Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

💯 ndugu acha tu mji mbaya huu sanaa

Kuna boss mmoja kila mwaka anakodisha friends 2 wanaja ndugu na majiran anaenda bukoba kufanya party kubwaaa kinachotokea vijana wanapewa kazi za kukusanya sevieti na wengine maji tu

Mwakajuzi nikaenda kiborilo nkakuta makubwaaaaaa acha mfanyabiashara mkubwa kakusanya kilimanjaro 2 kalaza ngombe 5 Michele kama kawaaaa

Kufika unanawa unashangaa maji yakijaaa yanaenda kupelekwa kwenye pipa kha hata sikuendelea kukaa nkahisi wakinikosa hapa wanapiga kwenye chskula kumbe na sevieti wanaziokota kututengeneza

Usionee ufanikiwi unafilisika sioo kila sherehe misiba ya kuhudhuria mingine .....ntarudibadae
hata munuo kanisa lake la siloam kule mbezi, alikuwa anawanawisha ati anatawaza miguu waumini wote, ni kama ibada hizo za mwamposa za mafuta, yeye watu wanajipanga mstari anasema anawatawadha kama Yesu alivyotawadha wanafunzi, halafu yale maji yake mliyonawishwa anapigia deki. Munuo alikuwa mtu wa Bomang'ombe pale.
 
Tamaduni ya watu was Malawi .... Maji aliyoogeshwa Maiti mnakuja kuchanganyiwa kwenye chakula.
Baada ya Msiba kati ya wale mlioshiriki chakula anarudisha ID.
hii ndio maana nikasema utaona wale wanaojitolea saana basi hudhurika kumbe huwa wanakutana na ajali za namna hii bila ya wapendwa wao kugundua
 
hata munuo kanisa lake la siloam kule mbezi, alikuwa anawanawisha ati anatawaza miguu waumini wote, ni kama ibada hizo za mwamposa za mafuta, yeye watu wanajipanga mstari anasema anawatawadha kama Yesu alivyotawadha wanafunzi, halafu yale maji yake mliyonawishwa anapigia deki. Munuo alikuwa mtu wa Bomang'ombe pale.
Mwache Munuo apige pesa meku .
 
Du ... siiamini habari hii kwa sababu mbili.
Kwanza sijawahi kuisikia.
Pili, wakila uchafu toka kwa maiti, kama maiti ina kipindupindu au gonjwa lolote la kuambukiza, si watu watafutika kwa maelfu?
Hii si kweli.
wanafutikaje wakati kitu kimechemshwa/kimepikwa. ulienda shule kweli wewe? hivi kitu kikichemka wadudu hawafi?

penye ukweli semeni, though haya mambo mila nyingi zinaenda zikipotea hasa wale wanaookoka kwa kweli.
 
Hii ni siri kubwa sana kwenye misiba ya wachaga , huwa ile wanaendaga kuzika home, wachaga huwaga wanaamua kwa siri kukamua baadhi ya viuchafu fulani hivi kutoka kwa yule maiti na kuchanganya kwenye supu au msosi ili watu wengi wakila msibani inasemekana kama ukoo una laana ya kifo basi itakuwa imeshagawanywa kwa watu wengiii wa koo na makabila meengi na kama imegawanya kwa maelfu basi kwenye familia ile itakuwa imepunguzwa sana hivyo hawatakuwa wanakufa kizembe zembe !! tena.

Yaani hapa maana yake wanai-dilute ile laana ya kifo au wanai-stretch ili ikose nguvu.

Bapa nakubaliana nao kabisa ndio maana utakuta wale wanaopenda kuhudhuria misiba na kula sana huko hawachukui muda na wao safari inawakuta hapa tatizo kumbe ni ile share ya mauti waliyokula sasa kama ulikuwa na miaka michache uliyoandikiwa basi utakuta ukila kwenye misiba kumi tu ya kichaga na we safari twende kwa pilato.
Kawaida kabisa hiyo imeanza muda mrefu...
 
hata munuo kanisa lake la siloam kule mbezi, alikuwa anawanawisha ati anatawaza miguu waumini wote, ni kama ibada hizo za mwamposa za mafuta, yeye watu wanajipanga mstari anasema anawatawadha kama Yesu alivyotawadha wanafunzi, halafu yale maji yake mliyonawishwa anapigia deki. Munuo alikuwa mtu wa Bomang'ombe pale.
aissee!! hii dunia ni sehem hatari sana na tunapoishi inabidi tujichunge saana haya mengine nilikuwa siyajui
 
huwe

zi ukajua sababu we ulikuwa mdogo na wafanyayo hayo ni wale wazee magwiji wanaozijua mila we mtoto huwezi shirikishwa ndio maana ikaitwa siri kubwa ya kunusuru ukoo
Lakini kwenye maelekezo yako inaonyesha ukila huchuki muda unakufa harafu wakati huohuo unasema wanafanya hivo ili kunusuru mbona hueleweki au Mimi ndo Sina D mbili?
 
Lakini kwenye maelekezo yako inaonyesha ukila huchuki muda unakufa harafu wakati huohuo unasema wanafanya hivo ili kunusuru mbona hueleweki au Mimi ndo Sina D mbili?
ina maana wote wameelewa umeshindwa wewe tu hapo bila shaka utakuwahuna kweli hizo D mbili
 
acha kashfa bro sisi hatutukani mtu hapa tuna expose baadhi ya mila hatarishi zinazotuathiri sisi ambao sio wachaga kama zingekuwa zinawahusu wenyewe tusingewazungumzia lakini zinatugusa sababutunakwenda kula kwenye misiba hiyo kwa wema wetu lakini tunaripwa ubaya
unachofanya ni ku-expose your ignorance, kwanza siku hizi vyakula vinapikwa na catering services ambao pengine siyo ata wa hilo kabila, ushamba ni mzigo sana
 
Kinyesi cha marehemu kinapatikanaje?
Wanaweza mpira wa maji mdomoni , kisha wanaweza kitu kizito tumboni, kitanda cha kamba kalazwa maiti, chini kinategwa chombo, inapigwa pressure hadi nnya inachuruzikia chomboni, inaenda kuchanganywa kwenye diko la msibani, kisha wanahifadhi kiasi kingine kwa ajili ya diko la 40
 
Wanaweza mpira wa maji mdomoni , kisha wanaweza kitu kizito tumboni, kitanda cha kamba kalazwa maiti, chini kinategwa chombo, inapigwa pressure hadi nnya inachuruzikia chomboni, inaenda kuchanganywa kwenye diko la msibani, kisha wanahifadhi kiasi kingine kwa ajili ya diko la 40
Duh...uongo huu.
 
Back
Top Bottom