Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Kuwa wazi namaanisha zisiwe za hadithi hadithi, kwamba mtu kama anaihitaji hiyo elimu anaweza fika sehemu rasmi na akapewa maelekezo. Sehemu rasmi.
Umetajiwa mikoa na maeneo haya mambo yanafanyika, anzia huko.

Mfano ukihitaji kupata elimu ya kutibu malaria kwa njia ya asili unajua kabisa unaweza muona mzee fulani pale kariakoo. Ni rasmi
Kwamba hata mtanzania aliyeko Bariadi anamjua huyo babu yako wa hapo Kariakoo?

Rasmi kwa mujibu wa nani?

MIla zetu zipo wazi.
Mila zenu ni zipi hizo zilizopo wazi?

kwenye nchi yangu kuna kuna library kabisa ya asili na tamaduni zetu pale makumbusho. Litembelee.
Makumbusho ya nchi ipi?

Utaratibu upi wa kufuata ukihitaji kupata elimu ya kuhamisha roho kwenye miti?
Umetajiwa mikoa na makabila huu ujuzi unapatikana, shida nini?

Vinapatikana wapi? Kwa nani? Kwa utaratibu upi?
Wafuate walipo ndipo uanze maswali.

Hizi ni porojo.
Acha ujuaji. Be humble.
 
Ushatapeliwa mbwa ....... ni hivi mgonjwa wa ku palalaizi huchukua muda mrefu sababu maeneo ya mwili hasa organ muhimu kama vile moyo , maini , figo zinakuwa bado nzima kabisa

Mara nyingi wa gonjwa wa kupalalaizi hufa kwa bed sores .....vidonda vinavyotokana na kulala muda mrefu hapa hupata infections mbali mbali za vidonda hivyo ndo mwishoe kufa


Vidonda hivyo vya kulala muda mrefu huanza kuonza sometimes kutoa wadudu kama hakisafishwii mara kwa mara...... hapo ndo mbwa kama huyu huanza kusema mgonjwa ana onza kaweka roho kwenye mti mgonjwa ni mchawi yaani ujinga tu wa kiafrica wa kutofuatilia mambo

Jamani ukipalalaize utaisha muda mrefu tu shida huwa ni vidonda tu sababu unakuwa immobile.... . Dr ashampoo wa mtaani
Sawa umeeleweka una facts nyingi za kisayansi amabazo umeeleweka safi kabisa

je kwann ikifuatwa prosija za kimila mgonjwa hufa eidha ndani ya masaa 6 12 24 48 zimezidi sana 72 ours una lipi la kutuelezea kisayansi

Na je pia vipi Unaweza kutuelezea wazazi wetu wa KIAFRICA akiumwa sana AFI mpka kipenzi chake(mtoto anayempenda zaidi mara nyingi huwa kitinda mimba) kifike au watoto wake wote wafike
Na kitendo cha matakwa yake kutimia hufa ndani ya masaa machache hayazidi sana masaa 3
Unalipi la kutujuza/kutufundisha/kutusanua hapo ndugu Ashampoo burning DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA WAZEE NA KUPALALAIZI
 
Umetajiwa mikoa na maeneo haya mambo yanafanyika, anzia huko.


Kwamba hata mtanzania aliyeko Bariadi anamjua huyo babu yako wa hapo Kariakoo?

Rasmi kwa mujibu wa nani?


Mila zenu ni zipi hizo zilizopo wazi?


Makumbusho ya nchi ipi?


Umetajiwa mikoa na makabila huu ujuzi unapatikana, shida nini?


Wafuate walipo ndipo uanze maswali.


Acha ujuaji. Be humble.
Mitaani kuna vibao vya waganga wanatibu ujinga ujinga, ulishawatembelea? Ukiambiwa kwa lugha rejareja nenda uwaone utaenda?
 
Ushatapeliwa mbwa ....... ni hivi mgonjwa wa ku palalaizi huchukua muda mrefu sababu maeneo ya mwili hasa organ muhimu kama vile moyo , maini , figo zinakuwa bado nzima kabisa

Mara nyingi wa gonjwa wa kupalalaizi hufa kwa bed sores .....vidonda vinavyotokana na kulala muda mrefu hapa hupata infections mbali mbali za vidonda hivyo ndo mwishoe kufa


Vidonda hivyo vya kulala muda mrefu huanza kuonza sometimes kutoa wadudu kama hakisafishwii mara kwa mara...... hapo ndo mbwa kama huyu huanza kusema mgonjwa ana onza kaweka roho kwenye mti mgonjwa ni mchawi yaani ujinga tu wa kiafrica wa kutofuatilia mambo

Jamani ukipalalaize utaisha muda mrefu tu shida huwa ni vidonda tu sababu unakuwa immobile.... . Dr ashampoo wa mtaani
Inchi inawajinga wengi mkuu!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
katika maisha yangu sitaki kabisa mambo ya imani, licha ya kuwa nina elimu kubwa kutoka kwa wazee na pia nimeshuhudia mambo manne makubwa ambayo science ninayoiamini bado haijanipa jibu.....wasikilizeni waliowapigia simu....
 
