Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Hii si vampire/zombie?

Maana katika movies tunaona ndio waathirika wa mwanga wa jua.

Dunia!
 
Zombies/Vampiers??

Hii Dunia hii!
 
Doh!

I’m in love na hii African technology πŸ‘

Salute sana kwa wazee (wahenga) πŸ™Œ
 
sasa magu kaingiaje kwenye hili
Angeweka roho kwenye miti leo tusingekua na majanga yafuatayo

1)Chawa wa mama,
2)Deni ni stahimilivu,
3)Mama amekomesha mafisadi,
4)Mama:kuna watu wanaiba pesa za serikali,
5)Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake,
6)Garama za vifurushi,
7)Chadema kugeuka CCM ndogo, (wanatumika kutuhadaa wananchi huku ccm ikitafuna nchi kwa amani)
8)Chanjo za corona
9)Dp world
Mengine utaongeza na wewe
 
Masharti yake yakoje, Kama hutojali?

Kwenye family yako yupo/wapo waliofanyiwa?


Nimependa kwa kweli. Heshima kwao wazee!

πŸ™Œ
 
Itakuwa alimeza hirizi dawa ya kinga za kichawi wasimdhuru sasa hawezi kufa mpaka atapishwe atateseka sana inabidi mkubali tu muende itakuwa zindiko lipo hapo mkitoa atakufa apumzike na mateso Kwa kweli mambo ya kinga machale mwilini kufa unatesekana sana
 
Kivipi ni mkataba na shetani?

Wewe umejuaje ni mkataba na shetani?
Jambo lolote linalohusu mila/jadi,ni lazima zihusishe ushirikina kwa namna moja au nyingine,hiyo ni ibada ya Shetani.Iwe ni kujipatia kinga/ulinzi au jambo lolote linalohusiana na hayo,na kwakuamini unafanikiwa,huko ni kuingia mkataba na Shetani,mwisho wa siku itakugharimu tu.
 
Sasa kama ni nzuri na haijakaa kimaajabu ajabu Kwa nini haifundishwi hadharani ili mradi watu wengi wapate kujifunza na kuielewa
 
Hii tafsiri inaishia anga la Afrika tu si ndio?

Maana kule kwa wenzetu Mila zao zinaitwa Dini, marehemu wao (mizimu kwetu) wanaitwa watakatifu.

Na huu ujuzi wa kwamba mila na tamaduni hizi ni kuingia mikataba na shetani umeupatia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…