oOh wow😍,. Sema nilizikaanga halafu nikaweka kwenye hotpot ili zisipoe ndio maana zikalegea,.Makange ya namna hiyo huitwa "changamoto", sijui waswahili hutoa wapi majina ya vyakula 😆
Uko vizuri Lee isipokuwa chips umewahi kuziopoa, bado zina mafuta pia ungeweza kuzifanyia unyade zaidi kwa kuziwekea unga wa paprika kupata karangi
View attachment 3188484
Yaani mi nainjoi tuu the way unayajua haya mambo naimani kuna mtu anafaidi sana madiko diko anInawezekana kabisa unaweza tumia viungo vingine ikiwemo paprika pia napenda kuongeza Nazi km nitahitaji mchuzi km. Ni makange ni hivohivo makavu bila Nazi
Wanaweka nazi?Kuna michuzi ya kihindi/Kipersia mingi mno ambayo haitumii nyanya.
View attachment 3188481
Chicken korma,
Hata ukitoa wahindi sisi watu wa Pwani tunatumia sana Nazi badala ya Nyanya, kuna michuzi ya Nazi mizito unatumia tu Nazi za packet bila maji, na boneless chicken ama fish.
InawezekanaWapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?Kuna michuzi ya kihindi/Kipersia mingi mno ambayo haitumii nyanya.
View attachment 3188481
Chicken korma,
Hata ukitoa wahindi sisi watu wa Pwani tunatumia sana Nazi badala ya Nyanya, kuna michuzi ya Nazi mizito unatumia tu Nazi za packet bila maji, na boneless chicken ama fish.
Kwa wahindi most of time uzito wa Mchuzi unatokana na Yoghurt ama Cream butter, pia wanatumia vitunguu saumu ila huu unataka moyo kula.Wanaweka nazi?
Aah sio sana😄 huwa najifunza sana huko YouTube na TikTokYaani mi nainjoi tuu the way unayajua haya mambo naimani kuna mtu anafaidi sana madiko diko an
Sijui majina vyote kusema kweli, mimi napenda Butter chicken mchuzi wao ila wife kahangaika wee bilabila kashindwa kureplicate, kuna spices hata ukigoogle online hazijulikani.Hiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
Mi niliwahi jifunza kupika pilau la mafuta ya karanga...Aah sio sana😄 huwa najifunza sana huko YouTube na TikTok
Tomato paste siyo nzur kiafya kwa Mwanaume. Nyie ndiyo mnawafanya Wanaume wapate matatizo ya Nguvu.Me ningeshauri kwenye makange wawe wanaweka tu Tomato paste badala ya nyanya
Weee sema kweli🤔Tomato paste siyo nzur kiafya kwa Mwanaume. Nyie ndiyo mnawafanya Wanaume wapate matatizo ya Nguvu.
Umewahi kula mshikaki wa mfupa?Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Wale wanapenda PilipiliHiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
Nimekuja mbio nikiwa nimeshaandaa vya kupika ili nipate ujuzi, kumbe na wewe umeleta kama maoniWapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
@AaliyyaHiv wahind huwekag viungo gani mchuz unakuwa na rangi nzuri bila nyanya?
Makange nyanya haiwekwagiMe ningeshauri kwenye makange wawe wanaweka tu Tomato paste badala ya nyanya
Ila hawa Wapishi wa kileo hilo kange lapikwa lavutia rangi na harufu lakini MDOMONI HALINA LADHAMakange nyanya haiwekwagi
Sema tu labda watu wana force tu
Ova
Ila mkuu umejulia wapi kupika maana Mimi nikiona mwanaume anajua kutumia binzari, sijui ajina moto, huwa namuweka directly katokea pwani