Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Kuna wapuuzi wamekuwa wakitetea kijinga upuuzi huu ambao hautakiwi katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini. Azam ajifunze kwa washindani wake ambao wanaajiri bila kujali misingi ya kidini. Kuna media zimejaza waislam huku wamiliki wake si waislam na hawana mpango wa kuajiri wafanyakazi wa imani yao tu. Kuna dini na madhehebu yasiyo ya kiislam utakuta wanaajiri mpaka waislam. Azam hata king'amuzi chake anaweka chaneli za dini isiyo yake kwa shingo upande na kutaka kuridhisha wateja wa bidhaa zake huku akijua anatumia masafa ya umma katika nchi isiyeongozwa kwa misingi ya dini. Ni kama anafanya hivyo kwa shinikizo tu ili aendelee kulikamata soko la bidhaa zake. Ana udini na ukanda sana
Ukisoma hiki uichoandika unagundua una maradhi makubwa mno, Unasema Azm kaweka chaneli za dini ya kikirsto kwa shingo upande, mpaka hapo utangundua wewe ni zaidi ya mjinga anayeongozwa na chuki. Tutajie hizo media nyingine zilizoajiri Waislamu wengi kuliko wakirsto wakati zinamilikiwa na wasio Waislamu.
 
Ukichunguza Makampuni mengi ya Azam ikiwa ni pamoja na Azam Media/TV asilimia zaidi ya 95 ni wa Imani/dini moja, na hiyo 5% iliyobaki kana kwamba wamepatikana basi tu hakuna namna vinginevyo wasingekuwepo. Ninatambua kwa mujibu wa Imani ya Kiislam ni kwamba ndugu yako ni Muislam mwenzako ndio maana hata yanapoletwa majina mfano wa watano kugombea nafasi moja na wote wana sifa sawa, iwapo wanne ni wa imani zingine hapo ikitokea anayechagua ni muislam basi atahakikisha anamchukuwa muislam mwenzake.

Natamani sana atokee tajiri/muwekezaji atakayeanzisha chombo cha habari kikubwa kama cha Azam lakini asiendekeze UDINI AU UKABILA wala ukanda kama ilivyo Azam maana hata management nzima na key positions ni KUTOKA VISIWANI
Umejaa malalamiko badala ya kujitafuta upambane na hali yako ukiwa na mentality hiyo ni ngumu sana kufanikiwa hata wewe ni mtu wa excuses tu ,wrwe biashara ya mtu unachunguza idadi ya dini fulani ? Wewe sio mzima
 
Azam wameifuta adi Upendo tv .. channel nying za kikristo zinakata kata naona wanazihujumu

Mmm uongo huu
7ab32cf8-8182-4484-be47-7da035081329.jpg
 
acha yapite tu jitahidi kuepuka mambo yasiyokuhusu kuna mambo mengine hapa dunianj wewe binadamu huwezi kuyabadilisha
 
Ukisoma hiki uichoandika unagundua una maradhi makubwa mno, Unasema Azm kaweka chaneli za dini ya kikirsto kwa shingo upande, mpaka hapo utangundua wewe ni zaidi ya mjinga anayeongozwa na chuki. Tutajie hizo media nyingine zilizoajiri Waislamu wengi kuliko wakirsto wakati zinamilikiwa na wasio Waislamu.
acheni upuuzi, azam akizungumziwa udini wake huwa mnatokwa povu na kuja kumtetea. Hakuwahi kutoa chaneli fulani ya dini akalalamikiwa kuitoa akaona aibu akairudisha? Muwe mnafuatilia mambo mjue kinacholalamikiwa sio mnajaa upepo wa kidini kwa povu tele
 
Ukichunguza Makampuni mengi ya Azam ikiwa ni pamoja na Azam Media/TV asilimia zaidi ya 95 ni wa Imani/dini moja, na hiyo 5% iliyobaki kana kwamba wamepatikana basi tu hakuna namna vinginevyo wasingekuwepo. Ninatambua kwa mujibu wa Imani ya Kiislam ni kwamba ndugu yako ni Muislam mwenzako ndio maana hata yanapoletwa majina mfano wa watano kugombea nafasi moja na wote wana sifa sawa, iwapo wanne ni wa imani zingine hapo ikitokea anayechagua ni muislam basi atahakikisha anamchukuwa muislam mwenzake.

Natamani sana atokee tajiri/muwekezaji atakayeanzisha chombo cha habari kikubwa kama cha Azam lakini asiendekeze UDINI AU UKABILA wala ukanda kama ilivyo Azam maana hata management nzima na key positions ni KUTOKA VISIWANI
We unasema azam??
BBC,CNN zinaendeshwa sio tu kwa kubagua uislam na kuuponda bali hadi ndoa ushoga na usagaj wanaupa promo
Wazungu kwao n watu wa maanaila warabu waafrika n washenzi tu wanaostahil kuripotiwa vibaya tu

Nyan Haoni Kundule!!
 
Matatizo siku zote hayawezi kutatuliwa kwa njia hii ya ubabe na vitisho. Isipokuwa kwa kutenda haki na pia kufanya mambo kwa usawa.
Sio suala la ubabe hapa ila ukileta kauli za uchokozi ni lazima ubabe utumike hii nchi tuna dini au madhehebu mengi tu na makabila mengi tu unataka kusema tuweke sheria ukajiri basi lazima dini ziwe 50/50? au kila kabila lazima wapewe kazi? kampuni ya mtu binafsi hata akitaka kuajiri ukoo mzima wa kwake shida iko wapi? Nakubaliana na wewe suala la haki lakini Azam mfano ni private biashara ya family sasa tuwapangie wa kuajiri? huku serikalini tuna criteria za kuajiri lakini kitu kikubwa hatuna criteria udini au kabila kama mgawanyo wa kuajiri kama dini kundi moja limepata ajira kutokana na vigezo na ikatokea wote wakawa wametoka dini moja shida iko wapi? au unataka haki unayosema wewe tuweke sheria 50\50 sijakuelewa usawa upi unaongelea wewe.
 
