Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Wapi nimemtaja Magu? Au tu umemkumbuka kama alivyosema?Magu amekufa mkuu, na ameshazikwa, na ameshaoza. Nothing less nothing more. Iwe utililie shaka au usitie, Samia ndiyo Rais wako hadi 2030 kama atapewa uhai.
Ndiyo maana tukasema, Mzigo mzito alitwishwa Anko, watazamaji wakadai eti ni mwepesi sana, na wao wanauweza. Haya sasa!Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
Kosa la Bi Mkubwa ^haliteteki^ 🙂Ina maana na mikataba inayosainiwa yeye anakua hajui?
Kwa makadirio ya chini, nchi yetu itakuwa imekopa zaidi ya TZS trilioni 100.Halafu ndio anapigiwa ngonjera aongoze mpaka 2035,mpaka muda huo wenye mikopo yao watakuwa wameshachukua chao.
Aione snitch ZZKNdugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Point hapa ni kuwa! Tuna Rais Kilaza wa kutupaPoint yako nini kwani?
Implication ya comment yako kwamba yeye Rais hahusiki kwenye mambo ya msingi kama haya juu ya fedha, ni kwamba hata mikataba hahusiki nayo.Wapi nimesema hajui?
Ndio maana Magufuli mara nyingi alikuwa haandikiwi hotuba na alikuwa anakesha na mafaili mwenyewe
ZittoAione snitch ZZK
Hoja yako imeeleweka. Anachotaka kufanya ni kuonyesha kuwa Rais Samia anao upungufu fulani wa kiuongozi. Umekuja na hoja ya Saddam Hussein kuongoza Kuwait ambayo kila mtu aliidharau na kuangalia matokeo mapana zaidi ya kazi yake.Yes, Rais amekosea then what? Kuna kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa kwa Rais kukosea? Rais JPM alikosea na kusema Saddam Hussein Rais wa Kuwait, ilimfanya kukiuka Katiba? Let's deal with tangible issues, at least zile zenye makosa ya kikatiba au kisheria wajamen.
Hayati Magufuli alikuwa na makosa mengi tu na yote hamkuyapa kipaumbele kama awamu ya sita. Hizi nongwa zitakuumizeni nafsi zenu.Kwa ufupi nchi inaongozwa na mtu asiyekuwa na weredi Wala ujuzi wa kuongoza NGO,achilia mbali nchi kama hii.na hii inajionyesha kwenye teuzi zake,amejaza watu wasio na akili kabisa,hotuba ya Raisi inawezekana vipi ikawa na makosa!!Kuna jopo huwa linaandika hii hotuba!,washauri wake wa uchumi Tena maprofesa kwanini hawakuona haya madudu!!!
Hii ni dalili kuwa nchi sasa hv inajiendea tu,ipo kwenye auto pilot.
Unalaumu vipi Waandishi wakati ni Rais alitamka kwa kinywa chake?Waandishi ndiyo wakulaumu hapa. Ni makoosa makubwa sana kuandika $4765 million badala ya kuandika $4.765 B au kwa ufupi $4.8B waandishi wa Tanzania wana complicates sana !
Wapi nimesema hivyo, jamaa itakuwa umelewa viroba wewe. Sio akili ya kawaida.Implication ya comment yako kwamba yeye Rais hahusiki kwenye mambo ya msingi kama haya juu ya fedha, ni kwamba hata mikataba hahusiki nayo.
Huu Utopolo ni wa kiwango cha juu sana sanaNdugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Itakuwa hujui kusoma. Pole sana.Wapi nimesema hivyo, jamaa itakuwa umelewa viroba wewe. Sio akili ya kawaida.
Nchi inaongozwa na VIBWENGO VYA MZEE WA MSOGANdugu zangu haya mambo yanashangaza sana.Katika kipande cha video hapo chini Rais Samia Suluhu Hasan akiwa Mwanza mwezi juni 2021 alidai kuwa akiba yetu ya fedha za kigeni ni dola za kimarekani bilioni 4765.
Ndugu zangu Mwezi Juni 2021 tuliambiwa tuna akiba ya fedha za kigeni dola bilioni 4765. Mwezi Disemba ikapanda na tukaambiwa akiba yetu imefika Dola za kimarekani bilioni 6253. Mwezi Juni 2021 mbona taarifa ya ufafanuzi kuwa Serikali imekosea haikutoka?
Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa haya mambo yanapangwa kimkakati na kwa makusudi kwani siyo rahisi Rais akosee mara mbili.
Huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.Ni vyema tukajua ukweli uko wapi kwani hii nchi ni yetu sote.
Kwa mtu mwenye akili zake ukiunganisha doti ya hizi hotuba mbili ni lazima upate harufu ya kitu ambacho siyo kizuri.
Kitendo cha Rais kukosea mara mbili kinaibua tena maswali kadha ambayo ndani yake yanatupa taarifa kuwa huenda nchi inaongozwa kwa propaganda.
1.Inawezekana Rais amekosea mara mbili?
2.Mbona mwezi juni 2021 hatukupata ufafanuzi kuwa Serikali imekosea?
3.Kama Rais anakosea kirahisi hivi,ni mangapi anakosea?
View attachment 2066406
Nikweli house girl mungu ampe nini tena ? Labda gunia la chawa kuwa raisi bila ya kupigiwa kula wala kuchaguliwa na wananchiWenye shida ni nyie ila samia hana shida kabisa anawachora tu mnavyohangaika mitandaoni mabwege nyie