Hao askari wapumbavu sana hawajui kuwa wanazima moto kwa mafutaDuru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Ni Askari wa Tanzania Tu ndio Wapumbavu kiasi hiki, wanafanya KAZI kama Robots, akiambiwa piga anapiga, reasoning ni Sifuri kama AwadhHao askari wapumbavu sana hawajui kuwa wanazima moto kwa mafuta
Una hakika au umeamua kuchagua upannde wa Kuminya haki kwa sababu ya kupata umaarufu au kuonekana na wewe ni mchangiaji mada? kumbuka kuwa jambo hilii ni halisi na linagusa maisha ya binadamu wenye damu na nyama kama wewe. Unapofurahia na kushinikiza mateso zaidi ya wengine, hakika nakuambia hutaiona mauti kabla ya kuona kama sio wewe au mtu au watu wa damu yako wakipitia madhila hayo hayo, hiyo ni kanuni ya maisha siku zote. Wakati wewe unasherehekea mateso yanayofanywa na watawala kwa maslahi yao binafsi Mungu aliye hai anakutazama wakati wote. Wananchi Ngorongoro wadai kupunguziwa huduma, Serikali yajibuHao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Ndio Afrika hiyo, "When things are dangerous to say, it's better to remain silent rather to say.......coz at the end day, it will cost you a lot interms of person life and family in general even to lose you are soul.Hapo wanatengeneza tatizo ama kutatua.
When criminals enact laws no-one is safe. Hiyo sio amani kama wala utulivu kwa tafsiri ya uhalisia wake na falsafa inayoeleza nini maana ya amani. Huo ni ukandamizaji kwa faida ya wachache na maslahi yao: Wananchi Ngorongoro wadai kupunguziwa huduma, Serikali yajibuAMANI YA HII NCHI NI MUHIMU KULIKO KITU CHOCHOTE
tuvipishe vyombo husika vifanye kazi yake kusafisha na kuweka utulivu nchini kama ilivyo ada
Safi sanaSidhani kama hiyo mbinu inaweza ikawasaidia zaidi ya kuwadidimiza zaidi.
Isipokuwa tu wakumbuke kwamba "When injustice becomes law resistance becomes duty."
Thomas Jefferson.
Hata wasakwe vipi, lakini ujumbe muhimu tayari umekwisha vikishwa kwa ustadi mkubwa sana.Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Wacha waminywe kende,pasiwe na mazowea ya kingesengese na serikaliDuru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
hapo ulipo wewe hizo kende zako inaonyesha zinaminywa tayari na ujumbe uliofikishwa. Na bado zitaminywa sana kuendelea mbele.Wacha waminywe kende,pasiwe na mazowea ya kingesengese na serikali
Kila chenye mwanzo lazima kina mwishoWatabanwa mpaka waseme, Ile ya Sugu ni Trailer tu, movie yenyewe inakuja.
Bi Kizimkazi hataki kusikia shida na matatizo... Yote anayajua ... Nyie andamaneni kulisifu na kuliimba jina lake!Ila hii nchi ngumu sana badala ya kutatua shida walizonazo wamasai zilizowafanya waandamane wao wanakwenda kupambana wa watu wasiohusika
TUNA SAFARI NDEFU SANA KAMA TAIFA
Hao wahamie msomera, wanakomaa hapo kwa sababu wamezoea kutongoza vizee vya kizunguUna hakika au umeamua kuchagua upannde wa Kuminya haki kwa sababu ya kupata umaarufu au kuonekana na wewe ni mchangiaji mada? kumbuka kuwa jambo hilii ni halisi na linagusa maisha ya binadamu wenye damu na nyama kama wewe. Unapofurahia na kushinikiza mateso zaidi ya wengine, hakika nakuambia hutaiona mauti kabla ya kuona kama sio wewe au mtu au watu wa damu yako wakipitia madhila hayo hayo, hiyo ni kanuni ya maisha siku zote. Wakati wewe unasherehekea mateso yanayofanywa na watawala kwa maslahi yao binafsi Mungu aliye hai anakutazama wakati wote. Wananchi Ngorongoro wadai kupunguziwa huduma, Serikali yajibu
Wewe umekaa mjini unakula kiyoyozi, hao mazingira wanayoishi hawaruhusiwi hata kujenga nyumba ya kudumu, wala kuwa na umeme, watoke waende MsomeraAre you mentally stable?
Ni kweli kabisa.
Ila AMANI siku zote huwa ni tunda la HAKI.
No Justice No Peace!
[emoji1787][emoji1787]Hao wahamie msomera, wanakomaa hapo kwa sababu wamezoea kutongoza vizee vya kizungu
Kwenye njaa na palipo kosekana haki hakuna utulivuAMANI YA HII NCHI NI MUHIMU KULIKO KITU CHOCHOTE
tuvipishe vyombo husika vifanye kazi yake kusafisha na kuweka utulivu nchini kama ilivyo ada