True, but learn to mind your own business!

Kwenye mashirika ya ki Catholic hawaajiri nje ya M catholic, leave alone U Kristo, tena lazima awe mshirika wa kutimiza taratibu zote.

Mimi ni Mkristo kabisa, ila wakristo nafikiri ni wabaguzi zaidi....

peleka upuuzi wako kule, wapi uliona ni wabaguzi, hujaona media kubwa zinazomiliwa na wakristo zimejaza waislam? Kwanza we si mkristo ishia hapo
 
Sio suala la ubabe hapa ila ukileta kauli za uchokozi ni lazima ubabe utumike hii nchi tuna dini au madhehebu mengi tu na makabila mengi tu unataka kusema tuweke sheria ukajiri basi lazima dini ziwe 50/50? au kila kabila lazima wapewe kazi? kampuni ya mtu binafsi hata akitaka kuajiri ukoo mzima wa kwake shida iko wapi? Nakubaliana na wewe suala la haki lakini Azam mfano ni private biashara ya family sasa tuwapangie wa kuajiri? huku serikalini tuna criteria za kuajiri lakini kitu kikubwa hatuna criteria udini au kabila kama mgawanyo wa kuajiri kama dini kundi moja limepata ajira kutokana na vigezo na ikatokea wote wakawa wametoka dini moja shida iko wapi? au unataka haki unayosema wewe tuweke sheria 50\50 sijakuelewa usawa upi unaongelea wewe.
Mimi nimeongea tu kwa mapana yake. Na wala sina tatizo na hao Azam kwenye ajira zao. Maana sioni jama ni tatizo kubwa.

Ingawa wakati fulani, watalazimika pia kuangalia weredi wa mtu badala ya imani yake, ili tu kufikia malengo yao.
 
Sisi tunaoamini katika upendo wa kweli tunaangalia mpambano wenu wafia dini, imani ya kweli ni upendo, ndani ya upendo kuna kila kitu.
 
acheni upuuzi, azam akizungumziwa udini wake huwa mnatokwa povu na kuja kumtetea. Hakuwahi kutoa chaneli fulani ya dini akalalamikiwa kuitoa akaona aibu akairudisha? Muwe mnafuatilia mambo mjue kinacholalamikiwa sio mnajaa upepo wa kidini kwa povu tele
Narudia wewe ni fungu la kukosa, Una uelewa wa ngazi ya Kijiji halafu unataka kukomalia ya Kitaifa. Chaneli nyingi sana zimeondolewa kwenye visimbuzi vingi tu kwasababu za kibiashara au kiufundi, Sasa hizo kelele mlipigia wapi akarudisha? Udini unaweza kuonekana kwa mtu mdini tu na mwenye akili finyu tu kama wewe na wenzako ila ukiwa timamu utaweka mapungufu yaliyosababishwa na uwepo wa Waislamu na ubora ambao ungekuwepo kwa uwepo wa Wakirsto kwa idadi kubwa au sawa. Pia hebu tuambie wamefika wapi kina IPP, UHURU, SAHARA kwa uwepo wa Wakirsto wengi.?
Mwisho kajifunze maana ya kazi acha upumbavu utapasuka moyo bure kwa mambo ya kijinga, Azam Media ana watu wa kila Imani wenye uwezo mkubwa, kuanzia Mtendaji Mkuu, na kama hujui kwenye hao watendaji wakuu watano, mkubwa kabisa ni Mkristo na mwenzake Patrick Kahemele.
Sasa kama ukitaka zile nafasi za kifamilia wanazoshika kina Abubakar wewe ni zao la Elimu mbovu na ni mlevi wa udini.
Mnapoenda kuomba kazi mkakosa kwa kuwa hamna vigezo acheni kuleta visingizio, Tukuulize Kina Ivona na Mumewe, Vijana karibia wote wa Morning trumpet, Mpenja ambao ndio vioo vya Azam media wanaswali misikiti gani?
 
peleka upuuzi wako kule, wapi uliona ni wabaguzi, hujaona media kubwa zinazomiliwa na wakristo zimejaza waislam? Kwanza we si mkristo ishia hapo
Taja moja kwa idadi yake uache uzwazwa wako kutetea hoja yako ya kipumbavu. Media kubwa ipi inayomilikiwa na Mkristo imejaza Waislamu kwa idadi yao. Usichokijua kwenye taasisi ya kikatoriki hata Mkristo wa dhehebu lingine hapenyi, tena sio tu useme Mimi ni mkatoriki, uwe mwana hizo jumuia kwa ushahidi.
Uliza hata seminary pure ya kikatoriki kama wanapokea wasabato achilia mbali Waislamu.
 
Wapo wafanyabiashara wengi WAislam waliojiri wakristo hasa ambao biashara zinatoa huduma kwa watu mchanganyiko.
 
Ila wenzetu WAislam wanelekea kuwa na nguvu hasa kipindi hili cha ubepari maana wamejikita kwenye biashara wakati wakristo wamejikita kwenye elimu.
 
Back
Top Bottom