R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Jan 15, 2025 Thread starter #61 Cannabis said: Hata Wenje alikuwa kwenye hilo kundi ila akasema nimekosa mimi , nimekosa mimi, nimekosa sana akasamehewa na Mbowe🐒 Click to expand... evidence
Cannabis said: Hata Wenje alikuwa kwenye hilo kundi ila akasema nimekosa mimi , nimekosa mimi, nimekosa sana akasamehewa na Mbowe🐒 Click to expand... evidence
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Jan 15, 2025 Thread starter #62 Mropoka Hovyo said: Mbowe must go. Atake asitake lazima tumtoe hata kwa Kutumia ma AK 47, SMG, na mavifaru. Lazima tumtoe. Click to expand... utoto sasa...ndiyo mana JF ni ya kuhama....ukae kusoma nini?
Mropoka Hovyo said: Mbowe must go. Atake asitake lazima tumtoe hata kwa Kutumia ma AK 47, SMG, na mavifaru. Lazima tumtoe. Click to expand... utoto sasa...ndiyo mana JF ni ya kuhama....ukae kusoma nini?
much know JF-Expert Member Joined Oct 22, 2017 Posts 11,461 Reaction score 17,183 Jan 15, 2025 #63 Retired said: Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi. Click to expand... Machawa wa mbowe mmetoka mapangoni
Retired said: Lema anasema Mbowe alitaka kuwafukuza. All is possible, vile vile inawezekana hao trio ndio walikuwa na mpango wa kumpindua Mbowe. Leo Lema anasema Mbowe alikuwa na mpango wa kuwafukuza akina Lema, Lisu, Msigwa. Fine Lema toa ushahidi. Click to expand... Machawa wa mbowe mmetoka mapangoni
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Jan 15, 2025 #64 Crimea said: Machawa ya Mbowe yamechanganyikiwa kabisa Click to expand... Hivi kama unafuatilia hoja vizuri humu JF kkweli wafuasi wa Mbowe wamechanganyikiwa au wa Lissu ndio wamechanganyikiwa? Ebu Fanya study!
Crimea said: Machawa ya Mbowe yamechanganyikiwa kabisa Click to expand... Hivi kama unafuatilia hoja vizuri humu JF kkweli wafuasi wa Mbowe wamechanganyikiwa au wa Lissu ndio wamechanganyikiwa? Ebu Fanya study!