Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Wewe ndio umeniita Mimi roho Mtakatifu, ndio nikakwambia acha mizaa kwenye jina la Roho Mtakatifu. Halafu hakuna sehemu nimesema Mimi Ni Mtakatifu kuliko Magufuri, nimesema Mungu hufanya kazi katika njia zisizo onekana. Ndio nikasupport idea ya mtoa hoja kulingana na mtirirko alouonyesha.

Haiwezekani mtu apigwe risasi kumi na sita apone Halafu aibiwe kura kwenye uchaguzi mkuu rais adumu kwa miezi mitatu. Mimi kwangu hiyo siyo coincidence Kuna power behind.

unadhani ni kwanini tunakatazwa kuhukumu mtu!!!tafsiri yake ikobkatika neno utukufu kwa anayetoa hukumu,sifa ambayo anabaki nayo Mungu mwenyewe.

uchaguzi haujaanza kuporwa 2020 narudia tena,risasa 16 zote zilipiga chini ya kifua cha lissu.ni kweli tutasema Mungu hakutaka lissu afe kwa risasi zile,ila kusema magufuli alifariki kwa sababu hizi hapo juu,ni kujaribu kujipumbaza na kujifariji na kifo ambacho kinamsubiri kila mtu.
 
unadhani ni kwanini tunakatazwa kuhukumu mtu!!!tafsiri yake ikobkatika neno utukufu kwa anayetoa hukumu,sifa ambayo anabaki nayo Mungu mwenyewe.

uchaguzi haujaanza kuporwa 2020 narudia tena,risasa 16 zote zilipiga chini ya kifua cha lissu.ni kweli tutasema Mungu hakutaka lissu afe kwa risasi zile,ila kusema magufuli alifariki kwa sababu hizi hapo juu,ni kujaribu kujipumbaza na kujifariji na kifo ambacho kinamsubiri kila mtu.
Updates

Leo tarehe 6/01/2022 Job Ndugai amejiuzuru uspika wa Bunge

Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?
 
Updates

Leo tarehe 6/01/2022 Job Ndugai amejiuzuru uspika wa Bunge

Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

huwenda alikasirika,lakinu pia atakuwa kakasirishwa zaidi baada ya mwenyekiti wa ccm kupingwa hadharani.
 
This is the best Karma niliyowai kushuhudia na miaka yangu 45 hapa duniani

ndugai ni speaker mstaafu anatunzwa mpaka kufa na analipwa mpaka kufa.

sema tu unajaribu kuitibu roho yako kwa faraja.
 
ndugai ni speaker mstaafu anatunzwa mpaka kufa na analipwa mpaka kufa.

sema tu unajaribu kuitibu roho yako kwa faraja.
Hatujali, atakuja kutuomba matibabu atataka tumpe referral kwenda India.

Hataipata kamwe
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!


UPDATES
Leo tarehe 6/01/2022 Job Ndugai amejiuzuru uspika
Hii laana itawamaliza mmoja baada ya mwingine

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!


UPDATES
Leo tarehe 6/01/2022 Job Ndugai amejiuzuru uspika
Mambo mengi muda mchache
 
Umejiuliza kwanini hali imekuwa hivyo? is it by chance? Mwenzako amewaza kwa kutumia akili.

Akili ambayo inafiti mlengo wako wa kisiasa. Akili gani Hapo mifallacy. Au wewe udogo wa ubongo wako ndo unaona hiyo akili. Pity on you.
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!


UPDATES
Leo tarehe 6/01/2022 Job Ndugai amejiuzuru uspika
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele (Gal 6:7-8)
 
Walioshiriki kutenda dhambi hii watapukutika mmoja baada ya mwingine hadi waishe. Malipo ni hapahapa duniani. Kinara wao tayari kafukiwa ardhini kitambo kidogo.
Hakika mkuu
 
Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Dhambi ya kujaribu kumuua Tundu Lissu itawatesa hadi kaburini; mtawahekuka na kupukutika mmoja mmoja hadi muishe. Na wewe naona dhambi hii imeanza kukutafuna. Pole sana.
 
Na katika hili mimi si mwanachama wa CHADEMA, naomba nisisitize kwa kusema MBOWE SI GAIDI.Huu unyama anofanyiwa na wenzake MUNGU ANAJUA.

Nimemaliza
 
Back
Top Bottom