Inawezekana kupika rosti/mchuzi mzito bila nyanya.

Inawezekana kupika rosti/mchuzi mzito bila nyanya.

I'm an artist by nature haswa kwenye kuchora na ubunifu mwingine na pia nafanya graphic design nikiwa free...

So upishi nao huwa naona ni kama art tu au project vile, ambapo ili upate chakula fulani inakubidi uwe na picha ya mwisho kichwani kabla hata hujaanza kupika, upange layers na layers za recipes kwa uangalifu na umaridadi, ujue kiwango cha moto wakati unapotokosa au kaanga chakula etc...

Aina ya upishi ambao huwa sina mzuka nao ni kufanya pastries au baking (kudeal na unga wa ngano)...
Umeongea kama mtu mwenye exposure kubwa sana na hata kama umekaa bongo maisha yako yote Ila una curiosity level kubwa pia.

Nimekusoma vizuri na pia hongera sana mkuu 👏🏾👏🏾
 
@Aaliyya
Curry leaves paste,
Carry powder ( og)
Coriander paste,
ginger paste
Garlic paste
Onion paste
Chill flakes
Coriander seeds
Red Onions paste (kwa wingi)
Finger Chill
1.potato
HIVI HUWEKEKWA KWENYE MCHUZI
Vip kuhus bay leaves Huwa kazi yake nn hasa na chakula ni special kutumia?
 
Wale wanapenda Pilipili
Hivyo utakuta wanaweka Red Chill
Kitunguu swaumu
Hoho mixer nyekundu, Njano, Kijani
Kisha wanaviblend pamoja
Wengine wanaweka Korosho
Wanapata mixer nzitooo

Kwenye kuunga hapo inategemea ni chakula gani ila wanaweka viungo tena kama paprica, jira, nk kupata rangi nzur na taste

Kumalizia wanawea Cooking Cream, au Tui la Nazi

Hapo inatoa bonge moja la mchuzi na nimzito bila nyanya
Asante sana yaan nilikuwa natamani sana wanavopita naishiaga kuangalia tu video nilikuwa sielew kna mwingine alipika pilau juu akamwagia unga mwekundu aisee Ile rangi ilipemdezehaa pilau balaa
 
Nyanya na mchuzi ni kama karanga mbichi na bao zito kwa mwanaume juzi kati hapa nimetafuna karanga kisado kimoja nimekojoa bao zito kama uji wa mchele mpaka yule demu akasema we mshenzi uta uunguza uke wangu.
 
Ndiyo. Ni vile tu bongo tumekariri lazma lost liwe jekundu km nyanya
 
Back
Top Bottom