Inauma sana na haivumiliki

Akimwachia Mungu hatafanulikisha Mungu amekataza uzinzi

yeye amloge tu gods will understand


Hakuna uchawi unaoweza fanya kazi hapo

MTU ambaye ni innocence huwezi ukamroga

Uchawi unawapata watu ambao wapo guilty na sio innocence.

Then uchawi ni level ndogo Sana katika ulimwengu wa roho that's why unaweza kumroga MTU afukuzwe kazi Ila akienda sehemu nyingine anapata.

Uchawi ni ujinga na hauna nguvu
 
Sanaaaa,tena akiweza amtafute mwenye comment hiyo private atajifunza mengi sana.Jamaa kaweka wazi na katoa siri za jeshi za sisi wanaume.
Inaweza ikawa kweli alikua anatoa kauli za kishujaa
Inaweza ikawa alikua hatoi kauli za kishujaa zaidi ya upendo wa kweli
Yote yanawezekana! Ila dunia ya sasa unaweza kua mwema na matukio ukapigwa hadi ukasarenda...

Tukizaa watoto tuwakumbushe mapenzi ya kweli utayapata kwa mama ako mzazi ili wakipigwa matukio wasianze kulialia ila Wasimame na kusonga mbele tena.
 
Ni kweli uyasemayo,hatuwezi kujaji upande wa dada Marcy tu,pengine jamaa alikuwa ndo wale utanitambua nikijipata!

U hali gani afya yako lakini mtoto wa mama mkwe? Hujaenda hata kwenye litulujia jamani wewe?
 
🤣🤣unadate na kapuku ili iweje?
Huo muda uloutumia kumvumilia kapuku ungeutumia kujiboresha,ungekuwa mbali Sana kimaendeleo
 
Hii Dunia ishi positivity TU mengine unaiachia nature we muombee umasikini tu akiwa masikini atarudi kwako.
Mwanaume asiye na kitu ndie mwenye upendo wa kweli na muaminifu sababu hana uwezo wa kuhonga.
 
Ikiwa uliyafanya yote haya ukiwa haumiliki cheti cha ndoa wewe ni bwege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…