Hahaha ila weweukiwa tayari niambie nna vijana hapa.
kuna mambo usimuachie ALLAH
Ila siku ingine mvumilie huku unafanya mambo yako... Ndoa sio kilele cha mafanikio
Sasa tusemeje jamani [emoji1751]Hii kauli ya kusema "umemvumilia" huwa ni ya kitoto
Unampa assist kabisa?ukiwa tayari niambie nna vijana hapa.
kuna mambo usimuachie ALLAH
Ila siku ingine mvumilie huku unafanya mambo yako... Ndoa sio kilele cha mafanikio
Unampa assist kabisa?ukiwa tayari niambie nna vijana hapa.
kuna mambo usimuachie ALLAH
Ila siku ingine mvumilie huku unafanya mambo yako... Ndoa sio kilele cha mafanikio
hii ndio sababu ya ke kuachwa kwa 90%itakuwa ulikuwa unamsimanga, unamkejeli, na kumdharau wakati hana kitu.
Mwijakusiyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.
Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.
kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
Ukihitaji wahuni niambieUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Hapana wanaume wengi wasiojitambua wakijipata huwa wanatafuta pisikali za ndoto yaohii ndio sababu ya ke kuachwa kwa 90%
Pisikali ni fantasy, kwani waliioa wanawake wa kawaida huwa wanafanyaje hela ikiongezeka?😂Hapana wanaume wengi wasiojitambua wakijipata huwa wanatafuta pisikali za ndoto yao
Ndo maana Kuna neno wasiojitambuaPisikali ni fantasy, kwani waliioa wanawake wa kawaida huwa wanafanyaje hela ikiongezeka?😂
They fvck slayqueens for fun ila wake zao wako majumbani. Hawaachi wanawake zao kabisa.
Tafsiri ya mafanikio ni pana sanasiyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.
Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.
kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
Mkuu hao wanaume waliopata mafanikio wanawake wakiwa nyuma yao wapo Japo ni wachachesiyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.
Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.
Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.
kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
HekimaKwa nini unataka kulazimisha mapenzi?
Kwa nini unataka kumdhuru mtu kwa sababu kaamua hakupendi tena?
Wewe ni mbaya hivyo kwamba huwezi kupata mwingine?
Yani huyo peke yake ndiye alijuwa mwokozi wako dunia nzima?
Umeshiriki maumivu ya kuishi bila kitu na haujashiriki furaha ya kupata kwa maana ya jasho la uso, by the way tunatofautiana... Njoo huku tusukume maishaUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
Hakuna haja ya kumlalamikia mtu siku zote unavyopata maumivu hiyo ni njia yako yakufika katika mafanikio na kutoka katika kifungo hili watu wengi hawalijui Mungu anayajua mengi ya mbele yetu kuliko sisi shukuru kwa kila jambo anza sasa kusoma biblia kufungua na kuomba huwezi jua Mungu kakupangia NiniUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli