Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Sasa ni kwa nini Namba zifanane kwa kutumika kwenye Magari tofauti tofauti ?
Mambo ya campaign hayo sema ukileta umandazi unahukumiwa kwa namba halisi ya chombo.
 
Sio kweli.

Kama sio kweli ni kwa nini msizitofautishe hizo Namba ili ikitokea Uhalifu umefanyika na moja kati ya hayo Magari ijulikane !?.Mna ficha nini hapo ..
 


HAYO NI MAGARI YA BEPARI MOJA LINALOTOKA CHATO USISHANGAE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…