Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

na hii ndio mbinu wanayoitumia wengi. Wengne huwa wakitoboa wanawaita.
 
Usilolijua ni kma usiku wa giza mshukuruni Mungu kwakila jambo
 
Metal mada hujajibu swali Mzee wako hana presha wala kisukari waweza his tofauti kumbe tatizo ni la kawaida kabisa ila huduma zenu na dhana zenu mkamuumiza bure Mzee wenu
 
Wewe utakuwa ni msukuma.
 
Mbongo ubisha kila kitu wakati mzungu mwenyewe anafanya matambiko, Nakumbuka mwaka 2016 nipo Kilimanjaro kibarua nilishuhudia wazungu wanafanya mila zao sembuse sisi kima.
 
Mbongo ubisha kila kitu wakati mzungu mwenyewe anafanya matambiko, Nakumbuka mwaka 2016 nipo Kilimanjaro kibarua nilishuhudia wazungu wanafanya mila zao sembuse sisi kima.
Kafanye mkuuu ....kwani mzungu ndo kipimo cha akili
 
Hakuna roho mkuu, hizo ni hadithi za watu tu.
 
Reta mlejesho mreta mada kondoo amesha chinjwa au bado.. mzee amesha kata kamba au bado anabisha
 
Ujinga tu. Binadamu mwenye akili akiwa na elimu yenye manufaa anaiweka hadharani, kwenye vitabu, mashuleni. Sasa wewe una jambo lako unalifichaaaa unakufa nalo halafu uonekane mjanja?
Wewe mwenye akili umeshafanya jitihada gani kutafuta hayo maarifa kuyafata yalipo, kuuliza wanaojua (wazee), ili uyarekodi kwenye daftari au kuandika kitabu na uweke hadharani au umekalisha tu mapumbu hapo unakebehi na kuongea kwa kufoka hadi unatutemea mimate..
 
au umekalisha tu mapumbu hapo.
Kila unachokiandika umekiwaza, ukatafakari ndipo ukaweka kwenye maandishi. Usiku wote huu hizi ndo chaguzi za maneno ambayo ubongo wako unachakata.
 
Ukimuona mtu kashika chain saw anakatiza mitaa yako unaanza kumfuatilia anakoelekea😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣Kama mapori ya Tabora Yanavyofyekwa sishauri kuficha huko roho zetu... mpango ni juu ya mlima Kilimanjaro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…