Hiyo ni elimu jamii. Kama unataka jambo lako likubakike na jamii ni lazima uonyeshe uzuri wake na likichafuliwa hadharani unalisafisha hadharani.
Ingekua hivyo, maisha yangekua magumu sana.
Elimu jamii?! Jamii ipi!?
Twende na kiswahili. Mtu akishaanza kukiingiza kingereza kwenye mada ya kiswahili ili kusisitiza hoja huwa namuona kama mtumwa wa wazungu. Elezea hoja zako kwa kiswahili. Maneno yapo yanajitosheleza.
Unanichagulia lugha ya kutumia?
Aliekwambia hiyo lugha ni ya “wazungu ni nani? Unawajua wazungu vizuri?
Ukishasema “kiingereza, wazungu wanaingiaje tena?
Stick kwenye mjadala, lugha na matumizi yake ni maamuzi tu.
Kama ipo basi sababu ya siri kwa akili ya kawaida tu ni gharama.
Kwamba mpaka umri huo na nywele zote hizo mwilini bado hujatambua tu kwamba Maisha ili uyaishi kuna gharama unailipa?
Kila sekunde ya uhai wako?
Unalipa nini kuweka roho yako kwenye mti? Uwezekano ni hiyo gharama ni kubwa mno jamii kuikubali.
Kwani unaweka roho ya jamii kwenye mti ama ni roho yako?
Jamii ikubali ili iwe nini Kama wanajamii wenyewe ndio watu kama wewe?
Pengine mambo ya kafara yanahusika au ni elimu hewa.
Wewe huo ubongo umesuuzwa haswa!
Pumzi unayovuta ni kafara tosha, waulize wakubwa kwenu.
Bado hujasema ni sababu zenye msingi za kufanya elimu yenye manufaa kama hii kuwa siri.
Ahsante.
Kwamba unatambua ni elimu yenye manufaa, inatosha.
Njoo na hoja nje ya mihemko.
🙄 me or you?!
Mahospitalini wanakosolewa, vyuo vinakosolewa hiyo elimu haitolewi hadharani ili isikosolewe?
Huko mahospitalini na vyuoni wanakokosolewa naomba unionyeshe majibu yao ya hadharani kuhusiana na hizo critics.
Unatambua mila ni nini?
Desturi na tamaduni pembeni, Mila Kama Mila?
Huu ni mhemko wako si sababu halisi.
Umeupima kwa kutumia nini?
Kama ww ni mhusika au MCHAWI, Sema kwanini hiyo elimu haipo rasmi mpaka sasa?
Hoja inapokuzidi kimo, attack mode is inevitable?!
Elimu zote unazozijua wewe, ulizipata rasmi?
Unakwama wapi? Usiseme mambo ya wazungu sijui mkoloni. Ni hoja nyepesi mno.
Alienza na kuwalinganisha “hawa na “wale ni nani?
Kanawe mikono vizuri urudi hapa.