Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Dhambi ya kujaribu kumuua Tundu Lissu itawatesa hadi kaburini; mtawahekuka na kupukutika mmoja mmoja hadi muishe. Na wewe naona dhambi hii imeanza kukutafuna. Pole sana.
Inawezekana utabiri wako ukawa kweli kwa namna fulan maana kuna mmoja mpaka leo bado yuko jela, afu aliwahi kuhusishwa na kifo cha hayati Chacha Wangwe. Waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwako, na wengine wanasema umzaniae ni rafiki yako au ndugu yako mbele ya masilahi huwa adui yako. Uenyekiti wa vyama huwa haupatikani hivi hivi.. una gharama zake.
 
Akili ambayo inafiti mlengo wako wa kisiasa. Akili gani Hapo mifallacy. Au wewe udogo wa ubongo wako ndo unaona hiyo akili. Pity on you.
Vipi Mpe pole mwenzako Ndugai. Tumemsagia Kunguni hadi kabwaga manyanga.

Ndugai tulimuonya. Dhihaka zilizidi.
 
Kaka Uko huku wakati ulitakiwa kwenda kumfariji mwenzako Ndugai? Kweli ccm hampendani.
 
Na katika hili mimi si mwanachama wa CHADEMA, naomba nisisitize kwa kusema MBOWE SI GAIDI.Huu unyama anofanyiwa na wenzake MUNGU ANAJUA.

Nimemaliza
Mungu atawalipa kwa wakati wake. Hakuna aliyewahi kufikiri adhabu kubwa namna hii ingempata Ndugai.

Ni katika Bunge la Ndugai ambapo wahunge walikuwa wanakamatwa wakiwa bungeni na biunga vya bunge ambapo wanakinga kisheria. Lakini kwa kuwa walikuwa wanafanyiwa wengine hakujali. Akina Bashe wamewahi kutekwa hakujali achilia mbali wapinzani ambao kwa dhihaka Bajeti ya Waziri Kivuli ilichanwachanwa hadharani Bungeni na hakuchukua hatua.

Ndugai amevuna alichopanda
 
ndugai ni speaker mstaafu anatunzwa mpaka kufa na analipwa mpaka kufa.

sema tu unajaribu kuitibu roho yako kwa faraja.
Hivi unaijua vizuri ccm ama unajitoa ufahamu, ngoja nikukumbushe kidogo enzi za jiwe kuna katibu mkuu wa ccm tena master plan wa ccm unakumbuka kilichompata hadi kuwekwa chini ya ulinzi wa Tiss, chezea mambo yote soo watawala wa ccm.
 
Hivi unaijua vizuri ccm ama unajitoa ufahamu, ngoja nikukumbushe kidogo enzi za jiwe kuna katibu mkuu wa ccm tena master plan wa ccm unakumbuka kilichompata hadi kuwekwa chini ya ulinzi wa Tiss, chezea mambo yote soo watawala wa ccm.

mimi namjua lowassa,kalindwa na huduma zote tokea 2008.
 
Kwa mtizamo wako,alichofanyiwa Lissu kulikuwa kizuri mbele ya MUNGU??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…