Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
GT = Great Thinker like this one [emoji119][emoji1666]Una maana gani haziko wazi?
Kwamba kulitakiwa kuwe na shule kama Jangwani secondary school? Kwamba kuwe na kipindi shuleni na mwalimu anaefundisha “jinsi ya kuweka roho kwenye mti? Una maana hii?
Nimekuuliza kabla, unaelewa nini ukisikia neno Mila? Desturi? Tamaduni?
Wewe kwenye family/ukoo wako hakuna Mila? Desturi? Tamaduni?
Unatambua kila elimu/utaalamu unapatikana kwa mujibu wa taratibu?
Sasa wewe umetafuta lini hiyo elimu ya kuweka roho kwenye mti ukaikosa? Ulifuata masharti na kutimiza vigezo?
Wewe hiyo elimu ya chekechea mpaka ulipoishia, ulikutana nayo barabarani ikakuvagaa ama ulifuatishwa/ulifuata utaratibu, masharti na ukatimiza vigezo ndio ukaipata?