Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pdf ipo?Akasome kitabu cha Kiu
Kujiendekeza tu mim mwenyewe sijafika huko na bado siwez kulia wala kusononekaHuwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi!
Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?
Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani.
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Hisia hazijalishi umri.Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi! Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?
Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani.
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
Utafanya hivyo vitu vingine at the end utagundua kuna kitu unakosa na unakihitajiHayana ukomo. Ila kwa age hiyo, kama mapenzi hayakutaki, achana nayo! Fanya vitu vingine vya kukupa furaha
Umekula?Huwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi! Ni kwamba wameruka hatua za ukuaji au ni hisia?
Unajua above 35, tuna assume mtu ana watoto wakubwa ambao wameshaanza kujitambua. Na hata kama hana watoto basi anategemewa na watu fulani.
Sasa, imagine uko unalia mbele ya watoto wako eti umeachwa, huwezi hata kula, unakaa kinyonge.... Aaah jamaniii!
DadeqMnaijua hii PC ilipigwa kiberiti kisa kipochi manyoya. Jamaa anahudumia afu anakitembeza kwa washkaji. Jamaa akaona isiwe tabu piga sindao ya sumu akaona huyu anaweza asife akapiga mafuta ya petroliView attachment 2557139
50 nini bana? 77 kabisa lakini majuzi hapa nikapigwa chini mweh! Presha juu. Sukari juu. Heart angina. Kizunguzungu. Hayanaga mwongozo wala rubani! 😁😁😁Unashangaa 35, watu wana miaka 50 nq wanaumizwa na mapenzi....kuna viungo kwenye mwili havizeeki, ukiwemo moyo
Misheni maishani bila kula mbususu na inipitie mbali huko 🚮🚮🚮. Hivi unaujua utamu wa mbususu tena uibahatishe ile yenyewe kabisa nene imeumuka ka mkate wa bofulo halafu ya moto na mafuta mafuta ya asili? 😳Kwa mwanaume ukishagonga 30 ukilia kisa mapenzi ntakushangaa sanaa labda wanawake mabingwa wa hisia
Mwanaume inabidi uwe na "mission" kwenye haya maisha, sasa mission yako ikiwa mapenzi, hapo hatuna mtu
Hivi Kuna mtu dunia inamkumbuka kisa mapenzi? hakunaaa
Tunawakumbuka kina prophet Muhammad, Jesus Christ, Isaac Newton, Julius Nyerere, JPM, Reginar Mengi, Ruge Mutahaba kwa alama walizoacha
Sina mkuuPdf ipo?
Mkuu unashida gani kwenye ubongo wako[emoji23]Misheni maishani bila kula mbususu na inipitie mbali huko [emoji706][emoji706][emoji706]. Hivi unaujua utamu wa mbususu tena uibahatishe ile yenyewe kabisa nene imeumuka ka mkate wa bofulo halafu ya moto na mafuta mafuta ya asili? [emoji15]
Halafu mifano yako wala haieleweki. Kwamba akina Ruge Mutahaba na Mengi wameacha alama kwa vile walikuwa hawali mbususu ama? Point yako hasa nini katika mifano kama hii?
Sindonashangaa hata mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani hapo Ni benki?
We tema mate tena na kile kisa chako cha masihara acha nikae kimya tu 🏃🏃🏃🏃🏃Tuombe radhi sie watu wazima tunaoumizwa,
Oooza zee la kisukuma 😹😹😹😹50 nini bana? 77 kabisa lakini majuzi hapa nikapigwa chini mweh! Presha juu. Sukari juu. Heart angina. Kizunguzungu. Hayanaga mwongozo wala rubani! 😁😁😁
Mkuu unashida gani kwenye ubongo wako[emoji23]
Nimesema usisumbuliwe na mapenzi sio usichakate mbususu, yani kama itabidi ulie lie ndo ugawiwe mbususu huo ni ujinga
Mbususu chakata sana utajua wewe unazitoa wapi ila usiwekeze mawazo yako kwa wanawake kiasi cha kufikia hatua ya kuwa na msongo wa mawazo
Ruge mwenyew alikuwa play boy lakini ndio kilikuwa kichwa cha clouds
JK unaambiwa Kila wilaya aliyokuwa anatembeleaa alikuwa anatengewa bikra(za ndani kabisa[emoji23])
Mengi mwenyew si alikuwa anaviponsa vibinti vidogo vidogo and was one of our DON hapa bongo