Inawezekana vipi mtu mwenye zaidi ya miaka 35 kuumia kwasababu ya mapenzi?

Inawezekana vipi mtu mwenye zaidi ya miaka 35 kuumia kwasababu ya mapenzi?

Mkuu kuumia na mapenzi hakuangalii una majukumu kihasi gani, uko bize kihasi unasndesha Kampuni ngapi once situation yakuumiza imeku-Found utaumia tu so munachoandika hapa Ni bla bla tu
Bado hujakua akili ndio maana unaongea kitoto sana licha ya utu uzima uliokua nao kijana..
Ukikua utaacha...naongea kwa experience ya 12 years in marriage.
 
Bado hujakua akili ndio maana unaongea kitoto sana licha ya utu uzima uliokua nao kijana..
Ukikua utaacha...naongea kwa experience ya 12 years in marriage.
12 years in marriage is just trash 🚮🚮, mapenzi hayana expert haya uwe miaka 100 huko ndoani ni ujinga tu....ngoja stuation ikupate kwa wakati sahihi ndio utajua munamawazo ya kitoto na ujinga
 
Shakespeare was a poet ndicho kilichompa umaarufu sio kulilia mapenzi

Samson alikuwa na nguvu lakini hakuwa na akili za kumshinda mwanamke, Kuna vitu ata mwanamke akupe ovary zake hutakiwi kumwambia

Cleopatra was beautiful, alipendwa na wengi ila aliowasumbua ni mazuzu, kama leo hamisa mobetto mfano she's beautiful lakini sio wote wanazuzuka nae

Alexander the great alikuwepo hizo enzi za Cleopatra nenda kasome interaction yao ndo ujue wanaume wenye mission kwenye haya maisha wanaendeshaje maisha yao

Buy 30+ ACHA UTOTO FOCUS NA MAMBO YA MAANA
Umemaliza mkuu..Vijana shida wana utoto mwingi mnooo
 
12 years in marriage is just trash 🚮🚮, mapenzi hayana expert haya uwe miaka 100 huko ndoani ni ujinga tu....ngoja stuation ikupate kwa wakati sahihi ndio utajua munamawazo ya kitoto na ujinga
Naomba tuishie hapa..mimi na wewe ni mbingu na ardhi.
 
Wauni watakupigia tu Siku then tutaona umiaka kumi wako kwenye ndoa....you think una misuri kuliko yeyote humu.
Ahahahah sasa habar za kupigiwa zimetoka wapi hapa kijana!?
Unajiona ulivyompumbavu?

Hiv unafikiri kinachouma zaid kwenye mapenz ni kutombewa mwanamke? Daah!!. Grow n Man up kijana unakwama wap??
Huko wengine tulisha move on tukiwa at 20's. Kuna zaid ya hayo yanayoweza kuwa jeraha kwa mtu sasa wewe kwakua bado uko kwa level-1 unadaka ku discus issue above ur level!.

Kutombewa ni kitu cha kawida sanaa hasa kwa dunia ya leo mkuu..Hiv ushawah kuwaza mwanaume aliyetafuta mali kufikia thamani ya mabilion halaf mwanamke akaleta zengwe za kutaka taraka mgawane pasu kwa pasu huku hajachangia chochote.???

Ushawahi kuwaza hilo???

We akil yako ni kutombewa tuu???

Fuc*ck u idiot moron wewe
 
Ahahahah sasa habar za kupigiwa zimetoka wapi hapa kijana!?
Unajiona ulivyompumbavu?

Hiv unafikiri kinachouma zaid kwenye mapenz ni kutombewa mwanamke? Daah!!. Grow n Man up kijana unakwama wap??
Huko wengine tulisha move on tukiwa at 20's. Kuna zaid ya hayo yanayoweza kuwa jeraha kwa mtu sasa wewe kwakua bado uko kwa level-1 unadaka ku discus issue above ur level!.

Kutombewa ni kitu cha kawida sanaa hasa kwa dunia ya leo mkuu..Hiv ushawah kuwaza mwanaume aliyetafuta mali kufikia thamani ya mabilion halaf mwanamke akaleta zengwe za kutaka taraka mgawane pasu kwa pasu huku hajachangia chochote.???

Ushawahi kuwaza hilo???

We akil yako ni kutombewa tuu???

Fuc*ck u idiot moron wewe
Unabwata tu juu ya kochi upo kwenye amani sio, is that nature watu wa design yako wanao comfort akili zao kwa Hali waliyonayo kwa kipindi alichopo....napendaga watu aina yako wajifunze kwanjia ngumu Sana.

Unaandika kibabe n you think amani ikishatoweka utaendelea kuwa na huo umwamba una miaka 10 kwenye ndoa bado una thinking ya kitoto sana.
 
Unabwata tu juu ya kochi upo kwenye amani sio, is that nature watu wa design yako wanao comfort akili zao kwa Hali waliyonayo kwa kipindi alichopo....napendaga watu aina yako wajifunze kwanjia ngumu Sana.

Unaandika kibabe n you think amani ikishatoweka utaendelea kuwa na huo umwamba una miaka 10 kwenye ndoa bado una thinking ya kitoto sana.
Amani ipi ikitoweka.?
Mbona una assume sana mdogo angu??

Ningekua wewe ningechukua nafasi ya kukaa kwa kutulia nijifunze.
 
Malaya ndio hawaumii
Ambaye sio malaya unaumia kwasababu gani?
Unachokitaka kwa huyo aliyekuumiza ni nini hasa kwa umri huo?
Kwani huwezi kuishi pekeako?
 
Wanasemaga mapenzi hayana umri ukipenda, mimi na utu uzima huu siku niliyopigwa kibuti nililia hadi kugalagala usifanye mchezo inauma kuachwa
 
Back
Top Bottom