpori mpori wa mikoa tetesi......
Anajisahau na kutupia kilugha hapa na pale...
Bado yuko kwenye mfadhaiko........kisaokolojia ,
Ni Tutusa fulani limepata simu janja...
🀣🀣🀣
Huyo jamaa ni bonge la ndwanye , hobobo fulani hivi.....
 
Rwanda wametangaza lockdown nyingine na wanafunzi wameanza kurudishwa nyumbani.
Kumbuka Rwanda ni ya kwanza kabisa kuchanja watu wake.
Chanjo zote Duniani za magonjwa ,huchukua majaribio ya miaka kuanzia 5 mpaka 10 ndio ziingizwe kwa watumiaji.


Tatizo nikwamba, UVIKO unasambaa kwa kasi , unaua chapchap , DUNIA ifanyaje ??

Ndio maana Dunia imekuja na chanjo zilizojaribiwa ndani ya mwaka tu


Mbona wachina wamefaulu ,kupitia chanjo yao?.
 
Niko Mwanza na ninazunguka maeneo mengi kwa wiki, Shughuli zinaendelea kama kawaida.

Kwetu ni Igogo na nisehemu yenye population kubwa, sijasikia habari za watu kuugua korona.

Ninao marafiki kibao Kirumba, Malimbe, Igoma n.k, Na nisehemu zenye mikusanyiko mikubwa lakini hakuna habari ya korona huko pia.

Mahari napoishi pia sijasikia habari za ugonjwa wala vifo vilivyosababishwa na korona.

Pengine walipaswa watoe ufafanuzi vizuri kwa sababu si kwamba oxygen nikwajili ya wagonjwa wa korona pekeake.

Kwa uhaba huo wa oxygen na ugonjwa huu unavyoenea kwa kasi tayari majibu yangekuwa yameshaonekana mitaani (vifo kama ilivyo uko uganda)
 
Mkuu bora wewe umetuonea huruma .


Embu fikiria Mtu unatumia masaa mengiii, ndani ya wodi la UVIKO, na nikila siku

Alafu mpuuzi mmoja anakuambia, Hatutaki chanjoo

Maninaaaa !! Watu wabinafsi kinyama.
 
Covid 19 is real and so do the Delta variant. Take precautions, its not a rocket science,simply mask wearing, social distancing, and observing normal hygiene standards and practices like washing hands etc. If symptoms persist, consult a physician
Covid ni Propaganda
 
Achana nakoo

Wadudu wamekavamia ubongon

Hawa watu huwa hawana tofauti na wavuta bangi

Wana makasiriko haoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu huyo Kichwa chake ni kibovu tu....

Bangi inavutwa vyema tu na watu kufanya yao....ingekuwa Jamaica ina vichwa vibovu kama huyo "Popoma" basi WHO ingetutangazia kama JANGA 🀣

Ok huku kitaa na masela wangu sisi tunaisubiri kwa hamu kubwa hiyo chanjo......

#KaziIendelee
 
Mkuu kwa pamoja tunaisubiri .


Uwe na usiku mwema
 
Mkuu bora wewe umetuonea huruma .


Embu fikiria Mtu unatumia masaa mengiii, ndani ya wodi la UVIKO, na nikila siku

Alafu mpuuzi mmoja anakuambia, Hatutaki chanjoo

Maninaaaa !! Watu wabinafsi kinyama.
We acha tu....

Hao wabinafsi na akili hawana....

Tunakwenda vituo vya afya kila siku....Sasa unakwenda kutibiwa na Daktari na Nesi mwenye UVIKO...tutakosaje na sisi ?!!!

Then baada ya muda WAPUKUTIKE wataalamu wetu wa afya na sisi.....

Wataalam wenyewe wachache...

Yaani Serikali inasomesha hao wataalam kwa muda mrefu....
HESLB inawasomesha kwa muda mrefu.....
Wazazi ,ndugu na jamaa wamejipukutisha "masimbi " Yao ili wasome.....
Wengi wao vijana hata RETURN ya jasho lao hawajaliona ...halafu "ming..e" fulani inatuletea PANG'ANG'A na USHUBWADA wa kukataa chanjo simply tu kwa UJINGA WAO NA CONSPIRACY THEORIES za wanaa wenye hisia koko.....Khaaaa

Pathetic
 
Mkuu kwa pamoja tunaisubiri .


Uwe na usiku mwema
Amiin daktari πŸ™

Nawe pia komredi,thanks....ulale uamke ukatutumikie.....sisi wengine tunathamini mchango wenu mkubwa kwa ujenzi wa taifa letu bora....!!

Siempre Camarada!
Yetzer ha-tov!

#KaziInaendelea
 
πŸ‘πŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Hii chanzo ukipigwa ruksa kunywa pombe siku ile ile uliyochanjwa?
 
Wacha kiingie mbona tushakizoea tu
 
Nimeona kwenye magaseti hospital ina upungufu wa mitungi 500, hatari sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…