Uko sahihi Aaliyyah.
Kwetu kipindi cha mavuno, familia nyingi hukataza watoto/vijana wao kucheza nje jua linapoanza kuzama kwani msimu huu ndio watoto/vijana wengi hupelekwa mashambani kuvuna kimiujiza.
Na sio lazima wachukuliwa msukule, hapana ila kama anacheza au yuko na vijana wenzake mtashangaa mtoto wenu analala usingizi mzito na haamki mpaka amalize kazi ndio anashtuka.
Ila wazee wa kule hawana uchoyo kuwapa uchawi wajukuu....🤔

Wazee kushindana kufanya uchawi hadharani kweupe, kwetu ni jambo la kawaida sana.

Watoto kuua wazazi kwa amri ya mababu, ni jambo la kawaida sana kwetu.
Kuna kisa kimoja huwa kiliniacha hoi mpaka leo..
Aisee wako vizuri sana
 
Mwanakondoo alishachinjwa pale Calvary na damu yake inatosha kufuta laana zote na mikosi yote inayowaandama, huhitaji tena kuchinja kondoo wengine.

Okoka Sasa na mpokee Kristo Ili uwe huru na laana za ki Ukoo.

Rabbon Yesu Anakuja
Hata sie ni mara nyingi tu Mungu hututoa katika miili yetu tunaposhambuliwa Kisha huturudisha tena.

Hujawahi kutana na mtu anakuangalia mara mbili mbili Kwa mshangao mkubwa?

Unakuta waliokuja na kukushambulia na kuamini umekufa, kumbe Mungu alikutoa ndani ya MWILI, na kukurudisha tena baada ya mashambulizi,

Mtu ni Roho,anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.

Amen
 
Nahitaji ushauri siwezi kuandika vitu ambavyo havipo ili kuchangamsha genge mama yangu miaka hiyo nyuma alishaondoka alikuwa ananiambia nilikuwa baba yako Kuna vitu alimeza sababu Kijiji Kijiji chao kulikuwa na wachawi wanamaliza watu kwahiyo ilibidi ajikinge asiuawe kishirikins maneno haya aliyokuwa akinimbia nilikuwa siyazingatii mimi nilikuwa nazani kama utani sasa ndio nakumbuka jambo hili
Ni kweli
 
Hakuna ajabu yoyote ila ni elimu, hio haina tofauti na uhai uliofichwa kwenye sindano na vidonge kwani usipochomwa au kumeza unakufa na ukitumia unapona.
Hivyo kuna tofauti gani na aliyelinda uhai wake kutumia mti?

Nikupe mfano mwingine,
Huyo mzee hata ingetokea ajali asingekufa kirahisi, Je ipi teknolojia bora kati ya hiyo ya kujikikinga na miti au vitu na teknolojia ya Airbag ambayo inapunguza risk wakati wa ajali?
Hata sumu haifanyi kazi ukiwa na hiyo kitu.
 
Hata kwa uchache huu bado nashukuru sana. 🙏

Kuna kila sababu hivi vitu vikafanyiwa research na kuwekwa ushahidi kwa faida ya vizazi vyetu. Ni muhimu sana.

Naelewa kwanini ni Siri , maana kwa akili za watu kwamba utaalamu wa Afrika ni uchawi na wa mzungu ni Science/Elimu, ni wazi why wanazilinda.
Usihangaike ,tumwahi Tundu LISu aseme kwasababu haiwezekani yaliyomtokea awe hai mpaka Leo ,Ile haikua ajali ya basi

Kuhusu roho za watu kuwekwa kwenye wanyama au nyikani ipo rejea kipagate mwizi maarufu na serikali hadi wamlimtafutia asali mtingini na akaishi nae miaka zaidi ya 7 ,ndipo ilipogundulika roho yake ipo kivuli Cha kisigino ndipo siku ya harusi polisi wakapiga kivuli Cha kisigino na kufariki yanashangaza ila yapo tunaishi nayo ,hutaki njoo ulishwe ubongo wa fisi hutajutia
 
Sijawahi kuwatembelea. Ila mpaka unaona vibao vya contacts & info basi ujue wanapata wageni wengi tu.


Lugha rejareja hapa ikoje?


Unaogopa kwenda kwa wafipa na wasukuma?
Embu fanya utafiti kidogo uwatembelee halafu utaelewa kwanini nakuambia mambo ya usiri usiri, ujanja ujanja, si sahihi.
 
Hio ni bima ya afya ya kiafrika ufi hata ugonge mia.
Mzee wako alimeza mti unaitwa pigi au mpigi hii ufi wala ulogeki.
Unaishi uzee mwingi yaani Hadi wanakutoa nje na kukuanika jua.
Ukitaka kufa wanakuweka nyumba ya nyasi wanachomoa nyasi juu mwanga wa jua ukikupiga tu nawe unakata roho kifo chema Cha uzee
 
Mkuu Coach Slamah Hamad kuna mengi ambayo siwezi yaweka wazi hapa.
Ila jua tu, haya mambo yapo....kwa sisi ambao kwetu ndio hiko, nakwambia tu yapo.
Malangoni ni nyumbani, ndani ya nyumba ambayo mtu huishi.
Mengine siwezi kuyaweka hapa.
Ngoja tuone...🤔
Madam funguka zaidi tafadhali. alafu ujue nakupendaga, hujui tu!
 
Back
Top Bottom