Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Ni kweli.Yah ndo izo Hollywood vitu wanatumia sana simulizi za kweli za Africa kutengeneza movies zao mfano black panther,the woman king nk na watu wenye power za ajabu za asili Africa waliokuwepo kibao zamani na Hadi Sasa japo waafrica tumeadaiwa na wazungu na kusahau vitu vyetu Hadi asili yetu,
Sasa kwanini niisome Vizuri hiyo Bible ambayo kimsingi ni zao lao?Biblia imeandikwa na watu wengi/tofauti na kwa nyakati tofauti pia,miongoni mwao ni manabii na mitume..Pia namaanisha Rumi hii hii ya Vatican/upapa,[kilipo kiti cha enzi cha Shetani]iliyotesa na kuuwa watu wa MUNGU,inayofadhili machafuko [vita,ugaidi,magonjwa, umasikini n.k.] na kujifanya inaombea amani duniani.
Na ndo madhara/matokeo ya hayo mazindikoPesa nyingi alibahatika kuwa nazo za kumiliki mafuso 6 na nyumba kadhaa miaka ya 95 mwaka 2008 alikuja kufirisika akarudi shambani bila mafanikio mpaka Leo hii
Huko ni noma,juzi niliambiwa nikitaka radi niingie tu hapo chipu,jana tu kuna mkasa nilipewa uliwakuta wana fulani hivi walitoka sumbawanga kwenda huko nimenyoosha mikono🙌🙌🙌🙌🙌Hahahha
We acha tu.
Sema ndio hivo, nyumbani mi nyumbani
Chipu uchawi uko kweupeHuko ni noma,juzi niliambiwa nikitaka radi niingie tu hapo chipu,jana tu kuna mkasa nilipewa uliwakuta wana fulani hivi walitoka sumbawanga kwenda huko nimenyoosha mikono🙌🙌🙌🙌🙌
Biblia sio zao la Rumi na kamwe haitakaa iwe hivyo.Rumi [upapa]hauipendi Biblia kabisa kwasababu inawakosoa na kuwahukumu kwa mengi.Kwa miaka mingi walijaribu kuificha Biblia na na kudhibiti watu wasiwe nayo,lakini MUNGU aliwaibua akina Martin Luther na wengine waliofichua aibu ya Rumi na hatimaye Biblia ilitolewa mafichoni na tunayo hata leo,ingawa bado wanaendeleza mapambano ya kuidhoofisha kwa kuondoa baadhi ya vifungu vinavyo wahukumu [hawata fanikiwa kamwe].Sasa kwanini niisome Vizuri hiyo Bible ambayo kimsingi ni zao lao?
Kwanini nisitafute na kutazama uhalisia wa yale wao wanayoonya kwamba ni ya kishetani wakati Nipo hapa hapa Africa nyumbani kwa Mizimu?
Inakuaje pale ambapo uhalisia unapingana na maandishi yao?
Hilo neno wewe limekufikiaje?Biblia sio zao la Rumi na kamwe haitakaa iwe hivyo.Rumi [upapa]hauipendi Biblia kabisa kwasababu inawakosoa na kuwahukumu kwa mengi.Kwa miaka mingi walijaribu kuificha Biblia na na kudhibiti watu wasiwe nayo,lakini MUNGU aliwaibua akina Martin Luther na wengine waliofichua aibu ya Rumi na hatimaye Biblia ilitolewa mafichoni na tunayo hata leo,ingawa bado wanaendeleza mapambano ya kuidhoofisha kwa kuondoa baadhi ya vifungu vinavyo wahukumu [hawata fanikiwa kamwe].
Hicho unachoamini kuwa ni uhalisia [mila,jadi, umizimu n.k.]ni hila za Shetani/Ibilisi ili aendelee kuabudiwa, ana uwezo wa kufanya chochote ili kukuaminisha kuwa unachokiamini ndio uhalisia ilimradi usitoke kwenye himaya/milki yake.
Nyumbani kwa mizimu ni kuzimu yaliko makazi ya Shetani na wafuasi wake na sio Afrika,ingawa aliwahi kuifanya Misri kuwa falme yake [kipindi cha utawala wa Farao],alihamia mataifa mengine [Babeli n.k.]na sasa yupo Vatican.
Biblia sio ya wazungu na wala sio ya warumi,Ni NENO LA MUNGU kwa mataifa yote.
Joannah ukiwa tayari nijulishe tuongozane.Mie huwa napandaha treni mpaka Mpanda stesheni, kisha naenda kusalimia ndugu pale Kigamboni...🤭(hapa napo balaa)
Kisha naenda stand kupanda coaster za Sumbawanga, nikishuka naenda kwetu Milala kutambika.
Karibu.
Sanaaa... yaani hapo walozi watahangaika sanaTena katikati ya msitu wa mbali sana
mtwara bila shakaTuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza
Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake
Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
Ntuzu moja hiyoAisee poleni hio nilishashuhudia sanga mwalugeshi na kasiro huko. Hapo mzee anajua la kufanya na akichoka atawaambia la kufanya mara moja atakufa
Tsh hili laweza kuwa jibu sahihiNafkiri hii inajulikana kama ipo lkn ndio hivyo mara nyingi wahusika wanaitumia kwa namna mbaya km kuangamiza n k. Ndio maana inafanyika kisirisiri. Ni km vile ipo forbidden mama inajulikana ikiachiwa ikatumika dhahir watu wengi wataumia.
Ni mawazo yangu tu
LTuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza
Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake
Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
Mambo yapi hayo mkuu? NACKOkatika maisha yangu sitaki kabisa mambo ya imani, licha ya kuwa nina elimu kubwa kutoka kwa wazee na pia nimeshuhudia mambo manne makubwa ambayo science ninayoiamini bado haijanipa jibu.....wasikilizeni waliowapigia simu....