inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kuongea kunahitaji muda mfupi zaidi kuliko kuandika,thesis unalipa muda wa kutosha kupanga maneno,mwamba hakua smart upstairs kuweza kukaa na elites meza moja wakajadili Mambo,hakua hata na uwezo wa kuongea na hadharaSi sababu ya lugha!! Ni sababu ya uzalendo!! Kama ni lugha si angeenda na mkalimani!! Hivi thesis yake ya PhD aliandika kwa kisukuma au? Alii-defend kwa kisukuma au?
We ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?Wew kweli ni mpumbavu( ashakโum sio tusi) .makamu wa Rais wa Marekani ni hadhi kubwa sana tena tushukuru Rais wetu ameheshimishwa kukutana na VP wa The US. Kusema Rais wa Marekani ana hadhi sawa na Rais wa Tz au nchi yoyote duniani ni kuwa mpumbavu au mtu uliyetawaliwa na chuki! Mathalani leo hii Biden na Ramaphosa( Rais wa nchi kubwa Afrika) wakienda China hawatapata mapokezi sawa
Eti uzalendo,Si sababu ya lugha!! Ni sababu ya uzalendo!! Kama ni lugha si angeenda na mkalimani!! Hivi thesis yake ya PhD aliandika kwa kisukuma au? Alii-defend kwa kisukuma au?
Ona mungu wenu mwendazake kampuni yake ilivyopiga pesaWe ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?
Kuongea kunahitaji muda mfupi zaidi kuliko kuandika,thesis unalipa muda wa kutosha kupanga maneno,mwamba hakua smart upstairs kuweza kukaa na elites meza moja wakajadili Mambo,hakua hata na uwezo wa kuongea na hadhara
Sukuma gang Samia anawapeleka puta๐,kennnge nyieUsimfananishe Biden na watu wa ajabu, kwahy Biden yuko level moja na huyo mama yenu.?
Mama yenu anaadhimisha miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado anaongelea ukosefu wa maji wakati mwenzake anazungumzia kutia vikwazo kwenye nchi nyingine.
Haifanyi argument yangu hapo juu kuwa invalid..Hivi unafahamu kuwa si Kila anayeenda Marekani huongea kiingereza? Kwa taarifa yako hata Marais wanaojua kiingereza huongea lugha za mataifa Yao kwa kutumia wakalimani. Mfano mzuri ni Putin, Marais wa mataifa ya kiarabu nk. Ni prestige ya taifa lao. Kwa hiyo lugha haikuwa kikwazo kwa Magufuli maana Kama angetaka, angeongea kiswahili ambayo kwa Sasa ni moja ya lugha rasmi ya kimataifa. Rais wa china pia hutongea kichina Japo anakijua kiingereza!
Eti uzalendo,
Yule mzee kawaharibu akili zenu mmekuwa matahila kabisa, yaani uzalendo kutokusafiri nje kupanga mipango na viongozi wenzio? na Hana uzalendo wowote alikuwa mpigaji tu na kampuni zake za mfukoni,
SOMA HII๐
View attachment 2187008
huna ujualo wewe,ikitajwa hiyo kampuni iliyopewa kandarasi,unaweza ukatoroka hapo Chatttle kwenye lindoSasa hapo Magufuli anahusika wapi?? Ni kweli hapo kuna ufisadi lakini hakuna alipotajwa Magufuli!! Aliyetoa tenda hiyo awajibishwe!
Argument yako ni invalid kwa sababu unafai kikwazo Cha lugha ndicho kilichomzuia Magufuli kwenda Nchi za nje hudusan Marekani. Mimi nimekuambia lugha siyo kikwazo maana hata Kama ni kweli hakuwa anajua kiingereza, hakulazimika kutumia kiingereza, bado angeweza kutumia kiswahili Kama angekuwa anahitaji kwenda Nchi za nje!Haifanyi argument yangu hapo juu kuwa invalid..
huna ujualo wewe,ikitajwa hiyo kampuni iliyopewa kandarasi,unaweza ukatoroka hapo Chatttle kwenye lindo
Tunazungumzia madaraka na ukubwa wa nchi husika kwenye kujiendesha.We ni jinga sana ni sawa sawa na kusema baba wa kimarekani ni bora zaidi kuliko baba yako. Kuna watu sijui akili mnaweka wapi?
Siwezi kubishana na ww, em nipe ukweli na tuweke utani pembeni, Samia anaweza kuwa na mamlaka sawa na Biden.?Sukuma gang Samia anawapeleka puta๐,kennnge nyie
Nimesema sababu ni lugha na zaidiArgument yako ni invalid kwa sababu unafai kikwazo Cha lugha ndicho kilichomzuia Magufuli kwenda Nchi za nje hudusan Marekani. Mimi nimekuambia lugha siyo kikwazo maana hata Kama ni kweli hakuwa anajua kiingereza, hakulazimika kutumia kiingereza, bado angeweza kutumia kiswahili Kama angekuwa anahitaji kwenda Nchi za nje!
Hiyo 'Global health issues'
Inakuaje kwamba ataanza Harris then afuate Biden?Duru zinatabanaisha huenda Samia atakutana na Haris makamu wa Rais wa Marekani.
Maoni yangu;
Hii siyo dharau kwa Rais Samia kusakiziwa kukutana na mtu asiye sawia ki wadhifa wake?
Na kwanini asikutane na Biden ambaye siku hiyo atakuwa palepale White house?
Huenda Samia amepuuzwa na mamlaka za USA ๐บ๐ธ?!
Huyu ni Rais wa nchi ukumbuke hilo Mkuu.Tokea lini Rais wa Marekani akakutana na Mapaka yasiyojitambua?
Kuhamasisha ufisadi๐๐๐๐
View attachment 2186906
Kuhamasisha kila kitu kipande bei๐๐๐๐
View attachment 2186907