Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Hakuna dhambi isiyosameheka isipokuwa ya kumkufuru roho Mtakatifu. Ni dhambi mbaya umefanya ya kufanya utani kwa kumuhusisha roho Mtakatifu, hilo litabaki nafsini mwako hata ukilala usingizi. Unamlinganishaje mwanadamu na roho Mtakatifu?.

Unamfanyia utani roho Mtakatifu Halafu unadai nimeiparamia Biblia. Hauna uhalali wa kunihoji kuhusu Biblia Kama unaifanyia dhihaka nafsi ya tatu ya Mungu. Kwa dhambi uliyoifanya nimwachie Mungu anayehukumu kwa yote.

Wewe Ni wa kuhurumiwa maana hata hujui umtanie Nani na wapi?

Kwa swali laki, mimi nategemea kuishi miaka ya kibiblia 70 mpaka 80. Mungu akinipendelea zaidi 130. Halafu haku

wewe ndiye umeanza kumdhihaki,kwa kujiona una haki ya kuishi kwakuwa u msafi mbele za Mungu kuliko magufuli.

hii sifa anayo roho mtakatifu pekee,hata yesu nafsi ya pili alionja mauti.

acheni mzaha na imani za watu.
 
wewe ndiye umeanza kumdhihaki,kwa kujiona una haki ya kuishi kwakuwa u msafi mbele za Mungu kuliko magufuli.

hii sifa anayo roho mtakatifu pekee,hata yesu nafsi ya pili alionja mauti.

acheni mzaha na imani za watu.
Wewe ndio umeniita Mimi roho Mtakatifu, ndio nikakwambia acha mizaa kwenye jina la Roho Mtakatifu. Halafu hakuna sehemu nimesema Mimi Ni Mtakatifu kuliko Magufuri, nimesema Mungu hufanya kazi katika njia zisizo onekana. Ndio nikasupport idea ya mtoa hoja kulingana na mtirirko alouonyesha.

Haiwezekani mtu apigwe risasi kumi na sita apone Halafu aibiwe kura kwenye uchaguzi mkuu rais adumu kwa miezi mitatu. Mimi kwangu hiyo siyo coincidence Kuna power behind.
 
Lakini watawala walitakiwa walifanyie kazi kuwapata hao wapumbavu. Watawala kulikalia kimywa tukio hilo na kuzidi kumtesa mhanga wa tukio kwa kumnyima matibabu na kuzuia watu wasiende kumuona Nairobi, hiyo ilimaanisha watawala walikua sehemu ya wapumbavu.
Wapumbavu ndio waliopanga shambulio hilo
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Lissu alitaka kuuawa na Mbowe kwa sababu ya Uenyekiti wa NGO yao. Serikali haiwezi kumuua kwa sababu Lisu hakuwa na Madhara hata kidogo
 
nyinyi ndio mnafanya bible ionekane haiekeweki,kumbe shida ni vichwa vyenu.

swali la ufahanu kwako,ikiwa Mungu huua anayemchukiza??wewe unemchukiza nini???
Mwanzo 38 hiyo soma mwenyewe. Unabisha nini sasa. Kuleta ujuaji
Screenshot_20220104-151335_1.jpg
 
Lissu alitaka kuuawa na Mbowe kwa sababu ya Uenyekiti wa NGO yao. Serikali haiwezi kumuua kwa sababu Lisu hakuwa na Madhara hata kidogo
Wewe ndo huyo dada kwenye picha hapo? Unafanana na mawazo yako
 
Lissu alitaka kuuawa na Mbowe kwa sababu ya Uenyekiti wa NGO yao. Serikali haiwezi kumuua kwa sababu Lisu hakuwa na Madhara hata kidogo
Hii ni dhihaka ndogo sana ukilinganisha na dhihaka tulizopewa na magu na genge lake, tulitukanwa, tulidharauliwa tuliteswa, tulipigwa na wengine wetu walidhulumiwa haki yao ya kuishi...mwisho wa siku HAKI ILITAMALAKI
 
Mimi nilimuona kwa Short Distance Mara ya Kwanza Kawe Tanganyika parkers siku ya kufunga kampeni. Kuna namna nilikuwa najisikia isiyo ya kawaida.

