LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Onja sumu utuambie radha yakeNajiuliza tu, wale wapenzi na washabiki wa Lissu wakitaka kuweka T 2020 TAL wataruhusiwa? Manake kusiwe na double standard!!
NakaziaUkienda polisi na wao watakushangaa umepata wapi ujasiri wa kureport jambo hilo.
Ukienda polisi na wao watakushangaa umepata wapi ujasiri wa kureport jambo hilo.
Mkuu futa hii post yako.Taifa linaongozwa na mbumbumbuView attachment 1591792
Sifuti,ni haki yangu kikatiba kutoa maoni yanguMkuu futa hii post yako.
HahahaNa hizi ndiyo Shida Zetu
Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
ni laki 5 mshua, nilichanganya mafaili
Ukienda polisi na wao watakushangaa umepata wapi ujasiri wa kureport jambo hilo.
Mambo ya campaign hayo sema ukileta umandazi unahukumiwa kwa namba halisi ya chombo.Sasa ni kwa nini Namba zifanane kwa kutumika kwenye Magari tofauti tofauti ?
Sio kweli.
Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.