DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Kwahiyo wewe halikuhusu?Nope, as long as unapumua kwenye hii dunia challenge lazima zitakuwepo tu.
Lakini lazima uelewe kwamba kuna personal challenge, family challenge, work challenge na nyingine nyingi. But kwa hili la wamasai wewe ukijiweka mstari wa mbele na huku wewe sio mwathirika unafikiri nini unatafuta kwa hii serikali corrupt.
