Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Danganya wengine. Wewe una uhakika gani kama mimi sipo Azam au sijawahi kuwepo Azam. Wengine hatuandiki pasipo research and experienceNinafanya kazi Azam huu ni mwaka wa nane kwenye idara yangu tuko watano halafu wote wakristo.
Sisieemuuu oyeeeee 😆
Muulize Diamond ni nani aliyemuingiza studio wakati wa nyimbo yake ya Nenda KamuambieInaonekana ndugu we nyimbo za daimond ali kiba harmonize mboso dully sykes mwana FA mzee yusuph hauziskilizi kabisa
Huyu mleta mada akiona muarabu au mwenye asili hiyo anachukia bila sababu maalum, sasa wewe awe mkristo awe muislamu unaumia na nini? Aisee hii dunia ina watu wa ajabu sanaNinafanya kazi Azam huu ni mwaka wa nane kwenye idara yangu tuko watano halafu wote wakristo.
Bila kusahau clouds waachane na ukabilaITV, Radio One, East Africa Radio na Capital FM zingeimarika zaidi kama zingeachana na Ukabila.
TBC1 na TBC Taifa zingeimarika zaidi kama tu zingeachana na U CCM na U UVCCM bila kusahau Kurogana.
Kuwataja tu Azam Media na huo Udini Wao na kuacha Kutaja madhaifu ya hizi Media zingine nilizozitaja hapa ni UNAFIKI usiovumilika.
Binaadamu ni viumbe wa ajabu sana ,huo udini umetoka wapi , mimi natumia dstv na channel za kikristo ni nyingi na hardly kupata za kiislamu, ila sioni kwamba ni udini au tatizo, acheni chuki yule ni mfanya biashara , hawezi kufanya kitu ambacho kwake kitaharibu biashara yake, ni wivu na chuki tu vinawasumbuaKuna wapuuzi wamekuwa wakitetea kijinga upuuzi huu ambao hautakiwi katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini. Azam ajifunze kwa washindani wake ambao wanaajiri bila kujali misingi ya kidini. Kuna media zimejaza waislam huku wamiliki wake si waislam na hawana mpango wa kuajiri wafanyakazi wa imani yao tu. Kuna dini na madhehebu yasiyo ya kiislam utakuta wanaajiri mpaka waislam. Azam hata king'amuzi chake anaweka chaneli za dini isiyo yake kwa shingo upande na kutaka kuridhisha wateja wa bidhaa zake huku akijua anatumia masafa ya umma katika nchi isiyeongozwa kwa misingi ya dini. Ni kama anafanya hivyo kwa shinikizo tu ili aendelee kulikamata soko la bidhaa zake. Ana udini na ukanda sana
Exactly kuna watu wajinga sanaHii nchi kuna haja ya kupitisha sheria mtu akitaja udini na ukabila peleka mahamani kuna watu wanaitakia hii nchi mabaya. Hizi tabia siku za karibuni zimekuwa shida sana kwa bahati mbaya serikali wamekalia kimya tu, haya ni mambo tunahitaji kuyakemea kwa nguvu zote hata kama tunatofautiana kwenye mambo mengine ya msingi sio shida lakini tusilete visababu vya udini wala ukabila.
Umejibu kama mtoto wa kike mwenye nyege we akil auna kabisaNi fursa kwako kufungua kampuni ambayo haina udini.
Acha kurekebisha mambo ya wengine wakati wewe umefeli kabisa.
Matatizo siku zote hayawezi kutatuliwa kwa njia hii ya ubabe na vitisho. Isipokuwa kwa kutenda haki na pia kufanya mambo kwa usawa.Hii nchi kuna haja ya kupitisha sheria mtu akitaja udini na ukabila peleka mahamani kuna watu wanaitakia hii nchi mabaya. Hizi tabia siku za karibuni zimekuwa shida sana kwa bahati mbaya serikali wamekalia kimya tu, haya ni mambo tunahitaji kuyakemea kwa nguvu zote hata kama tunatofautiana kwenye mambo mengine ya msingi sio shida lakini tusilete visababu vya udini wala ukabila.
atuonyeshe hiyo shingo upande 🤣🤣🤣Anzisha media yako ,madai Yako ni yakipuuzi hayana msingi wowote eti "anaweka channel zisizo za dini yake kwa shingo upande" unaweza kuweka ushahidi wowote au picha ya aliweka channel hizo channel hulu shingo ikiwa upande ?