Tatizo watu wanachanganya Sana aina za mapenzi unakuta mtu ana mahusiano just for Spending, hit and run nk anahisi ana experience sawa na aliye na serious deep relationshipBasi hujawahi kupata mtu ukampenda mpaka unafikisha umri huo.
Mfanyakazi wa bank havai hivyoEti ni mtumishi wa Bank kwa Mavazi hayo
Ikiwa hakuna kikomo cha hisia, kwanini mtu mzima anapoanguka halii kwa sauti kama mtoto endapo tu hajapewa pole? Kwanini mtu mzima akihisi njaa halii?
Binafsi naona kwa mtu mzima kuliala kisa mapenzi; ni kujiendekeza tu! Kwani huyo mtu mtakufa wote???
Kwani hapo Ni benki?Mfanyakazi wa bank havai hivyo
Shakespear kafa karne gan huko sijui ila mashairi yake ya mapenzi yanaishi na kutengenezewa movie hadi waleo, samson alituangusha wananzengo kwa kumlegezea delilah, cleopatra anakumbukwa kwa uzuri wake hadi leo na aliburuza kweli wakubwa enzi hizo, hellen of troy kama sio fiction ya wagiriki alisababisha vita ya taifa na taifa kisa tu mapenzi e.t.c...Kwa mwanaume ukishagonga 30 ukilia kisa mapenzi ntakushangaa sanaa labda wanawake mabingwa wa hisia
Mwanaume inabidi uwe na "mission" kwenye haya maisha, sasa mission yako ikiwa mapenzi, hapo hatuna mtu
Hivi Kuna mtu dunia inamkumbuka kisa mapenzi? hakunaaa
Tunawakumbuka kina prophet Muhammad, Jesus Christ, Isaac Newton, Julius Nyerere, JPM, Reginar Mengi, Ruge Mutahaba kwa alama walizoacha
Yaonekana wewe ulishapitia mengi kwenye mahusiano in your 20's, sasa usishangae ambao hawajawahi kuwa na misukosuko kama uliyopitia wewe kipindi hiko. Mapenzi hayana umri ila experience, sasa usiwashangae ambao hawana experience kama yako.Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi!
Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?
Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Unakuta ana Ng'ombe yake ya kuichuna Sasa hata ikiota mapembe ikashtuka na kukimbia yeye anaanzaje kulia?Tatizo watu wanachanganya Sana aina za mapenzi unakuta mtu ana mahusiano just for Spending, hit and run nk anahisi ana experience sawa na aliye na serious deep relationship
Hivi ni kweli? Mbona inadaiwa bado haijajulikana sababu au wanaficha makusudi??Mnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
Ukiona huna hisia na mapenzi ujue roho yako ishakufa umebaki mwili tuHuwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi!
Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?
Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani...
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Watu wa bank vimini kawaida.Eti ni mtumishi wa Bank kwa Mavazi hayo
Utakuwa na masilahi binafsi na hili tukioMnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
Hivi mtu Kama Wew ukikamatwa uende ukasaidie upelelezi utasema unaonewa kweli?Mnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
Huyo jamaa akakuwa na masilahi na hilo tukioLini wamesema sababu za kifo chake ni mapenzi?
Mbona taarifa zilizopo kifo chake ni sababu nyingine na siyo mapenzi?
Kwa mwanaume ukishagonga 30 ukilia kisa mapenzi ntakushangaa sanaa labda wanawake mabingwa wa hisia
Mwanaume inabidi uwe na "mission" kwenye haya maisha, sasa mission yako ikiwa mapenzi, hapo hatuna mtu
Hivi Kuna mtu dunia inamkumbuka kisa mapenzi? hakunaaa
Tunawakumbuka kina prophet Muhammad, Jesus Christ, Isaac Newton, Julius Nyerere, JPM, Reginar Mengi, Ruge Mutahaba kwa alama walizoacha
Wee hujawahi oenda mwanaume alafu janaume lenyewe linakula mbususu na kusepaNashangaa eti
Andunje kashafanya yake nini 🤣🤣🤣🤣Mapenzi hayana mwenyewe. Mapenzi hayana umri. Kama hayajawah kukuta shukuru Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app