Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo.Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
😃😃😃 mambo yasiwe mengiNgoja sisi wengine tupike wali afu maharage tukafate Kwa Bi Mwanja
Kigamboni kuna sehemu moja hivi wanapika changamoto matata sana.Makange ya namna hiyo huitwa "changamoto", sijui waswahili hutoa wapi majina ya vyakula 😆
Uko vizuri Lee isipokuwa chips umewahi kuziopoa, bado zina mafuta pia ungeweza kuzifanyia unyade zaidi kwa kuziwekea unga wa paprika kupata karangi
View attachment 3188484
Hata sherehe kubwa naona wapishi ni wanaume, binafsi sijui kabisa kupika labda ugali wali na makandeMkuu tangu zamani wanaojua kupika zaidi kama professionals ni wanaume, fuatilia hata chefs wengi wakubwa maarufu ni wanaume, hoteli nyingi kubwa wapishi wengi ni wanaume.
Uswahilini raha sana unapika wali maharage unanunua...unaangalia nani anaweka sana Nazi 😂😂😂😃😃😃 mambo yasiwe mengi
3000 inakuweka mjini vizuri tu😃😃😃 kupanga ni kuchagua
Hahaha hatari na nusu 😁😁Uswahilini raha sana unapika wali maharage unanunua...unaangalia nani anaweka sana Nazi 😂😂😂
Wa migombani na budget tena 🤭3000 inakuweka mjini vizuri tu
Sema ilikua life la chuo kipindi hiko bajeti kali sana.... kiukwel Kuna maeneo saiv kupiga msosi ni ngumu ila kipindi hiko nliubonda mwingi sanaWa migombani na budget tena 🤭
Wewe ni muIraqwwahdzabe ndio zetu, hakuna haja na nyanya but ni mwendo wa rosti ya maana na nyama choma 🐒
Onhoo! Hapo sawa Mkuu 😁😀Sema ilikua life la chuo kipindi hiko bajeti kali sana.... kiukwel Kuna maeneo saiv kupiga msosi ni ngumu ila kipindi hiko nliubonda mwingi sana
Kwenye hayo mambo Wala sikupingi mkuu.Kupika afu ukajua unapika nini...... Aseeh msosi unakuwa mtamu
Mimi sina la kuongeza hapo..... Bila nyanya unaweza pika mchuzi mzitoo kama ambavyo wadau wameshachangia maoni yao! secretarybird zerominus10
Hahahaha kawaida bossKwenye hayo mambo Wala sikupingi mkuu.
HahahaHahahaha kawaida boss
Amini mkuuHahaha
mambo habibi nimekumisi sanaNdio yawezekana Saga Carrot za kutosha kwa blender, utamix na Soya Sauce utaweka na Nazi au Karanga..
tamu sana hiyo nimetamani sana 😎😎 na mie kesho najaribu kupika hivyoYeah inakuwa tu vizuri, Nilijaribu xmass makange ya samaki sikuweka nyanya na ikatoka tu poa
😂USIWE NA HARAKA BOSS, HIYO KITU MBONA INAWEZEKANA TU NA ITATOKEA AUTOMATICALLY JANUARY BILA MAFUNZO YOYOTE UTAWEZA TU