Sisi watu wa kiroho tunamchukulia tofauti kabisa na watu wengine wanavyomuona.
WENDA wengine hawawezi elewa Jambo Hili, bora umenisaidia weka uwazi , huyu jamaa WENDA pia yeye hajijui nguvu iliyo ndani yake
 
Unaambiwa baada ya dereva kuiona hiyo hatari ya washambuliaji, alimshauri Tundu Lissu kulaza kiti na hivyo Tundu Lissu aligeuka na kulalia tumbo yaani kifudifudi (sasa waweza kuiona picha ni kwa nini aliumia zaidi upande wa kulia). Dereva alishuka akawa chini bila washambuliaji kumuona na akaenda kujibanza kwa gari iliyokua karibu, kwakua washambuliaji walikua wanafanya kitendo kwa haraka, hawakuweza kuwa na muda kutambua dereva yumo ndani ya gari au la. Baada ya washambuliaji kuondoka, alirudi kuja kutoa msaada. Kama kiti kisingelazwa, Tundu Lissu angeuwawa, maana target ya washambuliaji ilikua zaidi usawa wa mtu aliyekaa. Gari kuwa na tinted ndiyo ulikua msaada zaidi kwa kuwafanya washambuliaji wasiweze kuona ndani ya gari.

Mengine jiongeze zaidi.

Cc Ame Avriel
Lile shambulizi liliongozwa na Makonda.
 
Lissu sio wakawaida, 2020 wakati anazindua kampeni ,alipofika Mbeya nilikua Mbeya,akafika pale soko la nzovye zindua msingi, nilikua karibu ,kumuona nilisikia mwili watetemeka, WENDA ningemgusa mkono ningezimi,

Wengine wakamuona biashara kama kawaida leo wamezikwa mwamba anadunda, Upako wa lissu sio wa Dunia hii, WENDA hata yeye hajui
Lissu Hana dhambi kabisa
 
Unaambiwa baada ya dereva kuiona hiyo hatari ya washambuliaji, alimshauri Tundu Lissu kulaza kiti na hivyo Tundu Lissu aligeuka na kulalia tumbo yaani kifudifudi (sasa waweza kuiona picha ni kwa nini aliumia zaidi upande wa kulia). Dereva alishuka akawa chini bila washambuliaji kumuona na akaenda kujibanza kwa gari iliyokua karibu, kwakua washambuliaji walikua wanafanya kitendo kwa haraka, hawakuweza kuwa na muda kutambua dereva yumo ndani ya gari au la. Baada ya washambuliaji kuondoka, alirudi kuja kutoa msaada. Kama kiti kisingelazwa, Tundu Lissu angeuwawa, maana target ya washambuliaji ilikua zaidi usawa wa mtu aliyekaa. Gari kuwa na tinted ndiyo ulikua msaada zaidi kwa kuwafanya washambuliaji wasiweze kuona ndani ya gari.

Mengine jiongeze zaidi.

Cc Ame Avriel
Kama Mama ana hofu ya mungu anapaswa haraka sana mchakato wa kuwasaka wote na kuwafikisha mbele ya mikono ya sheria. Ila marehemu alikuwa zaidi ya Dubu aisee sijui nani alimdanganya kuwa hii dunia ni yake matokeo yake kafa kifo kibaya sana hata kuombewa tu wakati wa ugonjwa wake hakuna yeye na mzee wa Lubaso walikuja kifo kibaya sana. Maana mzee wa Lupaso aliyoyafanya Pemba mungu ndio anajua. Yule mwenzao kapigwa upofu wa haja. Hakuna cha komandoo ama kama ndoo. Tuishi kwa kuigopa kesho. Bado mgogo yule atakufa kifo kibaya sana nyau yule.
 
Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Jamaa ni kichaa anashindwa tofauti kati ya Mungu na Mzungu…. Kwa ufupi tu ni kuwa hapo Ikulu ya TZ kunakikaragosi cha wazungu… ni haki yake kuwaneemesha wote waliotimiza mambo kwa maslahi mapana ya mzungu, Period. Unless others historia ya ulimwenguni hasa hasa Africa na viongozi wake imetupiga chenga kabisa.
 
Lissu hajawahi kuwa na njaa, hadharani alimkejeli Magufuli kuhusu kumteua, alimwambia kuwa yeye sio kama wale wa majalani

Lissu kujiamini kwake hakuna ulinganifu nchi hii so hawezi kukubali uteuzi wa Samia.
Inafahamika jeuri ya lissu ni kwa kuwa yuko kwenye payroll za wazungu
 
Back
Top Bottom