Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawapi na kabila gani huyo mkuuHiki kidude kilitaka jiua sababu ya mapenzi O level
Mimi kama kingekuwa wazazi wa Linda nisingekubali mwanangu aolewe na Willium, mwanaume aambae hana msimamo.Nawaza Tuu huyu Will alishamtambulisha Linda kwa Wazazi then Akampotezea na kutaka kumuoa Jackie, mwisho wa siku unakuta wazazi wanagoma.. Kuna wakati wazazi nao ni chanzo kwa tukio kama hili.
Kuna msimamo kama huo wa jamaa aliouchukuaMimi kama kingekuwa wazazi wa Linda nisingekubali mwanangu aolewe na Willium, mwanaume aambae hana msimamo.
Hana msimamo. Uache x wako, uende ukatoe posa hadi ndoa kutangazwa then urudi kwa x. Hao wazazi watakaokubali nao mazwazwaKuna msimamo kama huo wa jamaa aliouchukua
Kama kaletewa file dk za mwishoni unadhan inakuwaje ni maamuzi magumu tuHana msimamo. Uache x wako, uende ukatoe posa hadi ndoa kutangazwa then urudi kwa x. Hao wazazi watakaokubali nao mazwazwa
Mimi simlaumu kumuacha huyo mwanamke. Ila kurudi kwa x ghafla inaonyesha hana msimamo. Na kama ningekuwa wazazi wa x nisingekubali mwanangu aolewe na huyo William. Bora angetulia atafute mwanamke mwingine. Hata huko kwa x hatapata amani. Ma x wengine wanakuwa wanalipiza kisasi.Kama kaletewa file dk za mwishoni unadhan inakuwaje ni maamuzi magumu tu
Huwez kujilipua kisa tu kuna paperworks zimefanyika mzee madhara mbeleni ni makubwa bora kuyakata huku mwanzo
Ukikua utayaona.Hana msimamo. Uache x wako, uende ukatoe posa hadi ndoa kutangazwa then urudi kwa x. Hao wazazi watakaokubali nao mazwazwa
William ana akili sana. Heri nusu Shari kuliko Shari kamilifu.Kama ndio huyu muolewaji, basi Nasimama na William.
WILLIAM siyo gaidi
View attachment 2225562
Noooo , William apewe ulinzi huko alipo.
View attachment 2225621
Pinned.William ana akili sana. Heri nusu Shari kuliko Shari kamilifu.
Ni wanaume wachache sana wanaoweza kuchukua uamuzi huo wa kibabe ,wengi wao nowdays wanaoa ili mradi tu afidie mahali yake hata kama kasikia wife to be ni 'muuzaji'.William william bora atembelee spea og kuliko tairi aliyozani mpya kumbe lilikuwa linasubiri aanze safari limpindue
Ndoa imeota mbawa mwaya[emoji24][emoji24]
Vipi kama umechumbia karibu na kuoa halafu wanakuja majamaa wanakupa video nyingi tu za mke wako mtarajiwa akigawa utamu na ushahidi mwengine mwingi vipi bado utaoa?Mimi kama kingekuwa wazazi wa Linda nisingekubali mwanangu aolewe na Willium, mwanaume aambae hana msimamo.
Mimi mtu mzima ati.Ukikua utayaona.
Mimi nasema kama ningekuwa wazazi wa Linda huyo William nisingekubali kua binti yetu. Ingawa story yenyewe nasikia ni ya kutunga hiiVipi kama umechumbia karibu na kuoa halafu wanakuja majamaa wanakupa video nyingi tu za mke wako mtarajiwa akigawa utamu na ushahidi mwengine mwingi vipi bado utaoa?
Simaanishi jamaa alioneshwa videos ila hilo ni swali langu personal kwako