Inawezekana Millard Ayo anaingiza pesa nyingi kuliko Diamond Platnumz?

Inawezekana Millard Ayo anaingiza pesa nyingi kuliko Diamond Platnumz?

mzee unakumbuka report ya CAG tumeshawahi pigwa trillion kumi, sasa hizo hela kwa akili yako watu wamezifukia chini ya ardhi au, ndio barclays na banks nyingine za kimataifa watu wameweka mizigo acha kukariri tafuta pesa.
Sasa hapa umeandika nini mana naona hata hoja yako hujui ni Nini report ya CAG inahusianaje hapa jifunze kujua mtiririko wa hoja
 
kama huna kitu kichwani kaa kimya hutapungukiwa na kitu usiongee vitu usivyovijua

Je Hao ndio wabongo ambao wame hack baclays Tanzania na kusema millard Ayo ana 350 million usd. Kwenye account ?

Mbona sioni baclays Tanzania hapo kwenye screen shot yako
 
Bongo hakuna hackers akili yako inakwambia hackers lazima azaliwe Russia sikia wewe hackers wanafanya kazi kwa team, Bongo wapo wengi sema huwezi kutana nao kwenye dala dala, halafu kuhusu kuhack barclays brother mbona watu wanahack kila siku sema zile taarifa zinazoibwa zinauzwa black market huko, watu wanahack hadi pentagon networks unasema kuhusu bank nyie, kweli taarifa ni kitu cha gharama, ila uzushi taairifa fake ndio vitu vya bure kabisa.

Q
Series na story za vijiweni zina kuharibu,huna unachokijua kuhusu Cyber,hata nilicho kiandika huja kielewa.
 
Je Hao ndio wabongo ambao wame hack baclays Tanzania na kusema millard Ayo ana 350 million usd. Kwenye account ?

Mbona sioni baclays Tanzania hapo kwenye screen shot yako
si ulisema sijiu wanatumia oracle nini cjui
 

Attachments

  • bogus.PNG
    bogus.PNG
    7.6 KB · Views: 6
Series na story za vijiweni zina kuharibu,huna unachokijua kuhusu Cyber,hata nilicho kiandika huja kielewa.
ulikua hueleweli kitu nimetoa mfano kukushitua akili kidogo, taarifa za accouts kubwa zilizopo barclays hutozipata kwenye daladala ukitokea gerezani kwenda kimara
 
Kuna kijana ana pesa kwa sasa hivi kama kijana chumachachuma,kamcheck pale mjini Instagram,anasumbua watu hapo mjini sinza,hao diamond platnumz na Millard Ayo wakasome......,,,,,
 
Unajijibu mwenyewe
Unajiuliza mwenyewe..

😂😂😂😂😂
 
Sawa kwa nini umetuletea link ila hujaleta hiyo document kuverify.

Hata blackmarket yenyewe nikikuuliza unajisecure vipi unapoingia hujui.
document ni mali yangu nimeilipia
sihitaji kujilinda kwa chochote nikiwa machimbo ya blackmarket, hackers hawaibi tu bora taarifa, lazima uwe target, na ukiwa target hata ujilinde vipi watakuvizia utanasa na info watachukua na ujumbe watakuachia.
 
document ni mali yangu nimeilipia
sihitaji kujilinda kwa chochote nikiwa machimbo ya blackmarket, hackers hawaibi tu bora taarifa, lazima uwe target, na ukiwa target hata ujilinde vipi watakuvizia utanasa na info watachukua na ujumbe watakuachia.
Huna unacho kijua kuhusiana blackmarket ww.Blackmarket kule hawatumii Mozila na Chrome utapigwa na kipC chako.

Wewe usiyejua ndio wanaweza kuchukua info zako,ila kwa aliyekuwa na Knowledge ya Cyber security hawachukui chochote.

Ndio maana nimekuuliza kabla ya kuingia humo,unajiprotect vipi husipigwe.
 
Haya verify kwa hiyo documents iliyokuwa hacked kwamba Millard ana hiyo USD 350 m.

Hivi ushajiuliza kwa nini hao wameiba na wamedakwa?
kujiuliza kwanini wameiba halafu wamedakwa haa?
bogus it guys kama wewe si walishindwa kukimbia lakini waliiba, yani unaiba halafu unakaa kizembe unategemea nini
 
kujiuliza kwanini wameiba halafu wamedakwa haa?
bogus it guys kama wewe si walishindwa kukimbia lakini waliiba, yani unaiba halafu unakaa kizembe unategemea nini
Huna unacho kijua mweupe kabisa katika ulimwengu wa Cyber Security nilicho gundua unapendwa kusikiliza story za vijiweni halafu unakuja huku unazani kuna wajinga kama wajinga wenzio walio kusimulia huko.
 
Huna unacho kijua kuhusiana blackmarket ww.Blackmarket kule hawatumii Mozila na Chrome utapigwa na kipC chako.

Wewe usiyejua ndio wanaweza kuchukua info zako,ila kwa aliyekuwa na Knowledge ya Cyber security hawachukui chochote.

Ndio maana nimekuuliza kabla ya kuingia humo,unajiprotect vipi husipigwe.
nilijua tu umekariri blackmarket.com unadhani watu makini wote taarifa kutoka kwa hackers lazima twende huko, kuna taarifa tunazipata direct kwa dms, one by one, na private websites, eti sijui kujiprotect usipigwe mtu huna valuable info uko third world country, atakupiga nani acha woga.
 
Back
Top Bottom