Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema covid 19 kuna wake wa viongozi, eti Matiko mkewe salum Mwalim. Washachanganyikiwa akina Lema baada ya kumuona Mbowe anagombeaHata Wenje alikuwa kwenye hilo kundi ila akasema nimekosa mimi , nimekosa mimi, nimekosa sana akasamehewa na Mbowe🐒
Akiutoa ushahidi huyo Sultan wenu sukari itashuka hadi moja,Lemma amejitahidi sana kumsitiri Sultan ila mkimlazimisha atamvua nguo kabisa anajua upuuzi mwingi sana wa Sultan kuliko nyie wasaka tonge.Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Hivi uchunguzi wa kesi umefikia wapi? Halafu anasema atapambana na CCMKwa hiyo Lissuni mkaidi baada ya kupona kufukuzwa yeye akaanza kufukuzia nafasi ya mwenyekiti mwenyewe Ayatollah Mbowe
Kipindi hichi hamuamini mtu, ajiandae kutafuta chamaAkiutoa ushahidi huyo Sultan wenu sukari itashuka hadi moja,Lemma amejitahidi sana kumsitiri Sultan ila mkimlazimisha atamvua nguo kabisa anajua upuuzi mwingi sana wa Sultan kuliko nyie wasaka tonge.
Kipindi hichi hamuamini mtu, ajiandae kutafuta chamaAkiutoa ushahidi huyo Sultan wenu sukari itashuka hadi moja,Lemma amejitahidi sana kumsitiri Sultan ila mkimlazimisha atamvua nguo kabisa anajua upuuzi mwingi sana wa Sultan kuliko nyie wasaka tonge.
Mpaka hapo hujapaona?? Machawa wa gaidi mshafanywa vipofuNgoja inyeshe tuone panapovuja
Mlishasema Chdema chama cha wachaga, Lema ni Msukuma?Mpaka hapo hujapaona?? Machawa wa gaidi mshafanywa vipofu
Jamaa bado hutaki kukubali Mbowe amechokwa?Mlishasema Chdema chama cha wachaga, Lema ni Msukuma?
Tulia bwana mdogo, mwaka huu vichaka vyote tutavifyekaWanasema covid 19 kuna wake wa viongozi, eti Matiko mkewe salum Mwalim. Washachanganyikiwa akina Lema baada ya kumuona Mbowe anagombea
Tulia bwana mdogo, mwaka huu vichaka vyote tutavifyeka
Nimekosa mimi, nimekosa sanaHata Wenje alikuwa kwenye hilo kundi ila akasema nimekosa mimi , nimekosa mimi, nimekosa sana akasamehewa na Mbowe🐒
Wala siko huko, mimi nasubiri kura zipigwe tuJamaa bado hutaki kukubali Mbowe amechokwa?