Inatarajiwa Ijumaa Samia atakutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Kwanini isiwe Rais mwenziye?

Tokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?

Kuhamasisha ufisadi๐Ÿ‘‡๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
View attachment 2186906
Kuhamasisha vitu vipande bei๐Ÿ‘‡๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
View attachment 2186907

Keshahalalisha Kila mbuzi kula kulingana na urefu wa kamba yake!! Hivi kamba ya chifu hangaya ni ndefu kiasi gani?? Wote tumeona ni ndefu Hadi Marekani!! Hapo wenye kamba fupi Kama walimu ndiyo basi tรฉna!
 
Hapo ukute wamarekani wametafakariii, wakaona ili kumwingiza kwenye laini zao ni vema akutane na mwanamke mwenzie!

Wenzetu hawafanyi kitu bora liende, nyuma yake kunatafakari kubwa kwa ajili ya taifa lao
Upumbavu huu wa kujadili jinsia na ukabila unaliangamiza Taifa.
 
Dikteta maguofuli hakuwai kusafiri sababu ya lugha ilikuwa haipandi
Si sababu ya lugha!! Ni sababu ya uzalendo!! Kama ni lugha si angeenda na mkalimani!! Hivi thesis yake ya PhD aliandika kwa kisukuma au? Alii-defend kwa kisukuma au?
 
Hata hivyo wamemheshimu sana ilitakiwa akutane na waziri tu
 
Usimfananishe Biden na watu wa ajabu, kwahy Biden yuko level moja na huyo mama yenu.?
Mama yenu anaadhimisha miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado anaongelea ukosefu wa maji wakati mwenzake anazungumzia kutia vikwazo kwenye nchi nyingine.
 
sababu kubwa america hatujamsaport vita ya ukraine alitaka tumuunge mkono na tupige kura ya kumkataa mrusi hatukufanya hivyo. pili na hisi mama safari yake haikuwa rasmi ya kiserikali kapenda kupiga misele mwenyewe
 
Mbona Maguful alikuwa anamtuma Makamu wake kwenda kwenye vikao vya Wakuu wa Nchi?.
Hapo sasa,Taifa hili limejaa wajinga wengi muda wote wa utawala wa Magufuri aliyekuwa anawakilisha Taifa alikuwa Makamu wa Rais au Waziri wa Mambo ya nje ya nchi.
 
Unataka kusema akatae?
 
kwani kilichompeleka huko hasa nini?
 
Labda anataka kumpa mbinu za kuachana na umakamu wa Rais na kuwa Rais kamili bila ya kusumbuka kupiga kampeni.
Hehee na biden alivyozeeka vile, kama kumsukuma mlevi tu
 
Hivi kati ya makamu wa raisi wa marekani na raisi wa Tz nani ni mkubwa ?

wote ni sawa wote ni makamu wa rais. yai la kuku la marekani na yai la kuku la tanzania ipi kubwa?
 
Keshahalalisha Kila mbuzi kula kulingana na urefu wa kamba yake!! Hivi kamba ya chifu hangaya ni ndefu kiasi gani?? Wote tumeona ni ndefu Hadi Marekani!! Hapo wenye kamba fupi Kama walimu ndiyo basi tรฉna!
Amejitengenezea kamba ndefu inayomuwezesha kuzunguka nchi nzima๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Bado hata angekutana na Biden tungesema neno, yote kheri tu, lets think positive..
 
Ki vyeo rais wa tz mikubwa..ila kwakua usa na tz ni mbingu na ardhi..hivyo hangaya ni kama mkuu wa mkoa tu akiwa usa.

#MaendeleoHayanaChama
... umenikumbusha mambo ya diplomasia; kidiplomasia King Mswati ana hadhi kubwa kuliko US president au rais/waziri mkuu yeyote wa nchi duniani humu. Anazidiwa na baadhi ya malkia/wafalme wenzie tu.
 
Wow,detailed
 
Biden apoteze muda kwa akili ya Tz ya Leo labda ingekua ya rais kikwete mama anakwepa katiba na mbowe atakua alipigilia msumari juzi hapa kwa balozi wao


Waziri wizara ya Mambo nje abadilishwe kapwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