Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaze sana mkuu, ukiongezea nazi hilo ndilo group kubwa zaidi la wapishi bongo.Nipo kwenye group ambalo ukitoa nyanya, kitunguu, karoti na hoho jikoni sijui kitu 😁
Ila naamini Wakali wa michemsho, karanga na viungo vingine wanaweza. Haya JF sweethearts ambao huwa mnasema jikoni mpo vizuri. Challenge hii kwenu sasa 🔥🔥
Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Yeah inakuwa tu vizuri, Nilijaribu xmass makange ya samaki sikuweka nyanya na ikatoka tu poaNaunga mkono hoja
Imekua challenge sio😂😂Nipo kwenye group ambalo ukitoa nyanya, kitunguu, karoti na hoho jikoni sijui kitu 😁
Ila naamini Wakali wa michemsho, karanga na viungo vingine wanaweza. Haya JF sweethearts ambao huwa mnasema jikoni mpo vizuri. Challenge hii kwenu sasa 🔥🔥
Yeah inakuwa tu vizuri, Nilijaribu xmass makange ya samaki sikuweka nyanya na ikatoka tu poa
Kuna michuzi ya kihindi/Kipersia mingi mno ambayo haitumii nyanya.Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Kwakweli hili jina ndio naliskia kwako,.Makange ya namna hiyo huitwa "changamoto", sijui waswahili hutoa wapi majina ya vyakula 😆
Kwakweli hili jina ndio naliskia kwako,.
Eti "changamoto" 😂😂 ila wabongo
Hivyo mie ndo napenda, vitunguu tu vingi na sauces za kutosha.yeah wanaita hivyo, unakuta nyama ya ama kuku, samaki, ng'ombe au mbuzi imejazwa onion rings kibao...
Kuna michuzi ya kihindi/Kipersia mingi mno ambayo haitumii nyanya.
View attachment 3188481
Chicken korma,
Hata ukitoa wahindi sisi watu wa Pwani tunatumia sana Nazi badala ya Nyanya, kuna michuzi ya Nazi mizito unatumia tu Nazi za packet bila maji, na boneless chicken ama fish.
Weka karoti nyingiWapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Inawezekana kabisa unaweza tumia viungo vingine ikiwemo paprika pia napenda kuongeza Nazi km nitahitaji mchuzi km. Ni makange ni hivohivo makavu bila Nazi
100% maana kuna jf sweethearts huwa wanajisifia wana mkono wa jiko yaani hawaharibu kwenye kukarangiza.Imekua challenge sio😂😂
Bongo kombinesheni yetu ni moja..Usiwaze sana mkuu, ukiongezea nazi hilo ndilo group kubwa zaidi la wapishi bongo.
Ahhh changamoto wanaweka pilipili nyingi na vitunguu vingi sana. Vitu ambavyo sivipendiMakange ya namna hiyo huitwa "changamoto", sijui waswahili hutoa wapi majina ya vyakula 😆
Uko vizuri Lee isipokuwa chips umewahi kuziopoa, bado zina mafuta pia ungeweza kuzifanyia unyade zaidi kwa kuziwekea unga wa paprika kupata karangi
View attachment 3188484
Halafu kweli🤣100% maana kuna jf sweethearts huwa wanajisifia wana mkono wa jiko yaani hawaharibu kwenye kukarangiza.
Mimi naona hii ndio nafasi ya kuonesha umwamba au sio 😁😁