Inawezekana akina Lema, Lisu na Msigwa ndio walikuwa na mpango wa."kumpindua" Mbowe

Inawezekana akina Lema, Lisu na Msigwa ndio walikuwa na mpango wa."kumpindua" Mbowe

Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Huo ujumbe upeleke kwa wajumbe tar 21.
 
Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Mbowe must go. Atake asitake lazima tumtoe hata kwa Kutumia ma AK 47, SMG, na mavifaru. Lazima tumtoe.
 
Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Aisee kwa mambo yanayofanyika CHADEMA bora tu wangempindua.
 
Kama kiongozi amejigeuza sultani na wakati chama sio cha kisultani kuna ajabu gani akipinduliwa?
Kinachoitwa mapinduzi, kupitia sanduku la kura, huyu tapeli hakutaka kupata upinzani?
 
Wenje alisema kuwa hiyo timu ilikuwa pamoja na yeye. Alisema kuwa Lissu aliwaaminisha kuwa Mbowe ni corrupt na amehongwa magari mawili. Wenje alipofuatilia akagundua kuwa tofauti na walivyoambiwa, Mbowe alinunua magari hayo kwenye mnada. Alimuonyesha mpaka risiti za manunuzi. Hapo ndipo alipojitenga na waliokuwa wenzake.

Amandla...
Kwa hiyo ukionyesha risiti za manunuzi ndio unakuwa hujahongwa!?
Ongeza kiasi cha ubungo kwenye hilo fuvu wewe!
 
Lema anasema hataki tena ubunge, kwq maana hiyo hataishi tena bongo na inakoelekea ataki tena siasa, Canada + Familia
 
Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi.
Bro please tafakari 1000 upande unaoupigania
 
Back
Top Bottom