Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Kwa jinsi ulivyo na Makasiriko utakuwa ni mmoja ya washauri wakuu wa hii mambo hapo Azam
Agape TV wakitangaza nafasi za kazi nenda acha kung'ang'ania azam utakufa njaa
 
Hoja unaipata wapi? Ungesema siwezi kukubandua kwenye ujinga sawa, Mwerevu akichangua ujinga ni ngumu kumuelimisha hata ufanyeje, Sasa wewe ndio wale werevu waliochagua ujinga, Na sipo hapa kukubadilisha kwa maneno kwa kuwa najua umechagua hiyo njia.
mbona unajichanganya tena, mjinga gani asiyebanduliwa katika ujinga wake? Unasema mimi ni mjinga, unashindwa nini kunibandua katika ujinga wangu? Wapi uliona mjinga anamhenyesha na kumpeleka puta mwerevu, huoni kuwa we ndio una matatizo ya kufikiri?
 
mbona unajichanganya tena, mjinga gani asiyebanduliwa katika ujinga wake? Unasema mimi ni mjinga, unashindwa nini kunibandua katika ujinga wangu? Wapi uliona mjinga anamhenyesha na kumpeleka puta mwerevu, huoni kuwa we ndio una matatizo ya kufikiri?
Mwalimu wako alipata shida sana kukufundisha, Soma tena nilichoandika acha kukurupuka, au nikurudishe darasani nikuelekeze aina za kusoma? Sasa hapo wewe umechagua ipi katika hizo aina za usomaji? Nikusaidie tu hapo sijakuita mjinga nimesema Mwerevu aliyechagua ujinga. Halafu kuna kumhenyesha mtu kwa hoja na kwa ujinga, Sasa Mimi hapa nimesema kabisa wewe umechagua ujinga na hakuna mtu mwenye uwezo wa kukubadilisha kwakuwa unajua ila umechagua ujinga, na mazingira pekee ndio yatakufuta huo ujinga uliochagua, yaani unachokilalamikia hakipo, Sasa jibu la huo uchaguzi wako ni kupuuzwa kwakuwa hata ukiambiwa utoe ushahidi au kosa la kisheria au kanuni iliyovunjwa huna.
 
Sio hao Azam tu, pia ni Mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi wa Agape Media na kila Ajira inayotoka nitaitwa kwenye kusimamia usaili. Hat kesho nitakuwa pale IPP kuna watu wanakuja kufanya usaili.
Nimeshagundua wewe ndie uliyekata jina langu la Maiko
 
Nimeshagundua wewe ndie uliyekata jina langu la Maiko
Kumbe wewe ndiye yule uliyekuwa umevaa cheni ya msalaba? Nilikata hata lile jina la rafiki yako Imma na yule dada mweupe akijifanya bikra Maria anayeitwa Flora, Mimi napenda ujinga sasa?
Ukiwa shortlisted pengine Kwenye hizi media ujiandae hata Agape au Radio Maria nitakata tu, huko kote naingia ma navaa kama nyinyi ila swala Tano
 
Naam, mjadala umekuwa kati yangu na wewe, sasa unaposema mi ni mwerevu niliyechagua ujinga na hakuna anayeweza kunibandua hapo huoni kuwa umepotoka? Shule na vyuo vimejengwa kwa ajili ya werevu, we kama mjuaji wa mambo na mimi unayeniona mjinga, unashindwaje kunitoa katika ujinga kiasi cha kufura kama nyoka aina ya cobra aliyeona kitu kimekatiza mbele yake? Kama mimi umeona ni mjinga, ndio unijibu kijinga hivyo?
 
Wakristo mmekuwa na ubinafsi Sana wa kutaka kujiangalia nyinyi wenyewe mkijaza nafasi za kazi kuanzi serikalini.

ITV na eatv wanapiga kwaya kila kuanzia saa kumi na moja asubuhi kuna muislam amewahi kulalamika?

Majina ya watangazaji wa ITV na Eatv yametawala majina ya kikristo nani muislam amewahi kulalamika

Shule hamsomi kazi kulalama tuu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwenye hilo jibu hapo limetokana na maswali mawili ya aliyekaririwa hapo, Sasa kwa kukosa maarifa ukaenda kwenye nyongeza ukasahau swali la msingi au jibu la msingi ambalo limejibiwa hapo kama swali, Sasa tutajie Media kubwa inayomilikiwa na Mkristo imejaza Waislamu wengi ili tuhalalishe udini wa Azam.
Mwisho jifunze kusoma kwenye hoja hata kama huna akili.
Haaahaaa!!!
 
kumbe wewe ndio mbaguzi
Huu uzi wa muda sana umeunganishwa ila fuatilia nani kaanza ,yeye alianza katukana matusi makubwa sana pamoja na dhihaka naripoti kwa moderator hawafanyi kitu nikaamua kulipa japo si njia nzuri ila kuna wakati inlazimu .

Hujo jamaa siku hizi amaeacha na kapotea baada ya kuwa anapigwa ban na pogo zake za kikorofi.
 
Danganya wengine. Wewe una uhakika gani kama mimi sipo Azam au sijawahi kuwepo Azam. Wengine hatuandiki pasipo research and experience
Bro/sister ninaongea Kwa uhakika,
Ofisini tupo peter,david, Henry na jack
 
Back
Top Bottom