Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Hii sio kwel hata uislamu haufundishi hivi unazungumzia kwa hisia hutumii akili naona kwa sasa muislamu akipata cheo au nafasi yoyote ile basi ni udini as if ivyo vyeo na fursa zipo kwa ajili ya wakristo tu lakin huwez kumsikia muislamu akilalama kwenye izo fursa akipewa mkristo ndio apo utakuja kujua wakristo ndio wadini na ubinasfi Mimi ni muislamu lakin nimepata kuwa na marafiki wengi wa kikikristo na sijaona shida na tunasaidiana kwa mambo mbalimbali bila kujali tofauti zetu za Imani zaidi zaidi wanavutiwa na Mimi wakiniona ni mtu mwema na mkarimu Sana na huo ndio uislamu
Siyo kwa hisia. Huo ndiyo ukweli 100%
Muislam ndugu yake ni muislamu mwenzake.
Mfano hai.
Mkiwa watu 10, watano ni waislamu na watano ni dini nyingine. Mkienda kwa muislam kuomba msaada au kupata huduma fulani basi watakaoanza kupewa msaada ni waislam, nyie wa dini nyingine mnaweza msipewe msaada au huduma kabisa. Kama mtapewa hailingani 100% na ile waliyopewa waislamu.
 
Wanaweza wasikubague kitu kibaya kuliko ubaguzi ni kutoheshimu taratibu na dini ya watu wengine kea hili wakiristo wanaongoza mfano ambayo mimi imenitokea na kusishuhudia.

1.Nilivaa remba na Kanzu nikafika ofisi Moja secretary mkiristo mwanamke alinikashifu kisa kiremba na kutaka eti nivue kisa yeye haoni mantiki yake.

2.Nilivaa Kanzu na ndevu zangu nikaingia ofisi moja posta jamaa mkiristo akaniita Alshaabab na kushangaa jambo .

3.Wakati nipo advance kuna mtu mkiristo aliniomba nimuelekeze kitu fulani ,nikasema ngoja niingie chumba cha ibada niswali chap sababu mida tayari kisha tusome vizuri yeye akasema kwa kuchukia "yaan wewe muda wote unaswali tu mpk unakera kwani lazima uende ?

4.Swala la hijabu :wanaongoza kutoa negative comments kuna uzi humu ulianzishwa wao kukejeli kuwa "waislamu watoe sababu za ulazima wa kuvaa hijabu .Tukio la pili wanawake baadhi Irani walioandamana kuchoma hijabu wakiristo wakawa wanatoa negative comments kuhusu hijabu

5.Nk

Nb: Wakiristo wanaongoza kwa kudharau na kutoheshimu taratibu za kidini za watu wengine mimi bora unibague kuliko kudharau dini yake na vile ninavyofuata maamrisho na makatazo yake ..
Fact100%
 
Apo sasa alijuaje kama hawana sifa wewe ndio unaleta udini kwamba ukikosa tu umebaguliwa kwamba waislamu hawapaswi kufanya kazi na hawana sifa? au
Nimemshangaa mleta mada, lengo na mtazamo wake ilikuwa kuwapata watu wa imani yake wengi zaidi kuliko wasiokuwa wa imani yake

Isitoshe pale Azam hawaendi kuhubiri dini ingekuwa ni masuala ya dini wangeambiwa waombaji wawe wachungaji na masheikh
 
Kuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?

Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Usichoelewa ni kwamba uislamu unahamasisha zaidi chuki,uhasama na visasi kwahyo kwao kutokea kitu kama hicho ni kawaida sana.

Kama ni kampuni ya waislamu inayojali zaidi utu kuliko udini huwezi kuta vitu kama hvyo. Na hakuna kampuni kama hyo.

Nafikir umenielewa.
 
Sina uhakika ila Kama Ni kweli [emoji116]

Inawezekana hata BHARESA mwenyewe halijui hili sema hapa katikati Kuna wapambe wanaoangalia izo cv zenu ndio wanafanya maamuz hayo Amin ivo sure
Wapambe nuksi kuliko mwenye Mali.
 
Usichoelewa ni kwamba uislamu unahamasisha zaidi chuki,uhasama na visasi kwahyo kwao kutokea kitu kama hicho ni kawaida sana.

Kama ni kampuni ya waislamu inayojali zaidi utu kuliko udini huwezi kuta vitu kama hvyo. Na hakuna kampuni kama hyo.

Nafikir umenielewa.
Vipi IPP nayo hivi nyie mna akili timamu kweli i

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahhahaha mpaka chumvi mnajaza ili muonekane mmejenga Hoja

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa nwalimu mkristo aweza kuandika bismillah jamani au ndio mnaongea ili muonekane nawewe upo kwenye jukwaa??


Maana sie kila kitu iwe mathematics au programming language lazima tuanze kuandika neno bismillah na twaliandika inavyostahiki sio kama nilivyoliandika hapa...je huyo mwalimu mkristo ataweza au lawama kwa sababu una bando?
 
Sasa nwalimu mkristo aweza kuandika bismillah jamani au ndio mnaongea ili muonekane nawewe upo kwenye jukwaa??


Maana sie kila kitu iwe mathematics au programming language lazima tuanze kuandika neno bismillah na twaliandika inavyostahiki sio kama nilivyoliandika hapa...je huyo mwalimu mkristo ataweza au lawama kwa sababu una bando?
Hapana kaka nakupa mfano chuo kikuu cha waislam MUM wapo wakristo pale wahadhiri


Alafu sio lazima kila somo kuanza kuandika bismillah kama mwalimu ataamua kutamka tu

Nahisi unachanganya kati ya Markaz na Shule za kawaida ambazo zinamilikiwa na waislam.

Kama nilivyo kutajia hapo juu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapana kaka nakupa mfano chuo kikuu cha waislam MUM wapo wakristo pale wahadhiri


Alafu sio lazima kila somo kuanza kuandika bismillah kama mwalimu ataamua kutamka tu

Nahisi unachanganya kati ya Markaz na Shule za kawaida ambazo zinamilikiwa na waislam.

Kama nilivyo kutajia hapo juu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Swadakta
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.

Mwambie Kardinal Pengo asile sadaka zenu tu , awafungulie Azam yenu muajiriane wakristo.
Wacha kuleta akili ya govi la kikafiri iliyojaa kichwani mwako
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
Na wee fungua TV,biashara yako waajiri watu wenye imani yako

Ova
 
Hawa jamaa most of wafanyakazi wao ni wale wenye majina ya suruali fupi.

Most of guys wenye majina tofauti na hayo ni labda wenye special skills au reputation nzito ndio wako pale.

Angalia viwandani mwao wafanyakazi wa kike wengi na vitambaa kichwani.

Angalia tamthilia zao nyingi ni zile za ku-glorify itikadi yao.

Siku moja basi walete na tamthilia ya historia ya Yeshua kama walivyofanya kutuletea ya mtume. Too bad it cant happen.

Bias and unproffesional, sishangai kwa entity ya itikadi ile.
Uhuru wa vyombo vya habari...... badili king'amuzi Boss
 
Wakristo mmekuwa na ubinafsi Sana wa kutaka kujiangalia nyinyi wenyewe mkijaza nafasi za kazi kuanzi serikalini.

ITV na eatv wanapiga kwaya kila kuanzia saa kumi na moja asubuhi kuna muislam amewahi kulalamika?

Majina ya watangazaji wa ITV na Eatv yametawala majina ya kikristo nani muislam amewahi kulalamika
 
Back
Top Bottom