Inawezekana kupika rosti/mchuzi mzito bila nyanya.

oOh wow😍,. Sema nilizikaanga halafu nikaweka kwenye hotpot ili zisipoe ndio maana zikalegea,.
Nikipata nafasi weekend hii nitajaribu hiyo recipe ya kuziwekea unga wa paprika..

Thank you😊
 
Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
 
Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
Sijui majina vyote kusema kweli, mimi napenda Butter chicken mchuzi wao ila wife kahangaika wee bilabila kashindwa kureplicate, kuna spices hata ukigoogle online hazijulikani.

Main ingredients kama Yoghurt, heavy cream, butter, Nazi vinajulikana.

Ila kuna masala masala ambazo zina dictate ladha na rangi zipo nyingi mno na coconut sugar hivi vina ni changanya.
 
Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
Wale wanapenda Pilipili
Hivyo utakuta wanaweka Red Chill
Kitunguu swaumu
Hoho mixer nyekundu, Njano, Kijani
Kisha wanaviblend pamoja
Wengine wanaweka Korosho
Wanapata mixer nzitooo

Kwenye kuunga hapo inategemea ni chakula gani ila wanaweka viungo tena kama paprica, jira, nk kupata rangi nzur na taste

Kumalizia wanawea Cooking Cream, au Tui la Nazi

Hapo inatoa bonge moja la mchuzi na nimzito bila nyanya
 
Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Nimekuja mbio nikiwa nimeshaandaa vya kupika ili nipate ujuzi, kumbe na wewe umeleta kama maoni
 
Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
@Aaliyya
Curry leaves paste,
Carry powder ( og)
Coriander paste,
ginger paste
Garlic paste
Onion paste
Chill flakes
Coriander seeds
Red Onions paste (kwa wingi)
Finger Chill
1.potato
HIVI HUWEKWA KWENYE MCHUZI
 
Ila mkuu umejulia wapi kupika maana Mimi nikiona mwanaume anajua kutumia binzari, sijui ajina moto, huwa namuweka directly katokea pwani

I'm an artist by nature haswa kwenye kuchora na ubunifu mwingine na pia nafanya graphic design nikiwa free...

So upishi nao huwa naona ni kama art tu au project vile, ambapo ili upate chakula fulani inakubidi uwe na picha ya mwisho kichwani kabla hata hujaanza kupika, upange layers na layers za recipes kwa uangalifu na umaridadi, ujue kiwango cha moto wakati unapotokosa au kaanga chakula etc...

Aina ya upishi ambao huwa sina mzuka nao ni kufanya pastries au baking (kudeal na unga wa ngano)...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…