Inawezekana vipi mtu mwenye zaidi ya miaka 35 kuumia kwasababu ya mapenzi?

Inawezekana vipi mtu mwenye zaidi ya miaka 35 kuumia kwasababu ya mapenzi?

Kama ajalia mtu mzima kwaajili ya mapenzi unataka aliye mtoto maana mapenzi ni watu wazima
Ikiwa hakuna kikomo cha hisia, kwanini mtu mzima anapoanguka halii kwa sauti kama mtoto endapo tu hajapewa pole? Kwanini mtu mzima akihisi njaa halii?

Binafsi naona kwa mtu mzima kuliala kisa mapenzi; ni kujiendekeza tu! Kwani huyo mtu mtakufa wote???
 
Kwa mwanaume ukishagonga 30 ukilia kisa mapenzi ntakushangaa sanaa labda wanawake mabingwa wa hisia

Mwanaume inabidi uwe na "mission" kwenye haya maisha, sasa mission yako ikiwa mapenzi, hapo hatuna mtu

Hivi Kuna mtu dunia inamkumbuka kisa mapenzi? hakunaaa

Tunawakumbuka kina prophet Muhammad, Jesus Christ, Isaac Newton, Julius Nyerere, JPM, Reginar Mengi, Ruge Mutahaba kwa alama walizoacha
Shakespear kafa karne gan huko sijui ila mashairi yake ya mapenzi yanaishi na kutengenezewa movie hadi waleo, samson alituangusha wananzengo kwa kumlegezea delilah, cleopatra anakumbukwa kwa uzuri wake hadi leo na aliburuza kweli wakubwa enzi hizo, hellen of troy kama sio fiction ya wagiriki alisababisha vita ya taifa na taifa kisa tu mapenzi e.t.c...

Siku Cherokee D ass akifa wanaume wengi tutalia machozi yale ya kupenga kamasi kabisa acha tu..
 
Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi!

Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?

Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Yaonekana wewe ulishapitia mengi kwenye mahusiano in your 20's, sasa usishangae ambao hawajawahi kuwa na misukosuko kama uliyopitia wewe kipindi hiko. Mapenzi hayana umri ila experience, sasa usiwashangae ambao hawana experience kama yako.
 
Tatizo watu wanachanganya Sana aina za mapenzi unakuta mtu ana mahusiano just for Spending, hit and run nk anahisi ana experience sawa na aliye na serious deep relationship
Unakuta ana Ng'ombe yake ya kuichuna Sasa hata ikiota mapembe ikashtuka na kukimbia yeye anaanzaje kulia?

Hivi mtu kama Kajala kwa Konde boy mtu ambaye ni sawa na mtoto wake wa kumzaa utasema kuna mapenzi hapo au kuna biashara tu ya mapenzi?
 
Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi!

Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?

Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Ukiona huna hisia na mapenzi ujue roho yako ishakufa umebaki mwili tu
 
Kwa mwanaume ukishagonga 30 ukilia kisa mapenzi ntakushangaa sanaa labda wanawake mabingwa wa hisia

Mwanaume inabidi uwe na "mission" kwenye haya maisha, sasa mission yako ikiwa mapenzi, hapo hatuna mtu

Hivi Kuna mtu dunia inamkumbuka kisa mapenzi? hakunaaa

Tunawakumbuka kina prophet Muhammad, Jesus Christ, Isaac Newton, Julius Nyerere, JPM, Reginar Mengi, Ruge Mutahaba kwa alama walizoacha

Mapenzi hayana mwenyewe. Mapenzi hayana umri. Kama hayajawah kukuta shukuru Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom