Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Hiyo ipo hasa kwa watu wenye umri mkubwa ni mambo ya dawa za asili mara nyingi anachukuliwa mgonjwa husika anawekwa ndani alafu sehem ya paa inatobolewa kidogo anapigwa na ule mwaga wa jua akiwa ndani hapo ndio anakata roho vingnevyo ataoza na harufu juu
na hii ndio mbinu wanayoitumia wengi. Wengne huwa wakitoboa wanawaita.
 
Tuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza

Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake

Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
Usilolijua ni kma usiku wa giza mshukuruni Mungu kwakila jambo
 
Metal mada hujajibu swali Mzee wako hana presha wala kisukari waweza his tofauti kumbe tatizo ni la kawaida kabisa ila huduma zenu na dhana zenu mkamuumiza bure Mzee wenu
 
Hiyo ipo hasa kwa watu wenye umri mkubwa ni mambo ya dawa za asili mara nyingi anachukuliwa mgonjwa husika anawekwa ndani alafu sehem ya paa inatobolewa kidogo anapigwa na ule mwaga wa jua akiwa ndani hapo ndio anakata roho vingnevyo ataoza na harufu juu
Wewe utakuwa ni msukuma.
 
Ushatapeliwa mbwa ....... ni hivi mgonjwa wa ku palalaizi huchukua muda mrefu sababu maeneo ya mwili hasa organ muhimu kama vile moyo , maini , figo zinakuwa bado nzima kabisa

Mara nyingi wa gonjwa wa kupalalaizi hufa kwa bed sores .....vidonda vinavyotokana na kulala muda mrefu hapa hupata infections mbali mbali za vidonda hivyo ndo mwishoe kufa


Vidonda hivyo vya kulala muda mrefu huanza kuonza sometimes kutoa wadudu kama hakisafishwii mara kwa mara...... hapo ndo mbwa kama huyu huanza kusema mgonjwa ana onza kaweka roho kwenye mti mgonjwa ni mchawi yaani ujinga tu wa kiafrica wa kutofuatilia mambo

Jamani ukipalalaize utaisha muda mrefu tu shida huwa ni vidonda tu sababu unakuwa immobile.... . Dr ashampoo wa mtaani
Mbongo ubisha kila kitu wakati mzungu mwenyewe anafanya matambiko, Nakumbuka mwaka 2016 nipo Kilimanjaro kibarua nilishuhudia wazungu wanafanya mila zao sembuse sisi kima.
 
Mbongo ubisha kila kitu wakati mzungu mwenyewe anafanya matambiko, Nakumbuka mwaka 2016 nipo Kilimanjaro kibarua nilishuhudia wazungu wanafanya mila zao sembuse sisi kima.
Kafanye mkuuu ....kwani mzungu ndo kipimo cha akili
 
Tuna Mzee wetu hapa tunamuuguza kwa muda mrefu miaka mitatu sasa tunampambania nae alipata tatizo kuparalalaizi mpaka sana yupo ICU hali yake sio nzuri miguu yake imeanza kuoza

Imenibidi kuandika thread hii humu sababu siku mbili hizi tumepigiwa simu huko kijijini kwamba Mzee wetu twende huko kijijini wanafamilia wote tukafanye mambo ya Mila twende na kondoo wawili inasemekana Mzee wetu Kuna miti miwili ndio aliweka roho yake

Kwahiyo tutaendelea kupoteza muda kumuuguza atakufa mpaka aoze mwili wote inatubidi tuende tukafanye mambo ya Mila maana tukimuacha aoze mwili mzima ndio afe hali hiyo itakuja kumkuta mwanafamilia
Hakuna roho mkuu, hizo ni hadithi za watu tu.
 
Reta mlejesho mreta mada kondoo amesha chinjwa au bado.. mzee amesha kata kamba au bado anabisha
 
Ujinga tu. Binadamu mwenye akili akiwa na elimu yenye manufaa anaiweka hadharani, kwenye vitabu, mashuleni. Sasa wewe una jambo lako unalifichaaaa unakufa nalo halafu uonekane mjanja?
Wewe mwenye akili umeshafanya jitihada gani kutafuta hayo maarifa kuyafata yalipo, kuuliza wanaojua (wazee), ili uyarekodi kwenye daftari au kuandika kitabu na uweke hadharani au umekalisha tu mapumbu hapo unakebehi na kuongea kwa kufoka hadi unatutemea mimate..
 
au umekalisha tu mapumbu hapo.
Kila unachokiandika umekiwaza, ukatafakari ndipo ukaweka kwenye maandishi. Usiku wote huu hizi ndo chaguzi za maneno ambayo ubongo wako unachakata.
 
Ukimuona mtu kashika chain saw anakatiza mitaa yako unaanza kumfuatilia anakoelekea😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣Kama mapori ya Tabora Yanavyofyekwa sishauri kuficha huko roho zetu... mpango ni juu ya mlima Kilimanjaro
 
Back
Top Bottom