Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua media yako uajiri watu wa dini yako 100% usitupigie kelele hapa.
Yaani umeongea point sanaMikoa ya pwani waislam wapo wingi sana kuliko wakristo. Lakini sijawahi sikia waislam kulalamika kwa ITV tokea ianze miaka ya 90’s kulalamika juu yao. Na wengi wa wafanyakazi wao wakristo
Anzisha media yako ,madai Yako ni yakipuuzi hayana msingi wowote eti "anaweka channel zisizo za dini yake kwa shingo upande" unaweza kuweka ushahidi wowote au picha ya aliweka channel hizo channel hulu shingo ikiwa upande ?Kuna wapuuzi wamekuwa wakitetea kijinga upuuzi huu ambao hautakiwi katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini. Azam ajifunze kwa washindani wake ambao wanaajiri bila kujali misingi ya kidini. Kuna media zimejaza waislam huku wamiliki wake si waislam na hawana mpango wa kuajiri wafanyakazi wa imani yao tu. Kuna dini na madhehebu yasiyo ya kiislam utakuta wanaajiri mpaka waislam. Azam hata king'amuzi chake anaweka chaneli za dini isiyo yake kwa shingo upande na kutaka kuridhisha wateja wa bidhaa zake huku akijua anatumia masafa ya umma katika nchi isiyeongozwa kwa misingi ya dini. Ni kama anafanya hivyo kwa shinikizo tu ili aendelee kulikamata soko la bidhaa zake. Ana udini na ukanda sana
Cha ajabu mbona hawalalamiki kua kwanini Simba na Yanga wawekezaji/Wafadhili wote ni waislamu?Mods waanzishe uzi maalaumu au jukwaa maalum kwa akili ya malalamiko ya kidini maana sasa too much wakati mnadai hayo mambo ya wavaa Kobazi sisi hatuna cha kulalamika na kulialia pogo hizo ni Completely inferiority .
Sasa naona kibao kaimegeuka kwenye siasa malalamiko Rais Samia anaendelea Waislamu,Soka nako vilevile eti Simba,Yanga na Azam inapendekeza Waislamu hadi kwenye media Azam Tv nayo inawahujumu Wakirsto. Nimesahau hadi mziki mliwahi kuwatuhumu WCB eti inapendekeza Waislamu.
Inasikitisha sana...
adriz huko wapi mutu wangu?Ukichunguza Makampuni mengi ya Azam ikiwa ni pamoja na Azam Media/TV asilimia zaidi ya 95 ni wa Imani/dini moja, na hiyo 5% iliyobaki kana kwamba wamepatikana basi tu hakuna namna vinginevyo wasingekuwepo. Ninatambua kwa mujibu wa Imani ya Kiislam ni kwamba ndugu yako ni Muislam mwenzako ndio maana hata yanapoletwa majina mfano wa watano kugombea nafasi moja na wote wana sifa sawa, iwapo wanne ni wa imani zingine hapo ikitokea anayechagua ni muislam basi atahakikisha anamchukuwa muislam mwenzake.
Natamani sana atokee tajiri/muwekezaji atakayeanzisha chombo cha habari kikubwa kama cha Azam lakini asiendekeze UDINI AU UKABILA wala ukanda kama ilivyo Azam maana hata management nzima na key positions ni KUTOKA VISIWANI
Azam wameifuta adi Upendo tv .. channel nying za kikristo zinakata kata naona wanazihujumuKuna wapuuzi wamekuwa wakitetea kijinga upuuzi huu ambao hautakiwi katika nchi ambayo haiongozwi kwa misingi ya dini. Azam ajifunze kwa washindani wake ambao wanaajiri bila kujali misingi ya kidini. Kuna media zimejaza waislam huku wamiliki wake si waislam na hawana mpango wa kuajiri wafanyakazi wa imani yao tu. Kuna dini na madhehebu yasiyo ya kiislam utakuta wanaajiri mpaka waislam. Azam hata king'amuzi chake anaweka chaneli za dini isiyo yake kwa shingo upande na kutaka kuridhisha wateja wa bidhaa zake huku akijua anatumia masafa ya umma katika nchi isiyeongozwa kwa misingi ya dini. Ni kama anafanya hivyo kwa shinikizo tu ili aendelee kulikamata soko la bidhaa zake. Ana udini na ukanda sana
Irrational mindIla unaendekeza Unafiki.
I screen ur empty head. Very big vacuum insideGo to Hell.