Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Mapenzi hayana dereva, hata chuma mlimwona pale kisarawe uzalendo ulimshinda, ikabidi mshkaji aondolewe under escort na akageuliwa mtu bila vetting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mapenzi hayazoeleki, kuna wababa wazee huwa wanalia kabisaUnajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Basi hujawahi kupata mtu ukampenda mpaka unafikisha umri huo.
Inatokea kuna yule aliemuacha mwenza wake kisa ujana late 20s anakuja kushtuka alikosea na kujutia at 45+ huko na hapo inakua too late unategemea asiumie kama mwenzi wake asipomuelewa na kumpokea tena? Kuna kisa kimoja humu nikikipata nitaambatanisha hapa uone inavyokua.Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani..
Ulifikia ha umri wa miaka 35 utapata jibu.Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi...
Eti ni mtumishi wa Bank kwa Mavazi hayoMnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
Mbona mavazi hayana shidaEti ni mtumishi wa Bank kwa Mavazi hayo
Last time I checked niliona watu wenye 30+ bado wanakuwa na Ubongo na mioyo.Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi....
Ikiwa hakuna kikomo cha hisia, kwanini mtu mzima anapoanguka halii kwa sauti kama mtoto endapo tu hajapewa pole? Kwanini mtu mzima akihisi njaa halii?bado wanakuwa na Ubongo na mioyo
Ubongo ambao unahusika na maswala ya hisia
Lini wamesema sababu za kifo chake ni mapenzi?Mnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
Yaan hajui huyu😥😭😭Hayana ufundi ya kikuchachia mmmh!!!! Tatizo mazoea.
Kadri unsvyokuwa na list kubwa ndivo unavyokuwa dont care kwenye relationshipWewe ulianza mahusiano ukiwa una 14yrs , wengine walianza wakiwa 20's na wengine 30's hivyo basi mnatofautiana experience, pamoja na idadi ya watu uliokuwa nao kwenye mahusiano na aina ya mahusiano yenyewe(serious/playing around)
Kama kuumia na mapenzi kwako inaamana kulia mbele za watu au kukataa kula Basi sawa ila jitahidi uwe mkubwaUnajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!