CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hatuendi popote tutabanana humohumo.Ukisha uchaguzi wanatafuta chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuendi popote tutabanana humohumo.Ukisha uchaguzi wanatafuta chama
Hatuendi popote tutabanana humohumo.
...Safari hii mbowe kabanwa, Hongera lissuLema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Safati hii CDM imetikisika.Mambo ya siasa za bongo, ni kuchanganya wafuasi wao tu...
huyo mbowe ni Mungu kiasi kwamba kuanzia kina zitto hadi slaa na chacha wangwe watake kumpindua pale wanapoonyesha interst za uenyekiti tuLema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Kamanda kwema?Ngoja inyeshe tuone panapovuja
Propaganda ikitumika vibaya inaweza kuaminisha watu "mbinguni ni jehanamu na jehanamu ni mbinguni" naona unajitahidi sana,kama unanufaika na FAM haki yako kueneza hizi Propaganda.Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Gaidi unampinduaje? 🐼😂Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Sina upande, Niko ChademaKamanda kwema?
Natamani kujua upo upande upi wa hili sekeseke la mageuzi ndani ya chama kikubwa, chama pendwa.
Lema anafukuzia ukatibu mkuu!! Milioni 15 kwa mwezi sio mshahara mdogo na mvuto wa kisiasa hana hapo Arusha mixer ana njaa mbaya mbovu. So kaangalia upepo.Mlishasema Chdema chama cha wachaga, Lema ni Msukuma?
Lema bangi.Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Kuna upande mmoja hapo upo kwa ajili ya CHADEMA na mwingine malizia wewe msomaji..Sina upande, Niko Chadema
Wewe unasubiri watakao shinda ndiyo upande wako bila kujali agenda na nia yao.Sina upande, Niko Chadema
Kauli na madai ya kumpindua kiongozi wa chama yanatolewa na watu wenye akili ndogo waliokosa uelewa.Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Na Halima alikuwepo kwenye sikukuu ya kufunga mwaka kwa Mbowe ...siasa sio uadui🐼Wanasema covid 19 kuna wake wa viongozi, eti Matiko mkewe salum Mwalim. Washachanganyikiwa akina Lema baada ya kumuona Mbowe anagombea
Siasa ukivaa moyoni kama akina lissu mwisho wake utaingia stress kama akina LemaNa Halima alikuwepo kwenye sikukuu ya kufunga mwaka kwa Mbowe ...siasa sio uadui🐼
Wenje alisema kuwa hiyo timu ilikuwa pamoja na yeye. Alisema kuwa Lissu aliwaaminisha kuwa Mbowe ni corrupt na amehongwa magari mawili. Wenje alipofuatilia akagundua kuwa tofauti na walivyoambiwa, Mbowe alinunua magari hayo kwenye mnada. Alimuonyesha mpaka risiti za manunuzi. Hapo ndipo alipojitenga na waliokuwa wenzake.Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
😂😂😂😂Hata Wenje alikuwa kwenye hilo kundi ila akasema nimekosa mimi , nimekosa mimi, nimekosa sana akasamehewa na Mbowe🐒
Ngoja inyeshe tuone panapovuja